Minong'ono ya Mbowe kuhusishwa na kushambuliwa kwa Lissu ni mingi, isipuuzwe na Vyombo vya Usalama

Minong'ono ya Mbowe kuhusishwa na kushambuliwa kwa Lissu ni mingi, isipuuzwe na Vyombo vya Usalama

KWANI MBOWE AKIWA GAID NYIE CHADEMA MNAPUNGUKIWA NN?? ..mnayajua yaliyomoa moyoni mwake? au kama ni yeye alihusika kumshambulia huyo mbelgiji mnabishaje sas? tatizo la kujiona maraika na hamkosei hil tatizo ni sugu sana, hil ttzo hakiwafai watu wenye akil timamu, bali wapumbav pekee, huwez jiita akili nying alafu unashadadia kila kitu, kumpenda kiongoz wako si sabbu ya kupenda na maovu yake, nyie wafia siasa badriken
 
Mbowe amehusishwa na mambo mengi sana kama vile kifo cha Chacha wangwe. Marehemu kabla ya kifo chake alishauri kile kipengele cha ukomo wa madaraka kwa mwenyekiti kirudishwe ili kutoa haki na wengine waweze kukiongoza chama hicho kupitia demokrasia ya kweli ndani ya chama. Ukiachana na hii ambayo imekaa kiupande upande, kama ile katiba ya kwa M7 ambapo kila uchaguzi unapofika jamaa anaambiwa ana haki ya kugombea ili mradi tu chama kimempitisha agombee (udikteta). Kumkosa kosa Zito kwa njia ya sumu baada ya yeye pia kujaribu kum challenge Mbowe kuhusu uenyekiti ambao ndio unampa utajiri, na kumfanya Mbowe awe na nguvu na uwezo wa kuamua chochote ndani ya chama bila mpuuzi yoyote kufungua domo lake kupingana nae. Pia inasemekana Ben saa8 ilishikwa masikio na wapenda mabadiliko ambao walimtumia saa8 kama speaker ya kumshauri mwenyekiti kuhusu kujiuzulu, au kuacha kugombea tena katika uchaguzi mungine kwa sababu ya boko aliyotoa mwaka 2015 ya kumleta fisadi aje agombee uraisi huku akiwaacha wafia chama wa kweli wakimpigia deki barabara. Kwahiyo kitendo cha Ben kujaribu kumshauri bwana mkubwa kilisababisha hasira ya chini kwa chini na matokeo yake alipotea ktk mazingira ya kutatanisha baada ya kutoka ofisini kwake. Lisu ujuaji wake na umaarufu alioanza kujijengea ndani ya chama ndio uliomponza maana mwenyekiti aligundua kama jamaa angeendelea kuwa vizuri mpk ktk uchaguzi mkuu wa chama, basi angeshauriwa agombee na hatimae kumbwaga mwenyekiti kwahiyo baada ya kuligundua hilo akataka afanye ya Chacha wangwe ila kwa bahati nzuri Lisu siku zake zilikuwa bado kama ilivyokuwa kwa Zito. Samaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge mwenyekiti aliambiwa wazi kuwa "asijaribu kuonja sumu kwa ulimi". Hii kauli ilibeba ujumbe na maana nzito sana. Hakika "KIKULACHO KI NGUONI MWAKO"
Leteni CCTV camera tuone ushaidi lisu alishambuliwa na nani? Sio kulopoka tu au unatumia ubongo wa paka kufikili
 
Leteni CCTV camera tuone ushaidi lisu alishambuliwa na nani? Sio kulopoka tu au unatumia ubongo wa paka kufikili
Ukimya wa Lisu ktk kesi ya Mbowe utakuja na mshindo mkubwa sana hautoamini. Tuendelee kusubiri huenda Lisu mwenyew ashaanza kupata mwanga wa kilichomtokea
 
Na kwa hakika hamtakaa msahau kiukweli Lowassa aliwapelekesha ccm vilivyo! Waliimba nyimbo na matamshi ya kila aina, walitoka jasho, kamasi na hata damu!
Kama sio teknolojia inayotumiwa na ccm kwenye kila uchaguzi sasa hivi kungekuwa na habari nyingine!
Namshukuru lowassa kwa mchango ule pamoja na usaliti wake wa kushinikizwa! Namsamehe ni binadamu kama binadamu wengine na Mungu amzidishie!

