Minong'ono ya Mbowe kuhusishwa na kushambuliwa kwa Lissu ni mingi, isipuuzwe na Vyombo vya Usalama

Minong'ono ya Mbowe kuhusishwa na kushambuliwa kwa Lissu ni mingi, isipuuzwe na Vyombo vya Usalama

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.
 
Mwaka ule niliogundua chadema ni vibaka kuliko vibaka wote nchini ndio Mwaka nilioamua kuwapuuza chadema

Kama hawa ndio wanataka kushika dola heri wananchi tukomae CCM iendelee kutawala tuu

Chadema 2005 - 2014
20210724_195112.jpg
images (9).jpeg
 
Mbowe amehusishwa na mambo mengi sana kama vile kifo cha Chacha wangwe. Marehemu kabla ya kifo chake alishauri kile kipengele cha ukomo wa madaraka kwa mwenyekiti kirudishwe ili kutoa haki na wengine waweze kukiongoza chama hicho kupitia demokrasia ya kweli ndani ya chama. Ukiachana na hii ambayo imekaa kiupande upande, kama ile katiba ya kwa M7 ambapo kila uchaguzi unapofika jamaa anaambiwa ana haki ya kugombea ili mradi tu chama kimempitisha agombee (udikteta). Kumkosa kosa Zito kwa njia ya sumu baada ya yeye pia kujaribu kum challenge Mbowe kuhusu uenyekiti ambao ndio unampa utajiri, na kumfanya Mbowe awe na nguvu na uwezo wa kuamua chochote ndani ya chama bila mpuuzi yoyote kufungua domo lake kupingana nae. Pia inasemekana Ben saa8 ilishikwa masikio na wapenda mabadiliko ambao walimtumia saa8 kama speaker ya kumshauri mwenyekiti kuhusu kujiuzulu, au kuacha kugombea tena katika uchaguzi mungine kwa sababu ya boko aliyotoa mwaka 2015 ya kumleta fisadi aje agombee uraisi huku akiwaacha wafia chama wa kweli wakimpigia deki barabara. Kwahiyo kitendo cha Ben kujaribu kumshauri bwana mkubwa kilisababisha hasira ya chini kwa chini na matokeo yake alipotea ktk mazingira ya kutatanisha baada ya kutoka ofisini kwake. Lisu ujuaji wake na umaarufu alioanza kujijengea ndani ya chama ndio uliomponza maana mwenyekiti aligundua kama jamaa angeendelea kuwa vizuri mpk ktk uchaguzi mkuu wa chama, basi angeshauriwa agombee na hatimae kumbwaga mwenyekiti kwahiyo baada ya kuligundua hilo akataka afanye ya Chacha wangwe ila kwa bahati nzuri Lisu siku zake zilikuwa bado kama ilivyokuwa kwa Zito. Samaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge mwenyekiti aliambiwa wazi kuwa "asijaribu kuonja sumu kwa ulimi". Hii kauli ilibeba ujumbe na maana nzito sana. Hakika "KIKULACHO KI NGUONI MWAKO"
 
Mbowe amehusishwa na mambo mengi sana kama vile kifo cha Chacha wangwe baada ya marehemu kabla ya kifo chake kushauri kipengele cha ukomo wa madaraka kwa mwenyekiti kirudishwe ili kutoa haki na wengine waweze kukiongoza chama hicho kupitia demokrasia ya kweli ndani ya chama ukiachana na hii ambayo imekaa kiupande upande, kama ile katiba ya kwa M7 ambapo kila uchaguzi unapofika jamaa anaambiwa ana haki ya kugombea ili mradi tu chama kimempitisha (udikteta), kumkosa kosa Zito kwa njia ya sumu baada ya yeye pia kujaribu kum challenge Mbowe kuhusu uenyekiti ambao ndio unampa utajiri, na kumfanya Mbowe awe na nguvu na uwezo wa kuamua chochote ndani ya chama bila mpuuzi yoyote kufungua domo lake kupingana nae. Pia inasemekana Ben saa8 ilishikwa masikio na wapenda mabadiliko ambao walimtumia saa8 kama speaker ya kumshauri mwenyekiti kuhusu kujiuzulu au kuacha kugombea tena katika uchaguzi mungine kwa sababu ya boko aliyotoa mwaka 2015 ya kumleta fisadi aje agombee uraisi huku akiwaacha wafia chama wa kweli wakimpigia deki barabara, kwahiyo kitendo cha Ben kujaribu kumshauri bwana mkubwa kilisababisha hasira ya chini kwa chini na matokeo yake alipotea ktk mazingira ya kutatanisha baada ya kutoka ofisini kwake. Lisu ujuaji wake na umaarufu alioanza kujijengea ndani ya chama ndio uliomponza maana mwenyekiti aligundua kama jamaa angeendelea kuwa vizuri mpk ktk uchaguzi mkuu wa chama basi angeshauriwa agombee na hatimae kumbwaga mwenyekiti kwahiyo baada ya kuligundua hilo akataka afanye ya Chacha wangwe ila kwa bahati nzuri Lisu siku zake zilikuwa bado kama ilivyokuwa kwa Zito.
Weka aya.
 
