Miongo miwili wamekataa kubadilisha jina la mtaa wa Tandamti kuwa Mshume Kiyate

Miongo miwili wamekataa kubadilisha jina la mtaa wa Tandamti kuwa Mshume Kiyate

Kitali,
Nakushauri tumia muda wako kujifunza.
Kwanza anza na kujifunza kuandika vizuri.

Wewe bado hujafika katika makamo ya kujadiliana na Maalim Faiza
kitu chochote.

Elimu nzuri itakuondolea ujinga, kibri na ufedhuli.
Turejee Mombasa.

Mimi Mombasa ni kwetu na nina ndugu Chuda, Mtondia, Takaungu,
Vipingu, Tononoka, Stone Town, Kisauni na kwingi tu hadi Malindi na Lamu.

Hii pwani yote ni yetu wazee wetu wameoleana sana na sisi sote ni ndugu
na jamaa.

Ikiwa wewe kweli uliishi Mombasa bila shaka utaujua ukoo wa Khitami na
wa Bamumin na Matano kukutajia koo chache maarufu za hapo mjini.

Hizo kashfa unazoleta za ndugu zangu wala sijui unataka useme nini.

Huyo hapo chini ni Prof. Mohamed Bakari ni mtu wa Mombasa niko ofisini
kwake Fatih University, Istanbul:

uuBkc5TFrC2-x8aNgecYW3dE3x4600hcVeZ8P_SR0NXA-KivFQhUTpzgYpBOcB7ryzgit14iFBKpOWBNFVaOOntQsN4jmm-J2Vk0lpZcOkZnuykqkwSYng5P0Wwo7XIy0IBLldl3DD44o8BEsLITGlf4m_5J6_xTemQ3LXkGNZXy38pReguo25ZVIynD8QoPqIG1JOKQU4pNTVB2rZAcxYjg4_KBs9U1OQTcOLz8zxPC4DC9LfF6XjRFyjZqvfYFUF27lhZpJc72oHTEgQwySDmtg7ZWVZ91JvyxxcRunKpv-HBcgLGFw23DV400RyjcpcPEG7jRZlJWQrmOadrbeAgOcKCJNYjdfZVS58jEcSpDt3L-UczWyWeqN-GqYTq14XsSOWeGcQ6-3Tkriq5NV8cGmP5UDFVyoT-llId_n7RGgqFyjIt9BeLT1oBDHbOAONzwPxISwi9_Ke-Z5mb2IupWPGfEqfmPcTTcEKtyqAlGOh2RoPQzFRbwLU9o2z3tlmy1iqha6ZiQKGzDX-sfIYTuR75Km9g49xXyUGhAsZbJvGqtPCXJZEwjtotlYIjzOzAO8LeELbo-TYUM3pMOLrMVAnB-QAjO_rt4ZQy23i0=w293-h220-no


Huyo hapo chini Sharif Salim Abdallah aka Sal Davis, mwanamuziki nguli
na mfanyabiashara kutoka Makadara, Mombasa:

MGxTvohZsRwTgLUWb7BWp74BoSBvDqtndmdw3JSdWei4YuDfS0Zhy-fOqFKVHDGjrTSEe4ud1SE4llOb8DLqLWFOjTHz9O8cyp0QSC9zcBUZi1zz_r6yuMsE1aqK-M7O6move3rMe9j5HeqGUmTmoW2FwXbbqswEAOUtaGlZg1tMF9-hMBPa9xfQXUmkfD-8Nlhj7NAuxtVfK824ws975qolFoaW-EukOTaEbnAvSEvH3wRBjyLjP-WsSpoksFhG7y6EmtGMqyuMw32z2zmhtVU7_3XtSRUGR3NjAV58gMb6qGmTJqLYY2NlJR72crC03Qdu5C7shAhp8bie-mORbAwE7UokqjRQGxryq-s-yObVgGX1GpY_XrrPM1Li_vx72orwIBremLhmcA1B-XYVlXoMAKtNpRAhwPE918boRHR0tLJXlXi8aJYs4WZuOuvVsSlVfMqVueEWbHCGibmvsZl_1baHCMi-wGKxfZ721DGHYlVgjDvQOIol1N0Ooog6XY01jycMPyLBC1eNgz-h9ilXigDZLkeaJK6ZgJefJQMp5JapIkMS4_pRI1MGSls32kXG09UDQk0-NWjns4ac5eUOf6mEKm4fkuKfoKtY6_5uCGzjL9jezZ4Ty83kklmaAHw=w263-h279-no


