Minong'ono ya Mbowe kuhusishwa na kushambuliwa kwa Lissu ni mingi, isipuuzwe na Vyombo vya Usalama

Minong'ono ya Mbowe kuhusishwa na kushambuliwa kwa Lissu ni mingi, isipuuzwe na Vyombo vya Usalama

Huenda chama chake amekiweka mfukoni, ukimkosoa tu unalo! Kuna mtu aliyemuita mcheza disco, sijui alipokeaje. Naomba nami kuchomekea - kiwango chake cha elimu kimekaaje?
 
Nina amini kwa jinsi utawala wa awamu wa 5 ha huu wa sita ulivyokuwa kama Mbowe angekuwa kahusika kwa namna yeyote ile angeshakamatwa na kupewa kesi ya uhaini.
 
Hivi Mbowe apate faida gani kwa kumpiga risasi Tundu Lissu his own protege?

Yaani tuelezeni possible motive ya Mbowe kumuua Lissu!

I will wait!

No such nonsense acheni usenge!
Jiulize, aliwezaje kukiuza chama mwaka 2015 kwa 10B, na kisha kumsaliti na kumtosa bila aibu mpambanaji Dr.?!
kuna mwanachama yoyote alitarajia kutokea hayo?! basi
huyo ndio jamaa mwenye uchu na mbinafsi anapo taka jambo lake litimie.
Chunguza rekodi zake ndipo utamjua vizuri kwa undani, weka ushabiki pembeni.
waulize makamanda 19 walio jiengua na wengine walio kuwa karibu naye watakudadavulia zaidi juu ya huyo jamaa.
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Chocheeni kuni tutaota wote moto
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.


Huu utoto na propaganda za kizee bado huko ccm mnazitumia? Si bora utegemezi hivi sasa umekuwa ni jeshi la polisi maana hamna jipya. Kizazi kimebadalika kimehamia kwenye smartphones, nyie bado mnatumia typewriter!
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

1. Weka basi hapa huo ushahidi unaosema ili tuchangie.

2. Pili unaposlimia kwa jina hilo unalolitaja, sema waitikiaje waitikie namna gani.

3. Kumbuka pia kuwa mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke, Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe. Ayubu 14:1 - 2

4. Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua. Mithali 29:2


5. Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA; Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake.
Macho ya kiburi, ulimi wa uongo, Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia; Moyo uwazao mawazo mabaya; Miguu iliyo myepesi kukimbilia maovu; Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu. Mithali 6: 16 - 19.

6. Kumbukumbu la Torati 27:24
Na alaaniwe ampigaye mwenzake kwa siri. Na watu wote waseme Amina.

7. Ebrania 9:27 Kufa ni mara moja na baada ya kufa ni hukumu!.

8: Mhubiri 12:14 Maana, Mungu atahukumu matendo yetu yote, hata yale yanayotendwa kwa siri, yawe mema au mabaya.


KATIKA KILA JAMBO ULIFANYALO, ULISHABIKIALO, ULIANZISHALO, ULINENALO, KUMBUKA IKO SIKU YA KUSIMAMA PEKE YAKO MBELE ZA MUNGU KWA HUKUMU!.
 
yule aliye kuwa dereva wa marehemu Chacha alikuwa sijui anaitwa Mallya? au mlay au?
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Hata lissu kakaa kimya sana kuna kitu katumia akili ma kujua ukweli
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Ni kweli Mbowe ametajwatajwa sana kwenye matukui maengi ya mauaji ikiwemo Tukio la Lissu kupigwa risasi. Kuna mengi sana hatuyajui. Ukiona Polisi imeamua kumkamata Mbowe, ni wazi wamekusanya ushahidi wa kutosha na usioacha mashaka. Kauli aliyoitoa IGP ina ujumbe mzito. Tuachie mahakama iamue na tutajua mengi yaliyo nyuma ya pazia kumhusu Mbowe.
 
Waliohusika kumpiga Tundu Lissu risasi wote (underline and bold "WOTE") lazima "wataondoka" mmoja baada ya mwingine kwa divine intervention. Tayari washaanza "kuondoka" mmoja baada ya mwingine wakiongozwa na yule shujaa wao "aliyepigwa dafrao" March 2021.
Lisu yeye hataondoka?!
 
