Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Yaani hiyo M20 utaishia kuisomaHata mia huioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hiyo M20 utaishia kuisomaHata mia huioni
Wao ndio wanipe wasifu wao,wajieleze kwa nini wànaona wanafaa niolewe naoWeka wasifu wako timu kataa ndoa kuwashawishi, wamejaa humu
🤣🤣🤣HawafaiYaani hiyo M20 utaishia kuisoma
Mm nimeshangaa mtu anapataje nguvu ya kujidharirisha kwamba ana kipato kidogo hivo😐Nimefurahishwa na andiko lako, Japo una kipato kidogo
Sio kwel🤣🤣🤣Hawafai
SorrySio kwel
Nikuoee basMkikuyu wakenya
Wapare tuna nidhamu ya hela ndio maana watu wengi hututafsiri kama wabahili. Waziri wa fedha aliyejenga misingi imaara ya uchumi wa nchi hii alikuwa CLEOPA DAVID MSUYA.Daah nyie watu nyie!huwezi amini vile vianko vyako ni vidogo ila huchezei pocket money yake kakishika😇
Hivi alifikia cheo gani?Huyo ni tiss mwandamizi na ni jirani yangu.
Ipi hiyo mkuu?😀😀Kuna sifa moja hujaitaja
Ulipofika hapa tu nikaacha na kusoma10. Mpenzi wa simba SC.
Unamtaka tusaidianeWe umepata danga zuri?
Kizuri kula na nduguyoUnamtaka tusaidiane
Ni kweli,ila kuna namna mnatutesa wababe zenu,hebu fikiria hiyo M20 angekuwa anaipata msukuma,kila mwisho wa mwezi wife angekuwa anakula ten percent akafanye matumizi yake....ila kwa mpare wewe sijuiiiWapare tuna nidhamu ya hela ndio maana watu wengi hututafsiri kama wabahili. Waziri wa fedha aliyejenga misingi imaara ya uchumi wa nchi hii alikuwa CLEOPA DAVID MSUYA.