Huyo hapo chini ni Dr. Ahmed bin Sumeit yeye ni Microbiologist kwao ni Mombasa:

CIMG0644-1.JPG
Mzee Mimi nina elim ya kunitosha kabisa hii kuandika ickutishe Sana ninamwandiko mzur Sana. Cwez kukuwekea vyeti hapa ila mi Ninayo elim yangu initoshayo Japo nilianza Shule nikiwa mkubwa. Mi tuna nyumba barisheba Mombasa. Nimekaa Kenya miaka nane Japo Sio mkoa mmoja. By then wakenya walikuwa na mikoa 8 .mzee nachosema ukisikiliza story za wale mijikenda pale Mombasa, wadigo tanga, waswahili Yaan wazanzibar weus Achana na wapemba, ukienda mtwara na Lindi, ujiji na sehem Za Tabora ni story moja wanazo ni Kama vile wanataka fadhila Yaan ni Kama walipojitoa sehem flan walitarajia kulipwa au kupewa kitu flan sasa ukisema hivyo ukienda Ile South Africa Mbona ungeandika vitabu mia maana waliopigania uhuru ni wengi Sana.
 
Cjakuelewa unalenga nini lakin nilichomkumbusha Huyu Mzee hiz ngano zake za wavivu waliopitwa na nyakati wanaojaribu kuwapa watoto wao ili kujibu kiu zao za nini kilitokea mpaka wao wako nje ya mfumo. Huyu Mzee anajua historia za kiislam tu na Sio za nchi ndio maana anakazana kutuaminisha waislam ndio walioleta uhuru. Na Mimi nimejibu kwa namna Ile Ile kuwa huyu ameathiriwa na ule ugonjwa ya jamii flan badala kupeleka watoto Shule Wamebaki kuwaadithia story walizofeli.
Abdurauf Songea unajuwa historia yake?
 
Mzee unakosea Sana kusema Eti ninaa

Unakosea Sana kusema kuwa Eti umeandikia vyuo tofauti vingi dunian na umepewa kaz za vyuo vingi unaiandaa. Labda Mimi nikusaidie wazungu hawana tabia ya kupuuza vitu kila kitu wanakichukua hata upuuz na Ndio maana hata mashoga wamewaruhusu kufanya watakavyo ni free states zile so kupewa kaz na haO jamaa Usichukulie kuwa ni jambo kuubwa Sana ni kawaida ya mtu muelewa anajifunza kila kitu. Hiyo haimaanishi unachotaka tukielewe ni sahihi. Kwenda nje Sio big deal labda kwa hao wenye akili Kama hiz zako ndio ataona kitu kikuubwa. Kwanini hujatutajia vyuo vya Japan au China kuhtaji hizo kaz zako. Kwenda nje jaman ni Sawa na kutoka magomen na kwenda hapo masaki tu c zaid Mimi kila miez mawili niko nje cjaona jipya zaid ya kujua dunia Katika fikra mpya so kitu unachotakiwa kufanya muda huu ni kufundisha watoto wenu waondoe mentality hizo kichwan waweze kufanya kaz wapeleke watoto Shule ili wawe washiriki wa uchumi waache kuwa washangaa uchumi ukienda kwa wahangaikji
Kitali,
Tafuta unaeweza kummudu.
Mimi sie kabisa:
  1. PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
  2. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
  3. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
  4. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
  5. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
  6. Uchaguzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
  7. In Praise of Ancestors (1988) Africa Events (London).
  8. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
  9. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
  10. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
  11. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
  12. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
  13. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
  14. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
  15. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
  16. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
  17. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
  18. 14. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
  19. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
  20. Awards: Several Awards.
  21. Visiting Scholar: (2011)
  22. University of Iowa, Iowa City, USA
  23. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
  24. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
  25. OTHER COUNTRIES VISITED
  26. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
 
