Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

Nime-highlight aya hiyo kwa sababu nataka kukuuliza maswali haya:

Swali la kwanza:-
Kwa kuuona kwako ulimwengu, yaani vitu vinavyoonekana, na utendaji wao: Je, unafikiri umefanyika kwa akili au haujafanyika kwa akili?

Swali la pili:-

Sayansi maana yake ni nini? Na sayansi inatafuta kujua nini? Imani maana yake ni nini? Na kwa nini unafikiri imani na sayansi haviendani?
Usimuulize ilo swali huyo ni kilaza awezi kukupa jibu lenye akili maana ni mtu mweupe kichwani ....ukweli ni kwamba hata kama mtu hana dini yaani afuati dini yoyote ila anazo akili kamwe awezi kusema HAKUNA MUNGU ULIMWENGUNI ..MUNGU YUPO KWA ASILIMIA 100 NA NI POWERFULL SANA
 
Kama nobody knows maana yake hakuna kiyu kinaitwa energy? Maana wewe unasema ni lazima sayansi ijue kitu na kuweza kukielezea ndiyo kitu icho kiwe kweli ? Kwa sasa sayansi imeshindwa kumtambua mungu wewe ukasema hakuna mungu kwa sababu hiyo mbona kwenye energy imeshindwa kutambua imetoka wapi ila amjakanusha kuwa haipo

Sayansi is knowledge toward God's ...miaka inavyo zidi kwenda wanasayansi watakuja kugundua kuwa nyuma ya kuumbika kwa ulimwengu kuna (High powerfully intelligent power and sense)
muulize wanasayansi wanaongelea kuusu force na gravity je zinashikika?zinaonekanika?
 
Kumbuka hata nafsi na roho ni vyako...wewe ni nani?
NENO ROHO NDIYO KILA KITU NDIYO NENO LA KWANZA NDANI YA NENO ROHO NDIYO MAMBO YOTE YANA PATIKANA ...PASIPO ROHO HAKUNA HATA HUYO MUNGU TUNAYE MZUNGUMZIA ...NI NENO KUU SANA
 
Nime-highlight aya hiyo kwa sababu nataka kukuuliza maswali haya:

Swali la kwanza:-
Kwa kuuona kwako ulimwengu, yaani vitu vinavyoonekana, na utendaji wao: Je, unafikiri umefanyika kwa akili au haujafanyika kwa akili?

Swali la pili:-

Sayansi maana yake ni nini? Na sayansi inatafuta kujua nini? Imani maana yake ni nini? Na kwa nini unafikiri imani na sayansi haviendani?
Mkuu ofkoz ULIMWENGU unastaabisha sana kwa namna ulivyofanyika na mpangilio wake wa hali ya juu sana.... kama kuna kitu kimeutengeneza kwa KUKUSUDIA basi kitu hicho kitakua kimetumia AKILI KUBWA SANA kuumba...... But so far sayansi HAIJUI pamoja na kujaribu kutengeneza THEORIES mbalimbali
Mimi pia SIJUI

Sayansi ni LOGIC, kukusanya data, kuzichakata kisha matokeo
Sayansi pia inajaribu kutafuta majibu ya vitu VILIVYOPO kwenye ulimwengu huu
IMANI ni kusadiki jambo ambalo halina UHAKIKA wala UTHIBITISHO

Kwenye IMANI kila kitu kinawezekana
Kwenye sayansi kuna kanuni, sio kila kitu kinawezekana
Imani inakwenda kinyume na kanuni za Sayansi
 
muulize wanasayansi wanaongelea kuusu force na gravity je zinashikika?zinaonekanika?
Mkuu kwani uthibitisho wa kisayansi lazima UONEKANE kwa macho au KUSHIKIKA?

Mkuu unajua maana ya SAYANSI kweli?
 
