MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #61
Unakataa nini na Unakubali nini? Ulikataa kipi na mbona hivi sasa Unakikubali tena?Unaeleweka mistarini nini unawasilisha katika hoja yako ila unakosea kuhusisha walokole wakati pale hakuna walokole wa hivyo ni mkusanyiko wa dini kama zote
Halafu acha Kunifundisha jinsi ya Kuwasilisha hapa Jambo au Mada sawa? Huna Mamlaka hayo na kamwe hutokuwa nayo just yangu abadan sawa?
Hivi Uwasilishaji wa Gazeti la The Citizen na la Dally News upo sawa? Maudhui ya ITV Tanzania ni sawa na ya Azam Tv? Nikikuita Mpumbavu ( Fool ) usiwe Unachukia kwani nipo sahihi na jitahidi ubadilike na utumie vyema Akili zako katika Kufikiria Kimantiki uwapo na Great Thinkers hapa JamiiiForums sawa?