Mzee Mimi nina elim ya kunitosha kabisa hii kuandika ickutishe Sana ninamwandiko mzur Sana. Cwez kukuwekea vyeti hapa ila mi Ninayo elim yangu initoshayo Japo nilianza Shule nikiwa mkubwa. Mi tuna nyumba barisheba Mombasa. Nimekaa Kenya miaka nane Japo Sio mkoa mmoja. By then wakenya walikuwa na mikoa 8 .mzee nachosema ukisikiliza story za wale mijikenda pale Mombasa, wadigo tanga, waswahili Yaan wazanzibar weus Achana na wapemba, ukienda mtwara na Lindi, ujiji na sehem Za Tabora ni story moja wanazo ni Kama vile wanataka fadhila Yaan ni Kama walipojitoa sehem flan walitarajia kulipwa au kupewa kitu flan sasa ukisema hivyo ukienda Ile South Africa Mbona ungeandika vitabu mia maana waliopigania uhuru ni wengi Sana.
Kitali,
Inatosha na nimekuelewa.
 
Cjakuelewa unalenga nini lakin nilichomkumbusha Huyu Mzee hiz ngano zake za wavivu waliopitwa na nyakati wanaojaribu kuwapa watoto wao ili kujibu kiu zao za nini kilitokea mpaka wao wako nje ya mfumo. Huyu Mzee anajua historia za kiislam tu na Sio za nchi ndio maana anakazana kutuaminisha waislam ndio walioleta uhuru. Na Mimi nimejibu kwa namna Ile Ile kuwa huyu ameathiriwa na ule ugonjwa ya jamii flan badala kupeleka watoto Shule Wamebaki kuwaadithia story walizofeli.
Kumbe tatizo ni Waislam? Sasa si uweke wewe historia mbadala ambayo haina hao Waislam. Tunasubiri.
 

Sasa historia huijuwi si uombe ufundishwe, badala ya kuja na porojo eti ilikuwa vita ya kikabila.

Umewekewa link juu huko hukuiona? Au kwa elimu yako kubwa uliyonayo huelewi link ni nini?
 
Huyu kitali anaonesha chuki yake wazi wazi juu ya imani flani ya kidini.ila tumia busara ndugu yangu katika kupinga hoja,fikiria itakuaje kama kila mmoja wetu hum atatumia kejeli na kashfa katika kuwasilisha mawazo yake??

Hulazimishwi pia kuchangia,ukiona yanayoelezewa huyaendani na mawazo yako,waachie wengine wafaidike.

Sent using Jamii Forums mobile app
Al Abry,
Namuwekea Kitali hii hapo chiini nadhani huenda akajifunza kitu In Shaa Allah:

Re: Tanganyika(TANU) imetoka mbali waasisi wake wengi wao wametangulia mbele ya haki

quote_icon.png
By Buchanan
Wazee wenyewe wa vibaraghashia washike kalamu mwenyewe na kujiandikia hiyo "historia mpya!"

Buchanan,
Inaelekea wewe uwelewa wako uko chini sana.
Hata adabu yako vilevile iko chini sana nasikitika kusema.

Uvaaji wa barghashia unakuudhi nini wewe kiasi una tukejeli sisi wavaaji na na wazee wetu waliotufunza kujisitiri hivyo ndugu yangu?

Huu ni utamaduni wetu watu wa pwani kama vile unavyotuona tunavaa kanzu za dariz na makubadhi.
Mimi sikucheki wewe unapoingia msalani na karatasi ukajifutanazo ilhali maji yapo.

Sikubezi na kukunyayapaa kuwa hujui ''hygiene.''

Nafanya staha kwa kuwa najua huo ni utamaduni wako.
Wala sikucheki kuwa hujui tohara.

Sana sana ninakutamania ujue mambo haya ili unufaike kama ninavyonufaika mimi na hali ya usafi wa kiwiliwili changu.