Mkuu ofkoz ULIMWENGU unastaabisha sana kwa namna ulivyofanyika na mpangilio wake wa hali ya juu sana.... kama kuna kitu kimeutengeneza kwa KUKUSUDIA basi kitu hicho kitakua kimetumia AKILI KUBWA SANA kuumba...... But so far sayansi HAIJUI pamoja na kujaribu kutengeneza THEORIES mbalimbali
Mimi pia SIJUI

Sayansi ni LOGIC, kukusanya data, kuzichakata kisha matokeo
Sayansi pia inajaribu kutafuta majibu ya vitu VILIVYOPO kwenye ulimwengu huu
IMANI ni kusadiki jambo ambalo halina UHAKIKA wala UTHIBITISHO

Kwenye IMANI kila kitu kinawezekana
Kwenye sayansi kuna kanuni, sio kila kitu kinawezekana
Imani inakwenda kinyume na kanuni za Sayansi
Unahisi Kwa Nini haujitengenezi ulimwengu mwingine, Dunia nyingine na viumbe wengine
 
Leo ukisimamishwa ili ujitambulishe kuwa wewe ni nani, kwa vyovyote vile utaanza kutaja majina yako, ukiendelea mbele zaidi unaweza kutambulisha anuani unayotoka ama nasaba yako. Majina uliyonayo ni ya kupewa na wazazi ama jamii yako lakini hayana uhusiano na wewe as mtu.

Lakini, unachokitaja hapo havina uhusiano na wewe kama mtu. Kwa mfano kwenye kutaja viungo vya mwilini utaweza kuorodhesha Mkono wangu, Mguu wangu, Kichwa changu, tumbo langu....... na kadhalika. Lakini ukiulizwa wewe ni nani utataja jina lako ama jinsia.

Je, wewe ni nani haswa? sahau kila kitu chako. Tujadiliane hapa kutafuta majibu. Wewe (mtu) ni nani haswa? Uwepo wako ni upi haswa. Unajitambua ama tufanyeje kujitambua?
Yule unaye ongea nae kimoyomoyo ni nani haswa?
 
Kama nobody knows maana yake hakuna kitu kinaitwa energy? Maana wewe unasema ni lazima sayansi ijue kitu na kuweza kukielezea ndiyo kitu icho kiwe kweli ? Kwa sasa sayansi imeshindwa kumtambua mungu wewe ukasema hakuna mungu kwa sababu hiyo mbona kwenye energy imeshindwa kutambua imetoka wapi ila amjakanusha kuwa haipo

Sayansi is knowledge toward God's ...miaka inavyo zidi kwenda wanasayansi watakuja kugundua kuwa nyuma ya kuumbika kwa ulimwengu kuna (High powerfully intelligent power and sense)
Energy is a scientific terms
Energy zote zinathibitika kisayansi

Energy unayo iita Roho sijui Mungu HAIPO kwenye sayansi kwasababu HATHIBITIKI
 
Mkuu ofkoz ULIMWENGU unastaabisha sana kwa namna ulivyofanyika na mpangilio wake wa hali ya juu sana.... kama kuna kitu kimeutengeneza kwa KUKUSUDIA basi kitu hicho kitakua kimetumia AKILI KUBWA SANA kuumba...... But so far sayansi HAIJUI pamoja na kujaribu kutengeneza THEORIES mbalimbali
Mimi pia SIJUI

Sayansi ni LOGIC, kukusanya data, kuzichakata kisha matokeo
Sayansi pia inajaribu kutafuta majibu ya vitu VILIVYOPO kwenye ulimwengu huu
IMANI ni kusadiki jambo ambalo halina UHAKIKA wala UTHIBITISHO

Kwenye IMANI kila kitu kinawezekana
Kwenye sayansi kuna kanuni, sio kila kitu kinawezekana
Imani inakwenda kinyume na kanuni za Sayansi
Mkuu.

Unachanganya mambo.

Sifa ya kwanza ya imani ni "Uhakika" na "Uthabiti".

Hivyo basi, imani maana yake ni kuwa na uhakika na uthabiti wa mambo yatarajiwayo na bayana ya vitu visivyoonekana.

