Minong'ono ya Mbowe kuhusishwa na kushambuliwa kwa Lissu ni mingi, isipuuzwe na Vyombo vya Usalama

Minong'ono ya Mbowe kuhusishwa na kushambuliwa kwa Lissu ni mingi, isipuuzwe na Vyombo vya Usalama

Kuna mijamaa ikisikia Mbowe, Chadema, katiba mpya, Corona nk mioyo hudunda karibu roho kuwatoka!

Mleta mada keshatia timu, mwingine huyu hapa, ngoja tuisubiri mingine.

Miye niko na zoom najisemea:

Hiiiiii bagosha!


Hiiiiii bagosha!

😃😃😃😃😃
 
waswahili tuna msemo usemao;
Hakuna marefu yasiyo na ncha.........

sasa kachafuka vibaya sana!!

tayari taarifa zake zimeingizwa kwenye database ya dunia kama GAIDI.

alidhani uovu wake huto julikana milele........!!!
wacha avune alicho kipanda!!!

Mtu alidiriki kukiuza chama mwaka 2015 kwa billion 10!!! akamchuuza mzee wa watu Dr.!!! aisee huyu jamaa ni hatari!!
wanao diriki kumtetea mtu kama huyu hata wao ni waovu au walikuwa wana nufaika na uovu wake sana. lkn sasa kafikia mwisho.
Tena kafikia mwisho mbaya ingawa TOBO anafurahi kwani anajua atakuwa Kaimu Mwenyekiti aliyeko Ughaibuni! Anakoishi kwa ruzuku ya Wabeligiji, ingawa naye siku zake zinahesabiwa kwani Wazungu wanapitia kipindi kigumu - kimaisha na kimaendeleo - hivyo wanaanza kuhoji matumizi ya ajabu ajabu ya kuwalisha watu kama akina Tobo na nani yule mwingine kule Kanada!? Donor fatique is a reality na itawagusa tu anytime.
 
Mbowe amehusishwa na mambo mengi sana kama vile kifo cha Chacha wangwe. Marehemu kabla ya kifo chake alishauri kile kipengele cha ukomo wa madaraka kwa mwenyekiti kirudishwe ili kutoa haki na wengine waweze kukiongoza chama hicho kupitia demokrasia ya kweli ndani ya chama. Ukiachana na hii ambayo imekaa kiupande upande, kama ile katiba ya kwa M7 ambapo kila uchaguzi unapofika jamaa anaambiwa ana haki ya kugombea ili mradi tu chama kimempitisha agombee (udikteta). Kumkosa kosa Zito kwa njia ya sumu baada ya yeye pia kujaribu kum challenge Mbowe kuhusu uenyekiti ambao ndio unampa utajiri, na kumfanya Mbowe awe na nguvu na uwezo wa kuamua chochote ndani ya chama bila mpuuzi yoyote kufungua domo lake kupingana nae. Pia inasemekana Ben saa8 ilishikwa masikio na wapenda mabadiliko ambao walimtumia saa8 kama speaker ya kumshauri mwenyekiti kuhusu kujiuzulu, au kuacha kugombea tena katika uchaguzi mungine kwa sababu ya boko aliyotoa mwaka 2015 ya kumleta fisadi aje agombee uraisi huku akiwaacha wafia chama wa kweli wakimpigia deki barabara. Kwahiyo kitendo cha Ben kujaribu kumshauri bwana mkubwa kilisababisha hasira ya chini kwa chini na matokeo yake alipotea ktk mazingira ya kutatanisha baada ya kutoka ofisini kwake. Lisu ujuaji wake na umaarufu alioanza kujijengea ndani ya chama ndio uliomponza maana mwenyekiti aligundua kama jamaa angeendelea kuwa vizuri mpk ktk uchaguzi mkuu wa chama, basi angeshauriwa agombee na hatimae kumbwaga mwenyekiti kwahiyo baada ya kuligundua hilo akataka afanye ya Chacha wangwe ila kwa bahati nzuri Lisu siku zake zilikuwa bado kama ilivyokuwa kwa Zito. Samaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge mwenyekiti aliambiwa wazi kuwa "asijaribu kuonja sumu kwa ulimi". Hii kauli ilibeba ujumbe na maana nzito sana.
nakumbuka kifo cha Chacha Wagwe, Mbowe alipo hudhuria mazishi alitaka kupigwa na wananchi walio na hasira akaokolewa na mzee Wasira kama sijakosea.
 