''Mohamed nataka nguo za mume wangu zinukie kama kanzu yako nifanyeje?’’
Dada wa Kikristo ananambia siku moja.

Salamu hizi nikazifikisha kwa mke wangu.
Mke wangu akanunua chetezo na udi akampelekea zawadi yule dada.

Mke wangu ananihadithia, anasema wakajifungia ‘’bedroom ya huyu dada wakafukiza udi chumba kizima kisha akamwambia sasa lete mashati na suti za bwana tumkomeshe leo.''

Sitaki kukueleza furaha ya yule bwana alivyoingia chumbani kulala alipopigwa na harufu nzuri ya shuka zilizofukizwa udi.

Usiku kanipigia simu, ''Mohamed old boy, you owe me one tomorrow let us have dinner the four of us aisee nyinyi Waswahili kweli mnafaidi...''

Niangalie picha nyingi mimi nimevaa bargashia.
Ninazo vilevile designer suit za Yves Saint Laurent na Gucci kukutajia chache.

CIMG0700-1.JPG


Angalia kwa Makini Nimevaa Bargashia Designer Shirt na Designer Jeans
Katika Mfuko wa Shati Nimechomeka Kalamu ya Cross Huo Mkoba
una Lap Top (State of the Art) Niko Maulidini Lamu

Buchanan,
Jifunze adab.

Si vizuri kudharau mila na tamaduni za watu wengine hata kama wewe unahisi utamaduni wa kuigwa ni ule wa Wazungu.
 
Mzee Mimi nina elim ya kunitosha kabisa hii kuandika ickutishe Sana ninamwandiko mzur Sana. Cwez kukuwekea vyeti hapa ila mi Ninayo elim yangu initoshayo Japo nilianza Shule nikiwa mkubwa. Mi tuna nyumba barisheba Mombasa. Nimekaa Kenya miaka nane Japo Sio mkoa mmoja. By then wakenya walikuwa na mikoa 8 .mzee nachosema ukisikiliza story za wale mijikenda pale Mombasa, wadigo tanga, waswahili Yaan wazanzibar weus Achana na wapemba, ukienda mtwara na Lindi, ujiji na sehem Za Tabora ni story moja wanazo ni Kama vile wanataka fadhila Yaan ni Kama walipojitoa sehem flan walitarajia kulipwa au kupewa kitu flan sasa ukisema hivyo ukienda Ile South Africa Mbona ungeandika vitabu mia maana waliopigania uhuru ni wengi Sana.
Isome "signature" ya Chachu Ombara inasema "TAFITI HUPINGWA KWA TAFITI NA SIO KWA POROJO...".
 
Nnilitoka Kenya mwaka 1998 na kwa wakat ule nilikuwa nimekaa Kenya kwa miaka 8 so kilichotokea mwaka ule kulitokea vita. Watu wa pwan walitaka Watu wa bara warud bara wanadai Watu wa bara wamekuja pwan wamechukua kaz za Watu wa pwan so vijana wao hawapat kaz wakaunda kikundi chao cha kaya bombo wakaanzisha gasia. Sasa ukienda deep down hawa Watu na Watu wa tanga mjin na waswahili WA Zanzibar acha kidogo wapemba na wale Watu wa ujiji kigoma na Tabora mjin kidogo na Mtwara Lindi kidogo na hawa wenyeji wa pwan ni Aina moja ya watu. Hawapend kaz ngumu na wala hawana malengo makubwa. Na ni Watu ambao wamewekeza Sana midomon Sio kazin nimekaa Nnao nawajua vizur Sio Watu wa kuaminika na ukifanya nao kitu chochote jitahd uwe na mkataba wa sheria kabisa hawaaminiki. Niliishi Mombasa majengo king'oran
Teh teh teh!

Nimecheka sana huyu aliyeandika haya maneno ndiyo anajitapa kuwa ni msomi na kuwaponda watu wa Pwani kuwa hawataki shule.

Kama wewe ndiyo msomi wa Tanzania kweli nchi ina msiba mzito.

Hawa wasomi wetu ndiyo wamejaa serikalini unategemea nini.
 
Teh teh teh!

