Mimi siyo malaika ni binti wa kawaida tu!

Mimi siyo malaika ni binti wa kawaida tu!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mimi kuna kikongwe kinahangaika na mimi jamani,kila nilipo yupo...
Nami nammaliza kabisa kwa kutokujishughulisha nae.
Kuna watu humu wa ajabu balaa...wako hovyo sanaa

Yaani anakutafuta bila sababu anahaha kama mbu anapholese...

Mradi tu...wapo!miye pia kuna kijuso humu kinahaha na Mimi mpk baasi[emoji2] [emoji2] [emoji2] bora basi angenijua,hanijui zaidi ya kunisoma,angekua kama,wewe au shunie au dinazarde naona kashanianika....
 
My dear Demiss ... calm down.

Ukilalamikia kusemwa, Nifah asemeje?
Ingekuwa kusema ni kiwango cha elimu basi mimi ningekuwa na PhD ilhali wewe ungekuwa ‘o level’.

Labda tu nikuambie,ktk Dunia hii huwezi kuwazuia watu kusema,kamwe!
Kaa ukijua kwamba watu wameumbiwa maneno hivyo lazima waseme.

Mind your own business na shikamana na wale wanaokupenda tu,nikiwa na maana usiwape attention wabaya wako.
Usiwajibu wala usijieleze,huo ni udhaifu mkubwa kuliko.
Nakusalimu
 
Tafuta marafiki wengi kadri uwezavyo...lakini usisahau kuwa na maadui wengi pia wa kukutia hasira za ku'hustle maisha....jivunie vyote!!!!!
 
Kuna watu humu wa ajabu balaa...wako hovyo sanaa

Yaani anakutafuta bila sababu anahaha kama mbu anapholese...

Mradi tu...wapo!miye pia kuna kijuso humu kinahaha na Mimi mpk baasi[emoji2] [emoji2] [emoji2] bora basi angenijua,hanijui zaidi ya kunisoma,angekua kama,wewe au shunie au dinazarde naona kashanianika....

Yeyote anayeanika wenzie ni mshamba tu,mimi na umbea wangu wote sijawahi wala sitokaa nifanye huo upuuzi.
 
Back
Top Bottom