Unataka kutuaminisha nini brother??yaani mbowe ampige risasi Lisu halafu kabla ya tukio awaambie walinzi waondoke kisha baada ya tukio amwambie waziri akang'oe cctv eneo la tukio hapa kichwa lazima kiwe kimejaa kamasi,wadhani polisi ni wajinga wanajua fika aliye fanya vile ni jiwe na watu wake.Mbowe kukomalia katiba mpya imekuwa kaa la moto hiyo singo haitalipa kama ambavyo ilishindwa kulipa ile kwamba alipanga kuwaua viongozi wa kitaifa na hili na ugaidi mnaenda kuumbuka.
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.

Kwa ulichokiandika ama huna akili,yaani uwezo wako ni Sawa na mtoto wa baby class,au unajitoa ufahamu.
Kwanza kwa kusema kwamba Mbowe aliendesha shughuri za ki gaidi,kijasusi akaweza Kuwa ua Chacha wangwe,ben saa nane,Dr mvungi,na wengine,unamaanisha ama jeshi letu la polisi ccm,na Idara yetu ya ujasusi,kumejaa vilaza watupu wasioweza kugundua uharifu,au wewe unamtindio wa ubongo!!
 
Kwa ulichokiandika ama huna akili,yaani uwezo wako ni Sawa na mtoto wa baby class,au unajitoa ufahamu.
Kwanza kwa kusema kwamba Mbowe aliendesha shughuri za ki gaidi,kijasusi akaweza Kuwa ua Chacha wangwe,ben saa nane,Dr mvungi,na wengine,unamaanisha ama jeshi letu la polisi ccm,na Idara yetu ya ujasusi,kumejaa vilaza watupu wasioweza kugundua uharifu,au wewe unamtindio wa ubongo!!
Kwa akili zake ndogo anadhani anamkomoa mbowe kumbe anadhalilisha vyombo vikubwa vyaulinzi na usalama.hizi akili zakijinga sana.
 
Hili suala na wao wanalijadili kumbe:


Kumuhusu Chacha Wangwe pia nimeyasoma na kuyasikia katika vimijadala Mbalimbali. Lakini pia nimekumbuka taarifa ya awali ya Jeshi la polisi baada ya kumkamata walisema anatuhumiwa pia kwa "Attempts" ama kwa tuhuma za mauaji ya Viongozi. Yawezekana Jeshi lina ufahamu fulani ama lina hints lakini hazijaunga ndo maana wamedrop kwanza. They should Investigate this.

Mh Sumaye aliejifanya anataka kupima mafuta ya moto kwa kidole ili am challenge Mbowe aliambiwa wazi kuwa asijaribu kuonja sumu kwa ulimi. Kilichotokea wote tunakijua

Achilia mbali mchungaji Mtikila, Dkt Mvungi, Ben Saanane, n.k. Ni wakati sasa wa Mamlaka husika kuangazia haya mambo kwa undani. Kuna mengine ni ya Ajali lakini yanawezekana kuwa ni njama. Kuna mamlaka zina uwezo wa kuyathibitisha haya kwa kuchunguza kwa undani. Kwa tusiojua unaweza kupanga mauaji kwa ajili ya kupata public sympathy au kupata ajenda ya kushambulia utawala uliopo. Unaweza ukashambulia eneo fulani kwa bomu kwa ajili ya kupata ajenda za kisiasa.

Mmojawapo wa anayetajwatajwa sana ni Bwana Freeman Mbowe ambaye kwa sasa anatuhumiwa kwa Ugaidi , ni vyema uchunguzi dhidi yake ungeanza pia katika haya masuala. Wanasiasa si wa kuwaamini kabisa linapokuja swala la Political Interest.
Mbowe alipohusishwa kuiuwa familia ya dadake yote pale msata nilimuogopa hata waitara alipoambiwa asijaribu ilikuwa hatari sana


USSR
 
Back
Top Bottom