Nimecheka sana huyu aliyeandika haya maneno ndiyo anajitapa kuwa ni msomi na kuwaponda watu wa Pwani kuwa hawataki shule.

Kama wewe ndiyo msomi wa Tanzania kweli nchi ina msiba mzito.

Hawa wasomi wetu ndiyo wamejaa serikalini unategemea nini.
Kilichokuchekesha nini sasa. Mim nimesoma ndio na namshukuru Mungu we ulitaka nini kwa mfano au ulitaka nini
 
Kilichokuchekesha nini sasa. Mim nimesoma ndio na namshukuru Mungu we ulitaka nini kwa mfano au ulitaka nini
Msomi hata Abdurauf Songea Mbano huifahamu historia yake?

Wewe itakuwa shule ulienda kusomea ujinga.
 
Msomi hata Abdurauf Mbano Songea huifahamu historia yake?

Wewe itakuwa shule ulienda kusomea ujinga.
Teh teh teh!

Hawa ndiyo wasomi wetu wamejaa serikalini na vyeti vyao feki.

Unaweza kukuta huyu anaongoza wizara.

Anakuwambia vita vya maji maji vilikuwa vya kikabila na Mangi wa Kibosho alipigania uhuru wa Tanganyika.
 
Mzee
Jina la Mshume Kiyate kwa sasa si geni tena katika historia ya TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Mzee Mshume alikuwa katika Baraza la Wazee wa TANU kuanzia lilipoundwa 1955.

Mshume Kiyate alikuwa kiishi Mtaa wa Tandamti na akifanya biashara Soko la Kariakoo toka miaka ya 1950. Yeye ndiye aliyekuwa dalali wa samaki wote walioletwa pale sokoni. Kazi hii ilimtajirisha kwa kiwango cha nyakati zile na yeye alitumia fedha zake nyingi katika harakati za kuijenga TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Kubwa ambalo lilimpambanua Mzee Mshume katika historia ya uhuru ni kule yeye kujitolea kubeba jukumu la chakula cha nyumba ya Baba wa Taifa kuanzia miaka ya mwanzo ya TANU hadi uhuru unapatikana mwaka wa 1961 na kuendelea kufanya hivyo hata pale Baba wa Taifa alipomwambia, ‘’Mzee Mshume sasa basi hivi vikapu vyako vya chakula, mimi sasa nalishwa na serikali.’’

Jibu la Mzee Mshume lilikuwa, ‘’Hapana Mheshimiwa sitoacha kuleta chakula nyumbani kwako kwani nataka wewe na watoto wako mle chakula hiki na hicho cha serikali wape wageni wako.’’

Huyu ndiye mzalendo mpigania uhuru wa Tanganyika na rafiki kipenzi cha Baba wa Taifa, Mzee Mshume Kiyate.

Miaka takriban 20 iliyopita aliyekuwa Meya wa Jiji ;a Dar es Salaam marehemu Kitwana Selamani Kondo katika kutambua mchango wa Mzee Mshume Kiyate alibadili jina la Mtaa wa Tandamti kuwa, ‘’Mtaa wa Mshume Kiyate.’’

Hadi hivi ninavyoandika na nimepita mtaa huu leo nimekuta kibao kipya kimewekwa lakini jina ni lile lile la zamani.

Hii nini maana yake?

Dharau, khiyana au nini?

kZ5LlMCgqPD9R9E5MUJWPN7_q0YkFwuZ732t0R3I0t0syOWSj010wSWEJ86ITul2cP47F7129sUqM_HUpVtOZjmFQio9OsxRtKebLa_HpMKZKvafFEQbCGKmZVMIAIy__ySItYdDqt7qArsJxhbL94SDaa8gHX6hoZpGwr_BZWnKCfRt5w9jmYUazcP2VmGSkm0cQcl_24UlzGW6nurImglkiFErzw2lThH2yfJqBaR1NQbLykO7Jj5X7oQ9f5mUtNQGRalLpkbPXz2fltNHdud0_qd4z41aJRz71KAJw7QNF3TBcArqWCduGyG9rZ_pmKzuTNdJwH1-8RGPhoFE2op62QgcQ4VMElKTyYSS0J_WUnDuQfHnDiy0z_NmziEGDLv400xMrWNXpeShnklbBKYS-WBI0O1mCax5BpkS7yZXOH74IUl8Iv6c1uVoDei5gxhl9uBNMnDjfNJyvnBPe9n6SLIKGbKkogeWR_0J3s0Zckv0FkQBAqwDp_5lnIg_M-bUlyjn1wfjCdxL7sX4aTo9__UZNTAt8dtxiEQwDl6wcJBmROaxXXAqfD1mFmUhz2s4644v8HFr6Ac_kVCyU9uUqngP49U=w360-h480-no