Kumbe, kwa maneno mengine, imani maana yake ni "kujua".

Ndio kusema: mtu aliye na imani anajua. Huyo ana ufahamu na uelewa wa mambo na elimu ya vitu - ndio uhakika na uthabiti.

Kama hujui, yaani hujui jambo au kitu, huwezi kuwa na uhakika, na huwezi kuwa thabiti katika jambo hilo au katika kitu hicho.

Jambo kuwa la uhakika; au kitu kuwa cha uhakika, maana yake jambo hilo lipo au kitu hicho kipo, ni dhahiri.

Kukosekana kwa uthibitisho au ushahidi, hakuna maana kwamba, kitu hicho au jambo hilo halipo bali kutafuta, kuchunguza na kufuatilia elimu ya vitu (na hii ndio huitwa sayansi), ili kuelewa ukweli wake.

I hope from these explanation you will find what exactly faith is; and what science does.
 
Mkuu science never claims kwamba inajua kila kitu
Sayansi ipo limited

Sayansi haina MIUJIZA yoyote mkuu, ni logic tu, inakusanya taarifa inazifanyia kazi na kutoa majibu.... the process can be complicated lakini hakuna miujiza yoyote.
Tuna apply sayansi kila siku kwenye maisha yetu bila kujijua kwamba tuna apply science.
Mfano ukiwa na banda lako unafuga kuku halafu kila siku kuku mmoja anapotea bandani.... utakachofanya kujua ndio sayansi yenyewe
Ukiondoa sala unayosali kila kitu utakachofanya, utakachotumia utakua una apply science.
Dunia hii ni aridhi maji mimea na viumbe hai..... the rest unachokiona ni matokeo ya SAYANSI, bila sayansi mimi na wewe tusingekuwa tunajadiliana hapa JF

Kama nilivyosema sayansi HAIJUI sababu ya kila kitu mkuu, na hapa ndipo watu wanajichanganya kudhani sayansi inaweza kila kitu na kuanza kuishindanisha na DINI/IMANI..... hii sio SAHIHI

Kwenye sayansi kuna scientific FACT na scientific THEORIES
Nadhani unajua vizuri maana ya FACT.
Theories sio FACT, ni namna science inajaribu kutengeneza uwezekano wa jambo kutokea kulingana na taarifa zilizopo
Sayansi haijui KWAHAKIKA dunia hii imetengenezeka vipi, ndio ikaja na THEORY ya BIG BANG theory.
Theory are open tobe challenged ....... mpaka pale itakapo kuwa scientific FACT
So ukidai theory za kisayansi ni sawa na IMANI ntakuelewa lakini tofauti ni kwamba theory sio fact na zipo wazi kufanyiwa maboresho kulingana na new findings. Hii haipo kwenye IMANI

Mkuu binadamu ni kiumbe mdadisi, na moja ya jambo analolidadisi sana ni ulimwengu huu umetokeaje?
Sayansi haina MAJIBU ikatengeneza theory.
Wengine wakamtengeneza MUNGU ili apatikane aliyeiumba

HAKUNA ANAYEJUA DUNIA IMETOKEAJE...... hakuna

Mkuu science never claims kwamba inajua kila kitu
Sayansi ipo limited

Sayansi haina MIUJIZA yoyote mkuu, ni logic tu, inakusanya taarifa inazifanyia kazi na kutoa majibu.... the process can be complicated lakini hakuna miujiza yoyote.
Tuna apply sayansi kila siku kwenye maisha yetu bila kujijua kwamba tuna apply science.
Mfano ukiwa na banda lako unafuga kuku halafu kila siku kuku mmoja anapotea bandani.... utakachofanya kujua ndio sayansi yenyewe
Ukiondoa sala unayosali kila kitu utakachofanya, utakachotumia utakua una apply science.
Dunia hii ni aridhi maji mimea na viumbe hai..... the rest unachokiona ni matokeo ya SAYANSI, bila sayansi mimi na wewe tusingekuwa tunajadiliana hapa JF

