Mimi Nimeshajiandaa kusikia haya. Wewe je?

Bhagosha kama hamkula nchi enzi za nyanda tulieni na msahau kabisa sasa ni zamu ya mama la mama
 
Mkuu tulia kunywa maji glass moja pressure ishuke kwanza ndo uandike utopolo wako.
 
Moderators wamefuta uzi wangu leo,

Uhuru wa kutoa maoni haupo JF.
Mataga leo ndio mnafahamu Uhuru wa kutoa maoni,wakati Dikteta wenu Jiwe alipokuwa anafungia vyombo vya habari na kuwanyanyasa wapinzani mkawa mnashangilia hamkujua umuhimu wake?
 
Hayo ni matamanio yako ndugu trimer
 
Ungejua kama mimi nilikuwa mshenga wa baba yako ili amuoe mama yako Consolatha....jf ni msitu mkubwa huu!
Na vilainishi vikirudi kama unavyowaza tutaanza kukupaka wewe maana imeandikwa aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea.
 
Hiyo ni kweli kabisa. Make Tanzania Great Again (MATAGA) inaondoka na kuwa replaced na Make Tanzania Backward Again (MATABA).
 
Utakuwa wa kanda hiyo!! Ila nakushauri utambue chochote hufanyika kama kina maslahi kwa taifa zima
 
Hakuna hata noja kati ya hayo yatatokea
 
Nimejiandaa kusikia watu waliokuwa hawajulikani wanajulikana,na waseme hadharani nani alikuwa anawatuma
 
Umeme kukatika kama vile nanii
 
Ili mradi tuu mlete taharuki mahasidi nyie, kama imewauma Mama kukaa pale mmeze tikiti zimazima.
 
Wakifanya hivyo 2025 CCM bye. bye. Miradi hii wameji commit kwenye Ilani ya Uchaguzi na bamdari ya Bagamoyo haimo unless sasa inawekwa kwenye utekelezaji kisiasa matakwa na maslahi ya kikundi kidogo
 
Watanzania hatujielewi ndo maana tutaendelea kuibiwa kila siku alipokuwepo jpm mlikuwa mnamlalamikia ameondoka mmeanza unafiki .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…