Picha hiyo hapo juu ilipigwa mwaka wa 1964 baada ya maasi ya wanajeshi na Baba wa Taifa kurejeshwa madarakani na Jeshi la Waingereza. TANU ilifanya mkutano mkubwa sana Jangwani na Mzee Mshume Kiyate siku ile alimvisha Baba wa Taifa kitambi kama ishara ya kuonyesha kuwa Wazee wa Dar es Salaam wale waliompokea na kuwa na yeye bega kwa bega kupigania uhuru wa Tanganyika bado wako nyuma yake na wanamuunga mkono.

Huyu ndiye Mzee Mshume Kiyate.

WAZEE+WA+TANU.jpg

Waliosimama wa pili kulia ni Mzee Mshume Kiyate





tAZ7Q0CbeIpy9U9VrFhQRXVT3KiZoLVWyGRWVQGRN9MQ2MWqQTn6Pdw3hADo7z3DvALdD5Hr-xQ=w724-h567-no

Mshume Kiyate wa kwanza kulia aliyemshika mkono Baba wa Taifa na
pembeni kwa Baba wa Taifa ni Mzee Max Mbwana akifuatiwa na Mzee

Mwinjuma Mwinyikambi

Kuna picha mashuhuri ya Mzee Mshume na Baba wa Taifa iliyopigwa Novemba 1962 wakati wa Uchaguzi Mkuu.

Picha hiyo inamuonesha Mzee Mshume akiwa amevaa koti, kanzu na kofia amemshika Nyerere mkono akimsindikiza kupiga kura.

Karika utawala wa Baba wa Taifa, magazeti ya ''Uhuru'' na ''Daily News,'' yamekuwa yakiitumia picha hii kila baada ya miaka mitano katika uchaguzi wa rais kama njia ya kuwahamasisha watu kupiga kura na kumchagua Baba wa Taifa.

Mzee Said, Shikamoo!
Mosi,Inaumiza kweli iwapo ikiwa yamefanyika makusudi ya Kumsahau Mzee Mshume Kiyate! Ambaye tayari Juhudi za kumuenzi zilishafanyika!
Lakini pia ungeongelea Wazee wengine ambao Wamekosa hata heshima ya kupewa Mtaa ingawa mchango wao wa kupigania Uhuru ni adhimu!
Pili, Ningependa kuuliza kwanini wakati Ukiandika kitabu cha Maisha Mzee Sykes hukumhoji Mwalimu Nyerere angali alikuwa Hai na anapatikana? Maana kati ya watu waliokuwa karibu sana na Mzee Sykes ni Julius Nyerere.
Asante.
 
Mzee


Mzee Said, Shikamoo!
Mosi,Inaumiza kweli iwapo ikiwa yamefanyika makusudi ya Kumsahau Mzee Mshume Kiyate! Ambaye tayari Juhudi za kumuenzi zilishafanyika!
Lakini pia ungeongelea Wazee wengine ambao Wamekosa hata heshima ya kupewa Mtaa ingawa mchango wao wa kupigania Uhuru ni adhimu!
Pili, Ningependa kuuliza kwanini wakati Ukiandika kitabu cha Maisha Mzee Sykes hukumhoji Mwalimu Nyerere angali alikuwa Hai na anapatikana? Maana kati ya watu waliokuwa karibu sana na Mzee Sykes ni Julius Nyerere.
Asante.
Mnabudehe,
Marahaba.