Kama nilivyosema sayansi HAIJUI sababu ya kila kitu mkuu, na hapa ndipo watu wanajichanganya kudhani sayansi inaweza kila kitu na kuanza kuishindanisha na DINI/IMANI..... hii sio SAHIHI

Kwenye sayansi kuna scientific FACT na scientific THEORIES
Nadhani unajua vizuri maana ya FACT.
Theories sio FACT, ni namna science inajaribu kutengeneza uwezekano wa jambo kutokea kulingana na taarifa zilizopo
Sayansi haijui KWAHAKIKA dunia hii imetengenezeka vipi, ndio ikaja na THEORY ya BIG BANG theory.
Theory are open tobe challenged ....... mpaka pale itakapo kuwa scientific FACT
So ukidai theory za kisayansi ni sawa na IMANI ntakuelewa lakini tofauti ni kwamba theory sio fact na zipo wazi kufanyiwa maboresho kulingana na new findings. Hii haipo kwenye IMANI

Mkuu binadamu ni kiumbe mdadisi, na moja ya jambo analolidadisi sana ni ulimwengu huu umetokeaje?
Sayansi haina MAJIBU ikatengeneza theory.
Wengine wakamtengeneza MUNGU ili apatikane aliyeiumba

HAKUNA ANAYEJUA DUNIA IMETOKEAJE...... hakuna
Ok nimekuelewa mzee lengo sio kubishana ila kupata jibu ambalo litakuwa na mashiko zaidi, Sayansi unaundwa na fomula ambazo zinatusaidia kulijua jambo kwa ushahidi na kweli.

sayansi ina mkusanyiko wa Formula ambazo zinatengenezwa kwa lengo la kutatua matatizo au kuwasilisha maelezo ya kisayansi kuhusu uhusiano kati ya mambo mbalimbali.

Lengo linaweza kuwa kufanya utabiri, kufafanua tabia za vitu au michakato, au kusaidia katika kutatua matatizo ya kiufundi au ya kisayansi.

Kwa mfano, katika fizikia, formula inaweza kuundwa ili kufafanua uhusiano kati ya nguvu, kasi, na mabadiliko ya mwendo. Katika hisabati, formula inaweza kutumika kufanya hesabu za maumbo, nafasi, au mizunguko.

Kwa ufupi, formuli zinatengenezwa ili kusaidia katika kutatua matatizo au kuelezea uhusiano kati ya mambo mbalimbali katika sayansi na uhandisi.

Mfano: mtu anazaliwa na kipaji cha kuchora picha au sura ya mtu free hand's bila kitu cha ziada. But kupitia sayansi tunaweza kutengeza fomula au mifumo mizuri kumuwezesha mtu kuchora picha kwa usahihi kama vile yule aliezaliwa na kipaji.

Sasa tukubaliane sayaninsi ni mkusanyiko wa fomula ili kusoma uumbaji wa Mungu au tuendelee kusubiri jibu la kisayansi ambalo litatuambia chanzo cha ulimwengu?

Sasa tujiulize tofauti kati ya nguvu ya asili kisayansi na nguvu ya Mungu kiimani?

Hapa chini ni awiano

Nguvu ya asili - Ipo kila mahari, na ndio inaendesha ulimwengu, nguvu za kijiolojia kama volkano au tetemeko la ardhi, nguvu za hali ya hewa kama upepo na mvua, au nguvu za fizikia kama graviti. Nguvu ya asili inaweza kumaanisha nguvu ambayo inaelezea mienendo ya ulimwengu, ikijumuisha ukuaji wa mimea, mzunguko wa sayari, au hata tabia za binadamu na viumbe wengine. Nguvu hii ndio ninatengeneza ulimwengu.

Nguvu hii hakuna majibu ya kisayansi kuwa ametoka wapi.

