Mimi nilifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013, wewe je?

Mimi nilifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013, wewe je?

Suala sio kwamba ulifanya au la, suali muhimu ni kwamba sasa uko wapi?
Mimi nilifanya pia mtihani mwaka 2013 Leo Nina miaka 24 Niko nagombania hela za vyumba vya guest na baba mzazi umri wake miaka 68😂tunawahiana atakae wahi kuchukua hela inakua yake mfukoni
 
Back
Top Bottom