Nimejitahidi kuandika takriban historia ya wazalendo wengi walijitolea
katika TANU na kupigania uhuru.

Ukisoma kitabu cha Abdul Sykes utakutananao.

Nikufahamishe kuwa Abdul Sykes hakuwa mzee alifariki akiwana na umri
wa miaka 44.

Nimuhoji Nyerere kuhusu Abdul Sykes ili nipate kitu gani kwake?

Mimi sikuhitaji Nyerere kupata habari za Abdul Sykes kwani watu wengi
Dar es Salaam wakiijua historia ya Abdul Sykes na Nyerere mmojawapo
ni baba yangu.

Historia ya Abdul na Nyerere 1952 hadi kuunda TANU 1954 ilikuwa ni kitu
mashuhuri na kinafahamika na nyaraka za wakti ule nilikuwa nimezipata.

Historia iliyonitoa jasho ilikuwa ya Abdul alipokuwa vitani Burma (1942 - 1945)
kisha aliporudi Tanganyika 1947 na kuwa katika harakati za kuingia katika uongozi
wa TAA wakati baba yake yu hai na chama kipo katika uongozi wa baba yake
mkubwa Mwalimu Thomas Plantan kama president wa TAA na Clement
Mtamila
akiwa katibu hawa wote wakisubiana sana na baba yake.

CIMG2281.JPG


Abdulwahid Sykes King's African Rifles (KAR) Burma Infantry
6th Battalion 1942 Second World War 1938 - 1945


Hiki ndicho kipindi Abdul aliongoza Dar es Salaam Dockworkers Union na migomo
iliyowatikisa sana Waingereza.

Kipindi hiki 1942 - 1947 ndicho kilikuwa, ''formative years,'' za Abdul na ndicho
kipindi kilichomsukuma kuingia katika uongozi wa TAA 1950.

Hiki kwangu mimi ndicho kipindi kilichokuwa kigumu sana katika utafiti kwani
nilitaka nikutane na watu ambao alikuwanao katika kuigeuza TAA kuwa chama
cha siasa.

Unaweza kusoma historia hii ya Abdul hapo chini bahati mbaya iko kwa Kiingereza:
Mohamed Said: The Book: Excerpts...Abdulwahid Sykes and Dar es Salaam Dockworkers’ Union, 1948 Part One

Sasa watu waliokuwa karibu na Abdul katika kipindi kile ni mdogo wake Ally, Dossa,
Tewa Said Tewa
na Islam Barakat aliyekuwa Labour Inspector.

Kwa hakika katika historia ya TANU kama Nyerere angekuwa na cha kunieleza ningekuwa
tayari nakijua.
 
Teh teh teh!

Hawa ndiyo wasomi wetu wamejaa serikalini na vyeti vyao feki.

Unaweza kukuta huyu anaongoza wizara.

Anakuwambia vita vya maji maji vilikuwa vya kikabila na Mangi wa Kibosho alipigania uhuru wa Tanganyika.
Huyo kitali atakuwa ana hasira za kudundwa na mumewe, msome: Mume wangu ananitesa
 
Kitali,
Nakushauri tumia muda wako kujifunza.
Kwanza anza na kujifunza kuandika vizuri.

Wewe bado hujafika katika makamo ya kujadiliana na Maalim Faiza
kitu chochote.

Elimu nzuri itakuondolea ujinga, kibri na ufedhuli.
Turejee Mombasa.

Mimi Mombasa ni kwetu na nina ndugu Chuda, Mtondia, Takaungu,
Vipingu, Tononoka, Stone Town, Kisauni na kwingi tu hadi Malindi na Lamu.

Hii pwani yote ni yetu wazee wetu wameoleana sana na sisi sote ni ndugu
na jamaa.

Ikiwa wewe kweli uliishi Mombasa bila shaka utaujua ukoo wa Khitami na
wa Bamumin na Matano kukutajia koo chache maarufu za hapo mjini.

Hizo kashfa unazoleta za ndugu zangu wala sijui unataka useme nini.