Kwa maelezo ya iyo nguvu ya kisayansi ( nguvu ya asili ) inafanana sana na maelezo ya hii nguvu ya kiimani inayoitwa MUNGU

Mungu - Yupo kila mahari, na ndio anaendesha ulimwengu, Mungu huleta mambo kijiolojia kama volkano au tetemeko la ardhi, Mungu huleta hali ya hewa kama upepo na mvua, au nguvu za fizikia kama graviti. Mungu ndie ameumba nguvu ambayo inaelezea mienendo ya ulimwengu, ikijumuisha ukuaji wa mimea, mzunguko wa sayari, au hata tabia za binadamu na viumbe wengine. Mungu ndie ninatengeneza ulimwengu.

Mungu hakuna majibu ya kiimani kuwa ametoka wapi.

Nafikiri kwamba utofauti kati ya Mungu na Asili ya kisayansi ni namna ya kupokea hii hali ambayo hatujui asili yake ni nini. Na tofauti kubwa ni majina.

Tuongezee kidogo

Kwa mara ya kwanza watu waliamini kuwa dunia imejishikiza sehemu fulani na ni kitovu cha ulimwengu kwamba jua,mwezi na vitu vingine ndio vinaizunguka dunia mpaka pale mwanasayansi Galileo Galilei aligundua kuwa Dunia inazunguka jua katika obiti yake mnamo karne ya 17, haswa mwaka 1609 na 1610 kupitia uchunguzi wake kwa kutumia darubini.

Kumbuka Biblia ni mkusanyiko wa maandiko matakatifu ambayo yameandikwa na waandishi mbalimbali kwa kipindi cha karibu miaka elfu mbili. Sehemu za kwanza za Biblia ziliandikwa karibu na mwanzo wa mwaka 1000 BC, wakati sehemu za mwisho ziliandikwa karibu na mwaka 100 AD (hasa agano jipya).

Kwa mahesabu ya haraka hapo biblia iliandikwa miaka 2000 kabla ya ugunduzi wa Galileo. Lakini kuna Udhibitisho kwenye Biblia kuwa dunia inayoninginia yenyewe kabla ya ugunduzi wa Galileo

Ayubu 26:7

7 Hulitandaza anga la kaskazini* mahali pasipo na kitu, Na kuining’iniza dunia mahali pasipo na kitu;

Kwa kuongezea pia mchakato wa mvua ulielezewa kwenye biblia

Ayubu 36:27, 28

27 Yeye huvuta juu matone ya maji;Yanaganda na kuwa mvua kutokana na ukungu wake;28 Kisha mawingu huyamwaga chini;Yanawanyeshea wanadamu

Nimetumia biblia kwasababu ndio kitabu cha imani nilichokisoma zaidi kuliko vingine sijajua kama kwenye Quran pia kuna visibitisho vya kisayansi but niliwaikuona mada izo ila sijathibisha mwenyewe.

Sasa hapa tunaona baadhi ya mambo ambayo yamethibitishwa kisayansi yaliyongelewa kiimani kabla.

Tumetengenezwa kuelewa jambo na kulitafakali. kama ambavyo tunaweza kutafakali na kuhojia maandiko ili kupata jibu sahihi. Hatuzuiwi pia kutafakali na kuhoji sayansi ya uumbaji ili tupate ukweli.
 
Energy is a scientific terms
Energy zote zinathibitika kisayansi

Energy unayo iita Roho sijui Mungu HAIPO kwenye sayansi kwasababu HATHIBITIKI
Mungu kasema kaumba binadamu wewe unamwona binadamu siyo sehemu ya sayansi ? Sayansi ipo ndani ya uumbaji wa mungu ...wewe mwenyewe umesema binadamu ni mwili na software na mungu kasema yeye kaumba hayo hivyo sayansi siyo kitu ambacho akiusiani na mungu kama wewe unavyo dhani
Kwa kifupi (sayansi ni reverse engineer of God creation ) ndiyo maana nikakupa kanuni kuwa sayansi is knowledge toward God
 
