Imeanza lini mkuu!Mkuu ipo hivi.
Tanesco walisema ili kupata umeme unatakiwa kulipia Zaidi ya 2,000 ili 1,000 ulipie pango kwa mwezi wa saba na 1,000 nyingine tena italipia pango kwa mwezi huu wa nane.
Hivyo ukitaka kupata umeme unalipa labda 3,000 ili wakikata 2,000 yao utabakiwa na 1,000 na hiyo ndo itatumika kununua Umeme.
Lakini mimi na majira pamoja na wadau wa karibu hata ukilipia Umeme wa 4,000 inagoma mpaka ulipe 5,000 au zaidi.