Mimi sio kungwi ila ni mwanamke, ichukue hii

Umri wa Miaka 12-15:
Umri wa Miaka 16-18:
Umri wa Miaka 19-20:
Umri wa Miaka 21-23:
Umri wa Miaka 24-25:
Umri wa Miaka 26-27:
Umri wa Miaka 28-29:
Umri wa Miaka 30-32:
Hapo mama yako alianzia wapi na kuishia wapi mpaka wewe ukazaliwa??
 
EXPERIENCE %
 
Sema hao wanawake wenye tabia mbaya wanaoolewa na kuachika kila leo,wenye tabia njema hawaachiki
 
Kaandika mwanamke lkn, wao ndio wanajijua koh unawabishia mkuu
 
natumaini wamesoma na kwa ujumbe huu wamepata matokeo yafuatayo:-
  • wengine wamejuta wanatamani muda ungerudi tena.
  • wengine wamesema kwenda zako kule usituchoshe
  • lakni wapo wanachochakujifunza na wanaweza kubadilika kwa muda walionao
 
sio mimi tu, hata ke wenzake naona wamembishia
Waliobisha hawafiki hata 5 na wanaonekana wana sababu zao zingine tu ukifatilia majibu Yao, mfano dada yangu Jadda hajawahi kusupport chochote kinachomzungumzia mwanamke kwa ubaya wake hata kama kinachozungumzwa kinalandana na yanayoendelea kwenye jamii halisi tinayoishi nayo
 
The reality ni kuwa wanawake huchezea their primal years... wakishachuja ndo wanakumbuka. Hii ya ndoa kuvunjika ni baada ya mwanaume kuona true colors...kwani anaeachwa mostly ni nani kama sio mwanamke. Ifike pahala mkubali madhaifu yenu, you play alot thinking you're gonna be hot forever. Mkishaingia your 30s macho yanaanza kuwatoka.
 
Mkuu CARIFONIA upo sahihi sana na watakuja kujipa sympathy na kijifariji huku ukweli wanajua..
 
Vipi kuhusu mzunguko wa maisha ya msichana ambaye sio wa kisasa (sio malaya)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…