Energy is a scientific terms
Energy zote zinathibitika kisayansi

Energy unayo iita Roho sijui Mungu HAIPO kwenye sayansi kwasababu HATHIBITIKI
Kisayanyi uwezi kusema kitu hakipo kwa sababu sayansi aijakijua hicho kitu...kuna vitu vingi vilikuwa avijulikani kisanyansi lakini vilikuwepo ila baadaye vikaja kujulikana ..logic yako ni potovu kwa sababu wewe unaleta dhana kuwa saysnsi ikigundua kitu ndiyo kitu icho kilicho gunduliwa kinaanza kuwepo na sayansi isipo kigundua kitu basi icho kitu ni hakipo ...very stupidii logic
 
Wenye akili tumieni hizi fafanuzi mbili nilizo zibuni kujifunza

1)..(SCIENCE IS THE REVERSE ENGINEER OR REVERSE KNOWLEDGE OF GOD CREATION)

2)SCIENCE IS KNOWLEDGE TOWARD GOD NOT AGAINST GOD


Hizi fafanuzi nimeibuni mimi mwenyewe kwa kutumia akili ....yoyote anaweza kujifunza kitu hapa kwenye hizo fafanuzi



Njoo huku nikuongezee elimu DR Mambo Jambo
 
Mkuu.
Unachanganya mambo.

Sifa ya kwanza ya imani ni "Uhakika" na "Uthabiti".

Hivyo basi, imani maana yake ni kuwa na uhakika na uthabiti wa mambo yatarajiwayo na bayana ya vitu visivyoonekana.

Kumbe, kwa maneno mengine, imani maana yake ni "kujua".

Ndio kusema: mtu aliye na imani anajua. Huyo ana ufahamu na uelewa wa mambo na elimu ya vitu - ndio uhakika na uthabiti.

Kama hujui, yaani hujui jambo au kitu, huwezi kuwa na uhakika, na huwezi kuwa thabiti katika jambo hilo au katika kitu hicho.

Jambo kuwa la uhakika; au kitu kuwa cha uhakika, maana yake jambo hilo lipo au kitu hicho kipo, ni dhahiri.

Kukosekana kwa uthibitisho au ushahidi, hakuna maana kwamba, kitu hicho au jambo hilo halipo bali kutafuta, kuchunguza na kufuatilia elimu ya vitu (na hii ndio huitwa sayansi), ili kuelewa ukweli wake.

I hope from these explanation you will find what exactly faith is; and what science does.
Mkuu hiyo sio tafsiri ya IMANI

Hiyo ni aya kutoka kitabu kinachoitwa Bibilia “maneno matakatifu ya Mungu”
Waebrania 1:11

Nenda kwenye kamusi au dictionary ya Oxford upate tafsiri sahihi ya IMANI
 
Mkuu science never claims kwamba inajua kila kitu
Sayansi ipo limited

Sayansi haina MIUJIZA yoyote mkuu, ni logic tu, inakusanya taarifa inazifanyia kazi na kutoa majibu.... the process can be complicated lakini hakuna miujiza yoyote.
Tuna apply sayansi kila siku kwenye maisha yetu bila kujijua kwamba tuna apply science.
Mfano ukiwa na banda lako unafuga kuku halafu kila siku kuku mmoja anapotea bandani.... utakachofanya kujua ndio sayansi yenyewe
Ukiondoa sala unayosali kila kitu utakachofanya, utakachotumia utakua una apply science.
Dunia hii ni aridhi maji mimea na viumbe hai..... the rest unachokiona ni matokeo ya SAYANSI, bila sayansi mimi na wewe tusingekuwa tunajadiliana hapa JF

Kama nilivyosema sayansi HAIJUI sababu ya kila kitu mkuu, na hapa ndipo watu wanajichanganya kudhani sayansi inaweza kila kitu na kuanza kuishindanisha na DINI/IMANI..... hii sio SAHIHI