Chadema huwenda inamatatizo makubwa kushinda hata haya tunayosikia, ni kwa nini pia hao wahamiaji wa ulaya wako huko mpaka leo? JPM si hayupo?

wanamwogopa nani tena, au sikendo hii wanaijua vizuri,halafu yule mpiga kelele kaongea mara moja tu, hataki ajish ughulishe na Mbowe, police wafanye watakavyo, Hili sio jibu la kutia moyo hata kidogo kwenye nshu kama hiyo, ndiyo kusema Lissu amemfahamu mbaya wake? kwa nini asingependa kujihususha na suala mbowe na badala yake polisi wafanye watavyoona?
 
Uchunguzi wa kimataifa unagharama zake, nani atawalipa mabilioni ya shiling? lkn pia kwann waitwe wa kimataifa na wakati wa kwetu wanaliweza jambo hilo? Mbowe na genge lake wamwachie dereva aje ahojiwe ili haki ya muhusika ipatikane.
Ukishaona tukio linalowahusu na wanaolalamikia CHADEMA wanaficha picha za tukio jua kuna namna wamepika!

Tukio la kupigwa risasi Lissu japokuwa lilikuwa kubwa sana, CHADEMA mabingwa wa kupiga picha na kupost, hawakupost hata picha 1 ya tukio lile! Jiulize kwa nini? Wakaishia kutoa maelezo ya mdomo yasiyo connect; ooh zimepigwa risasi nyingi sana upande wa kushoto wa gari!. Cha ajabu Lissu kaumizwa mguu wa kulia, na dereva aliyekuwa upande wa kulia hajaumizwa! Na kama haitoshi CHADEMA wamemficha mpaka Leo!

Tukio la kina Mdee, Bulaya na wengineo kuvamia magereza kushinikiza Mbowe aachiwe! Walilalamika tumeenda bila vurugu ila askari wakaamua kutupiga na silaha na kutuumiza! Lakini hawakuposti hata picha 1! CHADEMA hao wazee wa “mapichapicha” wasipost picha wanaponyanyaswa! Thubutuu.

Ukweli kujulikana kumbe wao ndiyo walienda kibabe kuanza kuwatukana sana askari waliokuwa wakilinda geti na kulazimisha kuingia getini kwa nguvu!

Hata tukio la Akwilina ni mapishi ya CHADEMA
 
nakumbuka kifo cha Chacha Wagwe, Mbowe alipo hudhuria mazishi alitaka kupigwa na wananchi walio na hasira akaokolewa na mzee Wasira kama sijakosea.
Mmmmh....!!! Huyu jamaaa mmmh!!
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Instagram media - Bt2Krycj3b7.jpg
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.
Wee jamaa/mdada tangu juzi ni mada za kushambukia upande fulani tuu .jaribu kuzuia hisia zako basi. Kuna leo na kesho ujue
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.
Tanzania hatuendelei na wala hatutaendelea kwa sababu tunawaza mambo ya kijinga na ya kukomoana. Huu ni ushetani unaouwaza mpaka unaiambia jamii ushetani wako. Na sasa vyombo vyetu vya usalama vimeanza kufundishwa na wakora. Daaaaahhhh, Tanzaniaaaa, pole Nchi Yangu!!!!!!!!!!!!!
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Mbowe angekuwa amehusika Tundu Lissu kupigwa risasi - kwa ninavyoijua hii serekali hata kama ingekuwa imemuona katikisa ukope tu walahi angekuwa tayari convicted na pengine kunyongwa kabisa.

Imagie kasingiziwa kumuua Akwilina, ugaidi, nk - vitu ambavyo hajavifanya kabisa seuze hilo la Lissu?

Waliohusika kumpiga Tundu Lissu risasi wote (underline and bold "WOTE") lazima "wataondoka" mmoja baada ya mwingine kwa divine intervention. Tayari washaanza "kuondoka" mmoja baada ya mwingine wakiongozwa na yule shujaa wao "aliyepigwa dafrao" March 2021.

Mungu alimwacha Tundu Lissu aishi ili watu tupate kushuhudiwa kuwa yeye ni Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo. Mungu wa Israel.
 
Tena kafikia mwisho mbaya ingawa TOBO anafurahi kwani anajua atakuwa Kaimu Mwenyekiti aliyeko Ughaibuni! Anakoishi kwa ruzuku ya Wabeligiji, ingawa naye siku zake zinahesabiwa kwani Wazungu wanapitia kipindi kigumu - kimaisha na kimaendeleo - hivyo wanaanza kuhoji matumizi ya ajabu ajabu ya kuwalisha watu kama akina Tobo na nani yule mwingine kule Kanada!? Donor fatique is a reality na itawagusa tu anytime.
Yule wa Canada hajaenda kwa style ya Lissu, yule kaenda kwa style hii ya karibuni ya Canada kupokea wahamiaji! Yeye, mke wake na watoto wake wote wanapiga box la kufa mtu ili kuleta mkate mezani! Ndiyo maana anahangaika kuchangisha nyumbu michango, Canada njaa kali
 
Back
Top Bottom