Mbowe amehusishwa na mambo mengi sana kama vile kifo cha Chacha wangwe baada ya marehemu kabla ya kifo chake kushauri kipengele cha ukomo wa madaraka kwa mwenyekiti kirudishwe ili kutoa haki na wengine waweze kukiongoza chama hicho kupitia demokrasia ya kweli ndani ya chama ukiachana na hii ambayo imekaa kiupande upande, kama ile katiba ya kwa M7 ambapo kila uchaguzi unapofika jamaa anaambiwa ana haki ya kugombea ili mradi tu chama kimempitisha (udikteta), kumkosa kosa Zito kwa njia ya sumu baada ya yeye pia kujaribu kum challenge Mbowe kuhusu uenyekiti ambao ndio unampa utajiri, na kumfanya Mbowe awe na nguvu na uwezo wa kuamua chochote ndani ya chama bila mpuuzi yoyote kufungua domo lake kupingana nae. Pia inasemekana Ben saa8 ilishikwa masikio na wapenda mabadiliko ambao walimtumia saa8 kama speaker ya kumshauri mwenyekiti kuhusu kujiuzulu au kuacha kugombea tena katika uchaguzi mungine kwa sababu ya boko aliyotoa mwaka 2015 ya kumleta fisadi aje agombee uraisi huku akiwaacha wafia chama wa kweli wakimpigia deki barabara, kwahiyo kitendo cha Ben kujaribu kumshauri bwana mkubwa kilisababisha hasira ya chini kwa chini na matokeo yake alipotea ktk mazingira ya kutatanisha baada ya kutoka ofisini kwake. Lisu ujuaji wake na umaarufu alioanza kujijengea ndani ya chama ndio uliomponza maana mwenyekiti aligundua kama jamaa angeendelea kuwa vizuri mpk ktk uchaguzi mkuu wa chama basi angeshauriwa agombee na hatimae kumbwaga mwenyekiti kwahiyo baada ya kuligundua hilo akataka afanye ya Chacha wangwe ila kwa bahati nzuri Lisu siku zake zilikuwa bado kama ilivyokuwa kwa Zito. Samaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge mwenyekiti aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi hii kauli ilibeba ujumbe na maana nzito sana.

Wasipouanika watautwanga mbichi😎😎😎
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Nonsense. LET MBOWE FREE!!!!
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Sasa kwanini likija suala LA uchunguzi kama LA lissu serikali hua inazuia?
Namaanisha uchunguzi huru Wa kimataifa
 
Sasa kwanini likija suala LA uchunguzi kama LA lissu serikali hua inazuia?
Namaanisha uchunguzi huru Wa kimataifa
Uchunguzi wa kimataifa unagharama zake, nani atawalipa mabilioni ya shiling? lkn pia kwann waitwe wa kimataifa na wakati wa kwetu wanaliweza jambo hilo? Mbowe na genge lake wamwachie dereva aje ahojiwe ili haki ya muhusika ipatikane.
 
Uchunguzi wa kimataifa unagharama zake, nani atawalipa mabilioni ya shiling? lkn pia kwann waitwe wa kimataifa na wakati wa kwetu wanaliweza jambo hilo? Mbowe na genge lake wamwachie dereva aje ahojiwe ili haki ya muhusika ipatikane.
Uongo husafiri kwa lift ila ukweli hutumia ngazi...na hatimaye hufika japo kwa kuchelewa😜!
Kitaeleweka tu na uhuni pamoja na ughaidi unaokibeba chadema!
 
Mwaka ule niliogundua chadema ni vibaka kuliko vibaka wote nchini ndio Mwaka nilioamua kuwapuuza chadema

Kama hawa ndio wanataka kushika dola heri wananchi tukomae CCM iendelee kutawala tuu

Chadema 2005 - 2014
View attachment 1889514View attachment 1889515
da yaani chadema wakiyaona haya wanjiona ni jinsiganiwalivyo wajinga na wanavyowafanya wa tz wajinga kumbe tumeshaamka zamaaaaaaniiii ndiyo maana sikuhizi tunasikiliza tu press zao tunaachana nazo tunaendelea na mambo yetu kuandamana kwa wapuuzi kama hawa wenye ndimi mbilimbili nani anaweza? gaidi tulia ule uichokipanda
 
Huyo 2019 alishawahi kusema mbowe ni jambazi na akikuomba sim mpe tu atakuua kweli hatanii[emoji1787][emoji1787].

Ila chadema tuliwaonya sana kumshabikia huyu mchochez na mpotishaji asieitakia mema nchi yetu hakumskia mkageuka kuwa machawa wake haya sasa
20210804_172437.jpg
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Hili jambo la Mwenyekiti Mbowe kuhusishwa na Tobo kupigwa risasi lilishaelezwa na kufafanuliwa sana humu JF kwa sababu Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa sasa wana ugomvi wao wa kisisasa wa kugombania nafasi hiyo ya Uenyekiti, kwani ilifika wakati, Tobo akawa POPULAR kumzidi Mwenyekiti wake. Haya mambo ni vita vya ndani tuwaachie wenyewe na zaidi ya yote, dereva wa Tobo ndiye mwenye taarifa zote on this issue. Tuwaachie wenyewe!
 
Back
Top Bottom