Mimi si Mwanasiasa, ila kwenye hili la Tozo hapana

Mimi si Mwanasiasa, ila kwenye hili la Tozo hapana

EU wanalipa kodi na matokeo ya hizo kodi yanaonekana tofauti na huku kwetu. Huwezi kumkamua mwananchi maskini kutafuta hela kuwajengea mahekalu marais wastaafu. Ni ushetani.

..Duh!!

..aliyejenga mahekalu kwa wastaafu ni "yule" sio "huyu" aliyeko madarakani.
 
Huyu naye atamjengea yule. Ndizo sheria zinazopitishwa na bunge lenu tukufu.
Unadhani wabunge wa ccm wanaweza kuirekebisha sheria hiyo?

Wastaafu watunzwe na serikali kwa miaka 10 tu.

Baada ya hapo wajitegemee huku wakiwa na walinzi mpaka mauti yao.
 
Unadhani wabunge wa ccm wanaweza kuirekebisha sheria hiyo?

Wastaafu watunzwe na serikali kwa miaka 10 tu.

Baada ya hapo wajitegemee huku wakiwa na walinzi mpaka mauti yao.
Tatizo ni ubinafsi tulionao. Hili ni tatizo kwetu sote, CCM na wapinzani.

Ni mbunge gani wa upinzani aliyewahi kusema baadhi ya posho wanazolipwa ni wizi?! Zitto alijaribu japo kinafiki.
 
Watu wengine hivi tozo ni hobby kama mpira? Hakuna tuzo nzuri au mbaya nenda kaishi EU uone hizo kodi wanazolipa
Huko EU huwezi linganisha na huku, wao pesa huonekana kazi yake inayofanyika lakini sie wanaanza na mchakato posho, sasa kazi ianze imebaki 20%
 
EU wanalipa kodi na matokeo ya hizo kodi yanaonekana tofauti na huku kwetu. Huwezi kumkamua mwananchi maskini kutafuta hela kuwajengea mahekalu marais wastaafu. Ni ushetani.
Eti analinganisha na huku kwa wapiga dili ,uzinzi na kadharika
 
Ila wameanza kwa kunyonga pakubwa sana mkuu mimi nafkria unyama walio nifanyia leo.
Kweli 5000 unit 1.

LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
Uwiii jamani
 
Wakuu najua uzima upo wa kutosha sema mtakuwa na stress za Tozo tu nyie. Baada ya kuwasalimu ngoja kidogo na mimi nitie neno.

Binafsi mimi si Mwanasiasa wala sijawahi kushabikia chama ila kwenye hili ngoja na mimi nilopoke kidogo.

Awamu hii ya sita ambayo inaongozwa na mama shupavu kwango kama sijaelewa maana uzoefu wangu unakinzana na niliyo yaona awamu ya tano.

- Awamu ya tano hapakua na ongezeko la tozo za Miamala, ila awamu hii tutaimba ule wimbo pendwa wa chama tawala Wacha waisome namba.. hapa si chama pinzani bali sote.

Pia kwenye hili naona chama kilichopo kimeamua kutunyonga kwenye ulipaji wa Pango japo wanasema eti unalipia Zaidi ya elfu mbili Unapata Umeme, lakini ukilipa chini ya 5,000 kupata umeme sahau.

Kumbuka haya yote ni awamu hii, pia nikiangalia mama yeye hasemi sana kuhusu haya wapo mawaziri wake yeye busy na kusafiri.

NB: Tulio pinga awamu ya 5 na kuanza kushabikia awamu hii msifikili imewasahau nawacheki tu.
Sina mengi ila tutaisoma namba kiukweli na Yajayo yanafurahisha mko tayari wananzengo?
Ngoja inyeshe tuone panapovuja, Maana Mama anapiga kwenye mshono.
 
Wakuu najua uzima upo wa kutosha sema mtakuwa na stress za Tozo tu nyie. Baada ya kuwasalimu ngoja kidogo na mimi nitie neno.

Binafsi mimi si Mwanasiasa wala sijawahi kushabikia chama ila kwenye hili ngoja na mimi nilopoke kidogo.

Awamu hii ya sita ambayo inaongozwa na mama shupavu kwango kama sijaelewa maana uzoefu wangu unakinzana na niliyo yaona awamu ya tano.

- Awamu ya tano hapakua na ongezeko la tozo za Miamala, ila awamu hii tutaimba ule wimbo pendwa wa chama tawala Wacha waisome namba.. hapa si chama pinzani bali sote.

Pia kwenye hili naona chama kilichopo kimeamua kutunyonga kwenye ulipaji wa Pango japo wanasema eti unalipia Zaidi ya elfu mbili Unapata Umeme, lakini ukilipa chini ya 5,000 kupata umeme sahau.

Kumbuka haya yote ni awamu hii, pia nikiangalia mama yeye hasemi sana kuhusu haya wapo mawaziri wake yeye busy na kusafiri.

NB: Tulio pinga awamu ya 5 na kuanza kushabikia awamu hii msifikili imewasahau nawacheki tu.
Sina mengi ila tutaisoma namba kiukweli na Yajayo yanafurahisha mko tayari wananzengo?
Acha kelele lipa kodi

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Huko EU huwezi linganisha na huku, wao pesa huonekana kazi yake inayofanyika lakini sie wanaanza na mchakato posho, sasa kazi ianze imebaki 20%

Unatakiwa kuhoji matumizi kama ndiyo hivyo na sio kukataa tozo. Ujue tu tozo ya serikali ni asilimia ndogo ya tozo za simu na wenyewe waulizwe kama hizo tozo ni fair
 
Back
Top Bottom