Kwenye sayansi kuna scientific FACT na scientific THEORIES
Nadhani unajua vizuri maana ya FACT.
Theories sio FACT, ni namna science inajaribu kutengeneza uwezekano wa jambo kutokea kulingana na taarifa zilizopo
Sayansi haijui KWAHAKIKA dunia hii imetengenezeka vipi, ndio ikaja na THEORY ya BIG BANG theory.
Theory are open tobe challenged ....... mpaka pale itakapo kuwa scientific FACT
So ukidai theory za kisayansi ni sawa na IMANI ntakuelewa lakini tofauti ni kwamba theory sio fact na zipo wazi kufanyiwa maboresho kulingana na new findings. Hii haipo kwenye IMANI

Mkuu binadamu ni kiumbe mdadisi, na moja ya jambo analolidadisi sana ni ulimwengu huu umetokeaje?
Sayansi haina MAJIBU ikatengeneza theory.
Wengine wakamtengeneza MUNGU ili apatikane aliyeiumba

HAKUNA ANAYEJUA DUNIA IMETOKEAJE...... hakuna
Science sio ngumu, is the study of simple things, changamoto ni kwamba we evolved with a hunter gather mindset....

The blind watch maker by Richard Dawkins
 
Science sio ngumu, is the study of simple things, changamoto ni kwamba we evolved with a hunter gather mindset....

The blind watch maker by Richard Dawkins
Ukisema kwamba sayansi siyo ngumu unakosea maana science ni kitu chenye kukua . Science yote tuliyo nayo wanadamu leo ni chembe tu ya science tusiyo ijua soma hii kanuni chini inabeba majibu yote ya science na dini na uzito wa science labda wewe una zungumzia science tuliyo nayo hadi sasa tu.

[emoji116][emoji116]

Wenye akili tumieni hizi fafanuzi mbili nilizo zibuni kujifunza

1)..(SCIENCE IS THE REVERSE ENGINEER OR REVERSE KNOWLEDGE OF GOD CREATION)

2)SCIENCE IS KNOWLEDGE TOWARD GOD NOT AGAINST GOD

Hizi fafanuzi nimeibuni mimi mwenyewe kwa kutumia akili ....yoyote anaweza kujifunza kitu hapa kwenye hizo fafanuzi
 
Kisayanyi uwezi kusema kitu hakipo kwa sababu sayansi aijakijua hicho kitu...kuna vitu vingi vilikuwa avijulikani kisanyansi lakini vilikuwepo ila baadaye vikaja kujulikana ..logic yako ni potovu kwa sababu wewe unaleta dhana kuwa saysnsi ikigundua kitu ndiyo kitu icho kilicho gunduliwa kinaanza kuwepo na sayansi isipo kigundua kitu basi icho kitu ni hakipo ...very stupidii logic
Kama hakipo kwanini una FORCE kipo?
Kwahiyo tuamini(tukubali tu) UPUMBAVU wowote ambao HAUPO na hauthibitiki kama upo kwa kigezo kwamba Sayansi bado haijagundua?

Ndio maana tunasema kwenye IMANI kuna UJINGA mwingi sana kwasababu KILA KITU KINAWEZEKANA kwenye IMANI
Hatakama jambo HALIPO na uwezekano wakuwepo haupo lakini kwenye IMANI “lipo”
Science doesn’t work that way

IMANI itabaki kuwa IMANI unless hujui maana ya IMANI
Mtume anaposema mfia dini anakwenda kupewa mabikira 72 au Yesu anaposema watakao muamini hadi kufa watakwenda kula naye bata milele, au Vikings wanaoamini ukifa vitani na shoka mkononi unakenda kula bata Valahala, na kuna mamilioni ya IMANI kama hizi........... science has nothing to do with this kind of nonsense

Sayansi ina deal na mambo yaliopo. sayansi haishughuliki na hekaya za kusadikika
 
Back
Top Bottom