Mimi si Mwanasiasa, ila kwenye hili la Tozo hapana

Mimi si Mwanasiasa, ila kwenye hili la Tozo hapana

Umeandika vizuri, lakini naomba ukumbuke nchi itajengwa na wananchi. Hatutaweza weza kuona manufaa ya hizi tozo ndani ya mwezi mmoja au miwili lakini manufaa ni makubwa japo yanamaumivu.

Uwekezaji wa tozo hizi ni kwenye huduma za afya, elimu na miundo mbinu vijijini. Ndugu zetu vijijini wana hali mbaya sana kuna maeneo wanafunzi wanatembea zaidi ya km 10+ kufuata elimu kwa sababu ya uhaba wa shule kwenye maeneo ya karibu hata shule ikiwa karibu bado kuna mlundikano wa wanafunzi darasa moja wanafunzi 150+. Vilevile upande wa afya kuna kata mpaka leo hazina vituo vya afya watu wanalazimika kusafiri zaidi ya km 10+ kufuata huduma hii pia kwa kupitia barabara mbovu ambazo ni mateso kwa hasa kwa wamama wajawazito.

Tumekuwa tukilalamika serikali haitoi ajira, naimani kupitia tozo hizi, ujenzi wa vituo vya afya, kuongezwa kawa madarasa na hata shule mpya kutatoa fursa za ajira mpya serikalini. Waajiriwa wapya kupitia mishahara wataongeza mzunguko wa fedha na purchasing power kwenye maeneo watakayoajiriwa.

Vilevile kuongezwa kwa tozo ya mafuta kutaupa nguvu mfuko wa barabara vijijini TARURA, kutawezesha movement ya bidhaa za viwandani na mazao kusafirishwa kwa urahisi na kupunguza mfumuko wa bei uliokuwa unachangiwa na ubovu wa barabara. Pia hata watoa huduma kuwafikia wananchi wao kwa ukaribu na wananchi kuyafikia maeneo ya kutolea huduma kwa urahisi.

Pia tukumbuke kazi zote hizi za ujenzi wa vituo vya afya na mashule / madarasa kandarasi wanapewa wananchi wenye sifa. Hivyo pesa itarudi kwa wananchi kupitia ajira za vibarua, usambazaji wa vifaa vya ujenzi kwenye vituo vya afya, shule mpya.

Cha muhimu value for money iwepo, wakurugenzi wabanwe kuhakikiksha uwazi wa matumizi ya hizi fedha unaendana na thamani.
Ila wameanza kwa kunyonga pakubwa sana mkuu mimi nafkria unyama walio nifanyia leo.
Kweli 5000 unit 1.

LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
 
Ila wameanza kwa kunyonga pakubwa sana mkuu mimi nafkria unyama walio nifanyia leo.
Kweli 5000 unit 1.

LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
Sio kama kodi hiyo haikuwepo, ilikuwepo ila tulikuwa tunalipa mara moja kwa mwaka kwa nyumba za kawaida 10,000/- na Ghorofa 50,000/-, na walikuwa wanalipa wale wenye hati miliki tu. Kilichotokea ni kuikusanya kwa kutumia Luku mara moja kwa mwezi Tsh 1,000/- kwa nyumba za kwa nyumba za kawaida na ghorofa kila flat yenye Luku Tzs 5,000/-

Kikubwa ilikuwa ni kuongeza wigo wa walipa kodi ya pango la aridhi bila kujali nyumba ina hati au haina hati. Naamini nyumba zenye Luku ni nyingi kuliko zenye hati miliki. Ni vizuri serikali kama itakusanya mapato mengi na yakawekezwa kwenye kuboresha huduma za kijamii, cha mihimu ni kupambana na mchwa kwenye hizi fedha na matokeo yaweze kuonekana.
 
Sio kama kodi hiyo haikuwepo, ilikuwepo ila tulikuwa tunalipa mara moja kwa mwaka kwa nyumba za kawaida 10,000/- na Ghorofa 50,000/-, na walikuwa wanalipa wale wenye hati miliki tu. Kilichotokea ni kuikusanya kwa kutumia Luku mara moja kwa mwezi Tsh 1,000/- kwa nyumba za kwa nyumba za kawaida na ghorofa kila flat yenye Luku Tzs 5,000/-

Kikubwa ilikuwa ni kuongeza wigo wa walipa kodi ya pango la aridhi bila kujali nyumba ina hati au haina hati. Naamini nyumba zenye Luku ni nyingi kuliko zenye hati miliki. Ni vizuri serikali kama itakusanya mapato mengi na yakawekezwa kwenye kuboresha huduma za kijamii, cha mihimu ni kupambana na mchwa kwenye hizi fedha na matokeo yaweze kuonekana.
Hapa kumbuka kuna watu wanamiliki Nyumba zenye zaidi ya meter moja hapo si watapata pigo zaidi.
 
Hapa kumbuka kuna watu wanamiliki Nyumba zenye zaidi ya meter moja hapo si watapata pigo zaidi.
Kwenye maghorofa mpango kila flat yenye Luku italipia, kwa nyumba zenye Luku zaidi ya moja zitatolewa taarifa ili meter moja ndio iwe inalipa.
 
Kwenye maghorofa mpango kila flat yenye Luku italipia, kwa nyumba zenye Luku zaidi ya moja zitatolewa taarifa ili meter moja ndio iwe inalipa.
Hapo meter moja italipia ila ni zaidi ya 1,000 kwa mwezi kwa Nyumba ya kawaida.
 
Hapo meter moja italipia ila ni zaidi ya 1,000 kwa mwezi kwa Nyumba ya kawaida.
Hapana, sema kwa kuwa mwaka wa fedha wa serikali unaanza kila mwezi wa saba, ukilipia Luku leo watakata mara mbili kodi ya Pango ya July na August ambayo n iTZS 2,000/'
 
Hapana, sema kwa kuwa mwaka wa fedha wa serikali unaanza kila mwezi wa saba, ukilipia Luku leo watakata mara mbili kodi ya Pango ya July na August ambayo n iTZS 2,000/'
Mimi leo nimelipia 5,000 nimepata unit 1.5
Mbaya zaidi hawatoi mchanganuo kiaje wamekata
 
Mimi leo nimelipia 5,000 nimepata unit 1.5
Mbaya zaidi hawatoi mchanganuo kiaje wamekata
1629578546862.png

Debt collected ni tozo la aridhi 2,000/- kwa mwezi July na August
 
View attachment 1902287
Debt collected ni tozo la aridhi 2,000/- kwa mwezi July na August
Kama ni hivyo basi kwangu wamekusanya 4500.

LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
 
Ni mwendo wakupandisha2 . Haka kabibi na Jobo wake Watapandisha hadi mashetani
 
Kama ni hivyo basi kwangu wamekusanya 4500.

LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
Hapa kawaone Tanesco kituo cha karibu,
 
Back
Top Bottom