Nasoam IG hapa kwa malkia wa kuchamba2[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]Mkuu unaongea na simu au
Kuna watu humu wa ajabu balaa...wako hovyo sanaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mimi kuna kikongwe kinahangaika na mimi jamani,kila nilipo yupo...
Nami nammaliza kabisa kwa kutokujishughulisha nae.
Sitaki shikamoo nilishakuambiaShikamoo jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ebu niscreenshotie unitumieNasoam IG hapa kwa malkia wa kuchamba2[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23]
NakusalimuMy dear Demiss ... calm down.
Ukilalamikia kusemwa, Nifah asemeje?
Ingekuwa kusema ni kiwango cha elimu basi mimi ningekuwa na PhD ilhali wewe ungekuwa ‘o level’.
Labda tu nikuambie,ktk Dunia hii huwezi kuwazuia watu kusema,kamwe!
Kaa ukijua kwamba watu wameumbiwa maneno hivyo lazima waseme.
Mind your own business na shikamana na wale wanaokupenda tu,nikiwa na maana usiwape attention wabaya wako.
Usiwajibu wala usijieleze,huo ni udhaifu mkubwa kuliko.
Sitaki shikamoo nilishakuambia
Nakusalimu
Unanizeesha[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa nn jamani
Yaani shunie nilikuwa gereza la Guantanamo bayJamani muosha naniliu nimekumiss mm
Nakusalimu
Kwahiyo we ni kiben10 eenhUnanizeesha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Am so humble to see you again nifahSalaam Mkuu [emoji1487][emoji1488]
Ile ban ilikuwa ndefu sana eenh pole sana nilikumiss mmYaani shunie nilikuwa gereza la Guantanamo bay
Kuna watu humu wa ajabu balaa...wako hovyo sanaa
Yaani anakutafuta bila sababu anahaha kama mbu anapholese...
Mradi tu...wapo!miye pia kuna kijuso humu kinahaha na Mimi mpk baasi[emoji2] [emoji2] [emoji2] bora basi angenijua,hanijui zaidi ya kunisoma,angekua kama,wewe au shunie au dinazarde naona kashanianika....
Sio kiben10 ila shikamoo sipendi, unataka kuninyima nnKwahiyo we ni kiben10 eenh
Ni balaa,lile jukwaa la kina nape balaaIle ban ilikuwa ndefu sana eenh pole sana nilikumiss mm
Najua unamlenga nani uwe na jumamosi njema [emoji12] [emoji12] [emoji12]Kabisaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sasaJamani kwani kukupa shikamoo ni kukunyima kitu