Minong'ono kuwa Mwamposa anatakiwa kuhama Tanganyika Packers December inazidi Kupamba Moto. Je, ina ukweli wowote?

Minong'ono kuwa Mwamposa anatakiwa kuhama Tanganyika Packers December inazidi Kupamba Moto. Je, ina ukweli wowote?

Mimi nikajua unasemea wale wanawake wanao toaga ile sadaka ya kujimaliza.kisha wanakosa hata nauli ,na wanaanza kuingia hapa mtaani kuanza kuomba nauli[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Masela wa hapo stand na walima maua karibia na kwa mwamposaa hua wanawafaidi saaana wadada/wamama walio toa sadaka ya kujimaliza[emoji1787][emoji1787][emoji1787].



Sadaka ya kujimaliza ni ile ombi la kumtaka muumini atoe hela yooote aliyo nayo kwa wakati huo.hapo ndipo wale wenye imani inayo zidi ya mwamposaa mwenyewe hua wanajimaliza kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787].


Dini ni ulevi tuuu kama ulivyo ulevi mwingine.
Hahahahahahah hivi kuna sadaka ya aina hio kmmmk dah ๐Ÿ˜‚!!! Ila wanawake na hizi dini ni balaa!

Yani utoe sadaka mpaka hela ya nauli ulio nayo?
 
Kama ni kweli KEROZENE nitaumia na Kusikitika mno kwani kama kuna mahala ambapo huwa napata Wanawake wepesi na kula nao Uroda kiurahisi na situmii Gharama yoyote ile ni wa hapo Kwake Mtume Mwamposa Tanganyika Packers Kawe.

Tafadhali Serikali kama Minong'ono hii ni ya Kweli naomba msitishe Uamuzi huu kwani Wanaume wengine tumeshasahau namna ya Kutongoza baada ya Kurahisishiwa kupata Wanawake Kiurahisi wanaoenda Kuabudu kwa Mtume Mwamposa ambao ni wepesi Kutongozewa na Kudanganyika na Watoto wa Mjini na Kuliwa Uroda.

Ukikataliwa na Mwanamke awe Single au Kaolewa anayesali kwa Mtume Mwamposa Tanganyika Packers Kawe basi jua Wewe una Nuksi moja ya Ajabu sana kwani wao ukiwaingia tu kwa Gia ya Kuwaoa au kuwapa Mimba ( kwani wengi wana tatizo la kupata Mimba ) au kuwapa Kazi na Pesa za Matunzo unaweza hata kwa Siku Moja tu ukawala Uroda ( Ukawalala ) Watatu mpaka Saba kutegemeana na Nguvu zako za Kibaiolojia.
Dah...[emoji23]
Jamaa umeongea kwa uchungu.

Any way ngoja mabaharia wa jisebenze kwenye hizo Mbrunye za Mshua[emoji23]

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nikajua unasemea wale wanawake wanao toaga ile sadaka ya kujimaliza.kisha wanakosa hata nauli ,na wanaanza kuingia hapa mtaani kuanza kuomba nauli[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Masela wa hapo stand na walima maua karibia na kwa mwamposaa hua wanawafaidi saaana wadada/wamama walio toa sadaka ya kujimaliza[emoji1787][emoji1787][emoji1787].



Sadaka ya kujimaliza ni ile ombi la kumtaka muumini atoe hela yooote aliyo nayo kwa wakati huo.hapo ndipo wale wenye imani inayo zidi ya mwamposaa mwenyewe hua wanajimaliza kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787].


Dini ni ulevi tuuu kama ulivyo ulevi mwingine.
Mkuu na ww ni kada mtiifu wa pale Tanganyika Peckers panapobubujika upako? Au ni mzamiaji wa lindo la mbususu?
 
Why!? Hata kama akihama haina shida, ana vijiwe vingi tu mikoani kama pale abc mjini moshi. Ila mzaha uachwe hakuna mbususu rahisi pale ni dhihaka tu hizi.
 
Mimi nitachangia kwenye mada uloileta ,sidhani Kama serekali Ina mpango huo wa kumuamisha kwa sababu ya chuki za watu wasomtakia mema yeye na huduma yake.nadhani analipa Kodi nyingi tu na serekali haiwezi poteza mapato kwa kumfanyia hila.eneo lile ni kubwa Kama kuna miradi itakayotaka fanyika wanaweza tumia upande wowote pale
 
Ina maana huoni maneno uliyoandika yako wazi hukutumia uficho umeandika kama yalivyo. Halafu umeishusha huduma ya mwamposa kuwa pale unajipatia wanawake bwerere kwa kuwa wana shida ya mahitaji yao. Are serious? Uende pale ukajitongozee mwanamke na umpate, mwanamke gani huyo yuko kirahisi kubebwa na jibaba lisilojulikana limetoka wapi? Hakuna kitu kama hicho
Wanawake wa Pale wana akili?
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜†
Aisee nimeecheeekaaaah!
Chaputa walipungua mitaani!
Chama kitarudia

Everyday is Saturday................................๐Ÿ˜Ž
 
Ina maana huoni maneno uliyoandika yako wazi hukutumia uficho umeandika kama yalivyo. Halafu umeishusha huduma ya mwamposa kuwa pale unajipatia wanawake bwerere kwa kuwa wana shida ya mahitaji yao. Are serious? Uende pale ukajitongozee mwanamke na umpate, mwanamke gani huyo yuko kirahisi kubebwa na jibaba lisilojulikana limetoka wapi? Hakuna kitu kama hicho
Nimeandika Uhalisia ambao hata Mimi nimeushiriki na nitaendelea Kuushiri mpaka pale Wanawake wanaosali hapo watakapobadilika na kuwa na Akili Timamu kama Wanawake wa Kanisani Kwangu Katoliki au Lutherani au Anglikana ambao wanajielewa na hawana Upuuzi kama wenu hawa wa Kilokole huko sijui TAG na EAGT.
 
Back
Top Bottom