Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
IGP kasema nchi ipo salamaKijana vipi mbona maswali mengi unataka kuniteka au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IGP kasema nchi ipo salamaKijana vipi mbona maswali mengi unataka kuniteka au?
Hapana! Nilichelewa kuoa! Mwanangu wa kwanza ndio kaingia form five mwaka huu , wapili yupo form three na wadogo zake bado wapo primary.Sio wa
Sio wajukuu kweli😃
Oh sawa km ni hivoHapana! Nilichelewa kuoa! Mwanangu wa kwanza ndio kaingia form five mwaka huu , wapili yupo form three na wadogo zake bado wapo primary.
Mimi nilifanya pia mtihani mwaka 2013 Leo Nina miaka 24 Niko nagombania hela za vyumba vya guest na baba mzazi umri wake miaka 68😂tunawahiana atakae wahi kuchukua hela inakua yake mfukoniSuala sio kwamba ulifanya au la, suali muhimu ni kwamba sasa uko wapi?
wewe bila shaka umezaliwa 2000 kamiliView attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
2001 mwezi wa 11wewe bila shaka umezaliwa 2000 kamili
Mtoto mdogo na nina mtoto mdogo piaMtoto mdogo
2011🤣Jmn ndo ulimaliza la Saba?
Wee niamkie kabisa😂😂2011🤣
😂😂
Hongera sana sweetheart... Hahaha
😁😁😁😁😁😂!Hongera sana sweetheart... Hahaha
1972?....Sasa sisi tuliofanya mtihani wa darasa la saba November 1972, tunaruhusiwa kujinadi pia? 😲😮
Kumbe humu tuko na wajukuuu......1972?....
Heshima kwako Mkuu