Huyo hapo chini ni Prof. Mohamed Bakari ni mtu wa Mombasa niko ofisini
kwake Fatih University, Istanbul:

uuBkc5TFrC2-x8aNgecYW3dE3x4600hcVeZ8P_SR0NXA-KivFQhUTpzgYpBOcB7ryzgit14iFBKpOWBNFVaOOntQsN4jmm-J2Vk0lpZcOkZnuykqkwSYng5P0Wwo7XIy0IBLldl3DD44o8BEsLITGlf4m_5J6_xTemQ3LXkGNZXy38pReguo25ZVIynD8QoPqIG1JOKQU4pNTVB2rZAcxYjg4_KBs9U1OQTcOLz8zxPC4DC9LfF6XjRFyjZqvfYFUF27lhZpJc72oHTEgQwySDmtg7ZWVZ91JvyxxcRunKpv-HBcgLGFw23DV400RyjcpcPEG7jRZlJWQrmOadrbeAgOcKCJNYjdfZVS58jEcSpDt3L-UczWyWeqN-GqYTq14XsSOWeGcQ6-3Tkriq5NV8cGmP5UDFVyoT-llId_n7RGgqFyjIt9BeLT1oBDHbOAONzwPxISwi9_Ke-Z5mb2IupWPGfEqfmPcTTcEKtyqAlGOh2RoPQzFRbwLU9o2z3tlmy1iqha6ZiQKGzDX-sfIYTuR75Km9g49xXyUGhAsZbJvGqtPCXJZEwjtotlYIjzOzAO8LeELbo-TYUM3pMOLrMVAnB-QAjO_rt4ZQy23i0=w293-h220-no


Huyo hapo chini Sharif Salim Abdallah aka Sal Davis, mwanamuziki nguli
na mfanyabiashara kutoka Makadara, Mombasa:

MGxTvohZsRwTgLUWb7BWp74BoSBvDqtndmdw3JSdWei4YuDfS0Zhy-fOqFKVHDGjrTSEe4ud1SE4llOb8DLqLWFOjTHz9O8cyp0QSC9zcBUZi1zz_r6yuMsE1aqK-M7O6move3rMe9j5HeqGUmTmoW2FwXbbqswEAOUtaGlZg1tMF9-hMBPa9xfQXUmkfD-8Nlhj7NAuxtVfK824ws975qolFoaW-EukOTaEbnAvSEvH3wRBjyLjP-WsSpoksFhG7y6EmtGMqyuMw32z2zmhtVU7_3XtSRUGR3NjAV58gMb6qGmTJqLYY2NlJR72crC03Qdu5C7shAhp8bie-mORbAwE7UokqjRQGxryq-s-yObVgGX1GpY_XrrPM1Li_vx72orwIBremLhmcA1B-XYVlXoMAKtNpRAhwPE918boRHR0tLJXlXi8aJYs4WZuOuvVsSlVfMqVueEWbHCGibmvsZl_1baHCMi-wGKxfZ721DGHYlVgjDvQOIol1N0Ooog6XY01jycMPyLBC1eNgz-h9ilXigDZLkeaJK6ZgJefJQMp5JapIkMS4_pRI1MGSls32kXG09UDQk0-NWjns4ac5eUOf6mEKm4fkuKfoKtY6_5uCGzjL9jezZ4Ty83kklmaAHw=w263-h279-no


Huyo hapo chini ni Dr. Ahmed bin Sumeit yeye ni Microbiologist kwao ni Mombasa:

CIMG0644-1.JPG
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
K
Sina uhakika sana ila kuna mahala nilisoma kwamba alikimbilia kigamboni.... Na kuna Mzee mmoja alimficha nyumban kwake.Mzee mohamed Nashukuru kwa historia nzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
una kitabu ameandika aliyekua mlinzi wake mwalim nyerere anaitwa peter bwimbo ninacho anasema walitorokea kigamboni huyu mzee nazani saizi anapatikana kurasini dar es salaam
 
Huyo mlinzi alikuwa nae siku hizo tatu za kuondolewa madarakani na wanajeshi au na yeye kapiga porojo tu?
alikua nae uzuri huyu mzee yupo na mimi nimekisoma hiki kitabu kizuri sana
 
Back
Top Bottom