ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Umesema una miaka mingapi ili nione kama naweza kukufikia au niaje mkuu😅😅😅Nimepitia magumu mzee hasa baada ya baba na mama kuachana miaka ya 90 sitaki kukumbuka nyuma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema una miaka mingapi ili nione kama naweza kukufikia au niaje mkuu😅😅😅Nimepitia magumu mzee hasa baada ya baba na mama kuachana miaka ya 90 sitaki kukumbuka nyuma.
Hizi ni sifa za kawaida ambazo zaidi ya members asilimia 80 wanazo humu JF. yaani ume copy kwa members wengi umezikusanya umefanya ziwe zako.1. Nina elimu ya Masters.
2. Nimetembea ulaya na USA mostly italy na UK.
3. Nina watoto 3.
4. Mke mzuri.
5. Mpare kwa kabila.
6. Naipenda Israel na Urusi.
7. Najua kutumia silaha za moto.
8. Najua matumizi sahihi ya R na L.
9. Mkatoliki kanisa takatifu la Roma.
10. Mpenzi wa simba SC.
11. Nachukia Ugaidi wa nchi za kislamu.
13. Najua Kiswahili kingereza na kitaliano kidogo.
14. Najua shida na raha
15. Mpenzi mkubwa wa chadema (CCM hapana wana mambo mengi nisiyokubaliana nayo hasa utekaji na wizi wa kura.
16. Rais wangu kipenzi wa tz ni nyerere Mkapa na Jakaya.
17. Nakunywa pombe.
18. Niko timu ndoa (kuoa ni muhimu na baraka.
19. Kipato changu ni 20mM kwa mwezi.
20. Naishi Arusha Tanzania na nakuru kenya.
Hujaelimika.1. Nina elimu ya Masters.
2. Nimetembea ulaya na USA mostly italy na UK.
3. Nina watoto 3.
4. Mke mzuri.
5. Mpare kwa kabila.
6. Naipenda Israel na Urusi.
7. Najua kutumia silaha za moto.
8. Najua matumizi sahihi ya R na L.
9. Mkatoliki kanisa takatifu la Roma.
10. Mpenzi wa simba SC.
11. Nachukia Ugaidi wa nchi za kislamu.
13. Najua Kiswahili kingereza na kitaliano kidogo.
14. Najua shida na raha
15. Mpenzi mkubwa wa chadema (CCM hapana wana mambo mengi nisiyokubaliana nayo hasa utekaji na wizi wa kura.
16. Rais wangu kipenzi wa tz ni nyerere Mkapa na Jakaya.
17. Nakunywa pombe.
18. Niko timu ndoa (kuoa ni muhimu na baraka.
19. Kipato changu ni 20mM kwa mwezi.
20. Naishi Arusha Tanzania na nakuru kenya.
MKUU SOME OF FACTS TUNAFANANA KIASI FULANI.1. Nina elimu ya Masters.
2. Nimetembea ulaya na USA mostly italy na UK.
3. Nina watoto 3.
4. Mke mzuri.
5. Mpare kwa kabila.
6. Naipenda Israel na Urusi.
7. Najua kutumia silaha za moto.
8. Najua matumizi sahihi ya R na L.
9. Mkatoliki kanisa takatifu la Roma.
10. Mpenzi wa simba SC.
11. Nachukia Ugaidi wa nchi za kislamu.
13. Najua Kiswahili kingereza na kitaliano kidogo.
14. Najua shida na raha
15. Mpenzi mkubwa wa chadema (CCM hapana wana mambo mengi nisiyokubaliana nayo hasa utekaji na wizi wa kura.
16. Rais wangu kipenzi wa tz ni nyerere Mkapa na Jakaya.
17. Nakunywa pombe.
18. Niko timu ndoa (kuoa ni muhimu na baraka.
19. Kipato changu ni 20mM kwa mwezi.
20. Naishi Arusha Tanzania na nakuru kenya.
Chadema mwenzio huyoNimefurahishwa na andiko lako, Japo una kipato kidogo
Unatakaje sasa maana sijaelewa unaweza kusema 20ml kumbe 20k mambo ambalo sijaona ni mtandao unasearch au ndio wale wakimoja chapu kinalala sema tu. Watoto wote wandani yandoa huna wanje maana ukitakiwa tujue wewe ni rijali lazima uchepuke1. Nina elimu ya Masters.
2. Nimetembea ulaya na USA mostly italy na UK.
3. Nina watoto 3.
4. Mke mzuri.
5. Mpare kwa kabila.
6. Naipenda Israel na Urusi.
7. Najua kutumia silaha za moto.
8. Najua matumizi sahihi ya R na L.
9. Mkatoliki kanisa takatifu la Roma.
10. Mpenzi wa simba SC.
11. Nachukia Ugaidi wa nchi za kislamu.
13. Najua Kiswahili kingereza na kitaliano kidogo.
14. Najua shida na raha
15. Mpenzi mkubwa wa chadema (CCM hapana wana mambo mengi nisiyokubaliana nayo hasa utekaji na wizi wa kura.
16. Rais wangu kipenzi wa tz ni nyerere Mkapa na Jakaya.
17. Nakunywa pombe.
18. Niko timu ndoa (kuoa ni muhimu na baraka.
19. Kipato changu ni 20mM kwa mwezi.
20. Naishi Arusha Tanzania na nakuru kenya.
Dume lambegu zakienyeji au za kisasaNna watoto watatu ndani ya ndoa mmoja mkubwa nikiwa chuoni nilitundika mtu kitenesi jumla 4
Halafu1. Nina elimu ya Masters.
2. Nimetembea ulaya na USA mostly italy na UK.
3. Nina watoto 3.
4. Mke mzuri.
5. Mpare kwa kabila.
6. Naipenda Israel na Urusi.
7. Najua kutumia silaha za moto.
8. Najua matumizi sahihi ya R na L.
9. Mkatoliki kanisa takatifu la Roma.
10. Mpenzi wa simba SC.
11. Nachukia Ugaidi wa nchi za kislamu.
13. Najua Kiswahili kingereza na kitaliano kidogo.
14. Najua shida na raha
15. Mpenzi mkubwa wa chadema (CCM hapana wana mambo mengi nisiyokubaliana nayo hasa utekaji na wizi wa kura.
16. Rais wangu kipenzi wa tz ni nyerere Mkapa na Jakaya.
17. Nakunywa pombe.
18. Niko timu ndoa (kuoa ni muhimu na baraka.
19. Kipato changu ni 20mM kwa mwezi.
20. Naishi Arusha Tanzania na nakuru kenya.
Umalaya unawasumbuaWimbi watu kuibuka na kuanza kujisifia na kujinadi limekuwa kwa kasi sana Tena ajabu ni wakiume, Ile critical thinker inapungua sana.
Sawa, usipende kutumia ilo neno nakatwa linaukakasi kidogo.Nakatwa kodi tanzania na kenya net salary nabakiwa na 20 milion tsh sio kenyan shilling.