Haibadilishi Hoja iliyoandikwa kwenye hiyo Comment.

Kwa maelezo yako Chadema walikiuka misingi yake kwa ajili ya kutafuta Mtaji wa kisiasa. Shame
 
KWANI MBOWE AKIWA GAID NYIE CHADEMA MNAPUNGUKIWA NN?? ..mnayajua yaliyomoa moyoni mwake? au kama ni yeye alihusika kumshambulia huyo mbelgiji mnabishaje sas? tatizo la kujiona maraika na hamkosei hil tatizo ni sugu sana, hil ttzo hakiwafai watu wenye akil timamu, bali wapumbav pekee, huwez jiita akili nying alafu unashadadia kila kitu, kumpenda kiongoz wako si sabbu ya kupenda na maovu yake, nyie wafia siasa badriken

Nawashangaa sana hawa jamaa zangu
 
Mambo na misingi ya CHADEMA wewe vinakuhusu nini?
CHADEMA hakifanyi mambo kwa mazoea, bali mahitaji ya wakati!
Haibadilishi Hoja iliyoandikwa kwenye hiyo Comment.

Kwa maelezo yako Chadema walikiuka misingi yake kwa ajili ya kutafuta Mtaji wa kisiasa. Shame
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Kila siku mnaambiwa undeni tume huru au ombeni msaada kutoka nje mnakaa kimya. Serekali ya CCM, mwenye vyombo vyote CCM, Amiri Jeshi CCM. Mnashindwa wapi kuchukua hatua siku zote?

Watekaji wanatumia jina la vyombo vya serikali, magari na silaha zinafanana na serikali mnashindwa wapi kuwapata mnaishia kulalamika kama vyama vya upinzani?

Tuhuma nyingi na leads nyingi zimetolewa kuhusu watekaji lakini naona malalamiko yanatoka kwa wale waliopaswa kuchukua hatua kulikoni?

Kuna speech ya Lema sio nzuri na sio ya afya kwamba " vyombo vya ulinzi vimempuuza Amiri Jeshi mkuu hadharani. Amiri Jeshi anasema Kuna shida na mkuu wa vyombo anasema hakuna shida" hapo inakuambia tatizo ni kubwa sana.

Kuna watu wanamdanganya chief Hangaya, hawafanyi kazi zao sawasawa. Wameingiza siasa na propaganda sehemu ambapo waliopaswa kutenda. Na hata hii mada ni sehemu ya propaganda. Tangu Wangwe afariki ni miaka mingapi propaganda TU, Tangu Lisu apigee risasi ni miaka mingapi?

Je Mbowe anaweza kuamuru walinzi wote waondoke Lindo ili Lissu apigee risasi?
Je Mbowe ndio alikua anaendesha gari la Chacha Wangwe?

Kuna ujinga na propaganda za kipumbavu zinaenezwa na jeshi la polisi lipo kimya TU. Maana kama ni ajali walichunguza mawili kabla ya kuzikwa, walichunguza ajali, kama hawaja conclude waseme uchunguzi haukukamilka au ulikamilka ni ajali kama zilivyo ajali zingine. Etc.

sijui nani anafadika na ujinga huu wa hizi propaganda maana upande mmoja unalichafua jeshi kwamba haliwezi kufanya kazi yake sawasawa, na si ajabu Kuna watu Wana ushahidi lakini wameshindwa kwenda kuchukua na kuifanyia kazi. Ama raia wamauwezo mkubwa kufanya uchunguzi kuliko jeshi, na jeshi lipo kimya halisemi. Lakini pia linaharibu taswira ya nchi kwamba unaweza ukiamua polisi na serikali kwa ujumla wasikufanye lolote. Hizi propaganda lazima zikomeshwe, wabakie wenye mamlaka ya kusema kilichosahihi.
 
Back
Top Bottom