Mimi superbug sifa zangu ni hizi

Nimepitia magumu mzee hasa baada ya baba na mama kuachana miaka ya 90 sitaki kukumbuka nyuma.
Umesema una miaka mingapi ili nione kama naweza kukufikia au niaje mkuuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hizi ni sifa za kawaida ambazo zaidi ya members asilimia 80 wanazo humu JF. yaani ume copy kwa members wengi umezikusanya umefanya ziwe zako.
 
Hujaelimika.

Kuwa na nadters au ohd haimaanishi kuelimika. Kondoo wengi wanazo hizo.

Ungeelimika usingesomea ujinga ukakujaa.
 
MKUU SOME OF FACTS TUNAFANANA KIASI FULANI.

Namba 17. Naunga mkono hoja☺️😊 namba 19. Ni TATEPA πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unatakaje sasa maana sijaelewa unaweza kusema 20ml kumbe 20k mambo ambalo sijaona ni mtandao unasearch au ndio wale wakimoja chapu kinalala sema tu. Watoto wote wandani yandoa huna wanje maana ukitakiwa tujue wewe ni rijali lazima uchepuke
 
Wimbi watu kuibuka na kuanza kujisifia na kujinadi limekuwa kwa kasi sana Tena ajabu ni wakiume, Ile critical thinker inapungua sana.
 
Halafu
 
Sawa tumekuelewa,ila hapo kwenye namba 4 naona tusubirie ukiombwa angalau kapicha ka shemeji......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…