Mipango Miji: Kwanini kuna stendi holela za mabasi wakati kuna stendi ya Magufuli jijini Dar???

Mipango Miji: Kwanini kuna stendi holela za mabasi wakati kuna stendi ya Magufuli jijini Dar???

Duksi

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2019
Posts
229
Reaction score
576
Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho

Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???

Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?

Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.

HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu


Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....

Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.
 

Attachments

  • Screenshot_20250209_185003_Chrome.jpg
    Screenshot_20250209_185003_Chrome.jpg
    337.1 KB · Views: 2
Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho

Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???

Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?

Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.

HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu


Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....

Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.
Umefika leo Tanzania baada ya kutimuliwa Marekani na Trump? Pole mkuu
 
Mada yako ni bora ingekuwa serikali iboreshe usafiri wa kufika mbezi stendi ya magufuli kuliko kulalamikia vituo kula mahala, kwa usafiri wa bongo hivi vituo kila mahala vinatusaidia saana sisi, mie nitoke kigamboni niende magufuli stendi kufata basi ni mateso kwa usafiri wetu wakati kigamboni lipo basi.

Na uzuri mabasi haya, popote utakapopandia, bado yanapitia mbezi atendi ya magufuli hivyo haina tabu.
 
Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho

Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???

Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?

Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.

HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu


Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....

Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.
Hili jambo lilishajadiliwa mkuu humu humu hukuhitaji kufungua thread nyingine ila ulitakiwa kwenda kusoma zilizopo na kuchangia humo

Kwasisi abiria limeturahisishia sana sema machinga na Boda wa mbezi ndo inawauma sana nao ulitakiwa ulalamikie utitili wa vibanda na machinga mbezi
 
Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho

Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???

Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?

Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.

HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu


Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....

Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.
Ni kweli mkuu unakuta pale shekilango yamejazana yanasubiri abiria wakati kama wangeboresha miundombinu ya usafirishaji hawa abiria wote wangekua wanalipa mwendokasi mpaka Mbezi. Lakini pia ingeboresha mapato ya getini pale Magufuli stand.
 
Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho

Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???

Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?

Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.

HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu


Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....

Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.

Hii imesababishwa na suala la nchi kukosa Mipango-miji, hatimaye kila kitu kimekuwa shaghala-baghala
 
Mada yako ni bora ingekuwa serikali iboreshe usafiri wa kufika mbezi stendi ya magufuli kuliko kulalamikia vituo kula mahala, kwa usafiri wa bongo hivi vituo kila mahala vinatusaidia saana sisi, mie nitoke kigamboni niende magufuli stendi kufata basi ni mateso kwa usafiri wetu wakati kigamboni lipo basi.

Na uzuri mabasi haya, popote utakapopandia, bado yanapitia mbezi atendi ya magufuli hivyo haina tabu.
umemaliza hata mikoani pia Ipo hii
 
📌📌📌AFRICA IS A FAILED RACE!!!

SOUTH AFRICA WANATIKISA KIBERITI😄😄😄.ILE MIJI YA SOUTH ILIVYOJENGWA PALE HAMNA AKILI ZA MTU MWEUSI.WAAFRICA KUSINI WANAJISAHAU NA KUTUPA LAWAMA ZAO KWA WAZUNGU MAKABURU ILA UHALISIA WA MAMBO NI KUWA WAAFRICA HAWAWEZI KITU NA HATA WAKIACHIWA HIO NCHI BADO WATAZIDI KUWA MASIKINI BORA MZUNGU ABAKI AWASAIDIE.

BACK TO THE MADA.SABABU YA KUWA NA STENDI BINAFSI KILA PAHALA NI SABABU AMBAYO WANAOJUA BIASHARA NA CUSTOMER CARE WANAJUA UMUHIMU WAKE.

KAMA HUJUI BIASHARA YA USAFIRI INATAKA NINI NDO UTASIKIA MRADI MKUBWA KAMA BRT UNAFALI KISA SABABU ZA KIPUUZI KABISA.

📌📌📌MBEZI LUIS IMEJENGWA STENDI KUBWAA GOD HAVE MERCY UPON US.BUT IN REAL SENSE THATS A WHITE ELEPHANT PROJECT!!!

📌📌HATUNA MAENDELEO YA KWELI KWAKUA HATUTAKI KUFANYA VITU KITAALAMU BALI KWA MAZOEA NA UTASHI BINAFSI.

HAINGII AKILINI UNAISHI CHANIKA AU KIGAMBONI ILA UKITOKA MKOANI BASI LINAISHIA MBEZI LUIS???UKITOKA HAPO KWAKUA WEWE NI MASIKINI NA KIPATO CHAKO CHA PATA POTEA UWEZO WA KUKODI BOLT HUNA OPTION ULIYOBAKI NAYO UNAENDA KUGOMBEA DALADALA🤗🤗🤗🤗

📌📌📌MIJI YETU HAIPO FRIENDLY KUPUNGUZA SAFARI KATI YA KUTOKA POINT A KWENDA POUNT B NA KIUHALISIA DAR SIO JIJI NI MKUSANYIKO WA SLUMS TU( KIBERA ILIYOCHAMKA) TOFAUTI NI KUWA HIZI SLUMS ZA DAR ZIMEJENGEWA MATOFALI!!!!
 
Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho

Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???

Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?

Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.

HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu


Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....

Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.
 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0004.jpg
    IMG-20250209-WA0004.jpg
    183.7 KB · Views: 2
Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho

Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???

Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?

Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.

HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu


Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....

Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.
Serikali imeshindwa kuweka mazingira wezeshi ya kuwahudumia watu kufika Mbezi kwa urahisi, zingatia ugumu wa maisha na ubovu wa miundombinu jijini
 
Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho

Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???

Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?

Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.

HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu


Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....

Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.
Jibu la hoja yako liko kwenye paragraph ya 4.
 
Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.
Nani wa kuimarisha usafiri?
Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake
Sio huko tu, kigamboni, Mbagala, Gongolamboto kote vipo na vinasaidia wananchi mizigo yao. Wewe unaumia nini?
HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu
Mfanyabiashara anafuata wateja wake. Inaitwa convenience. wewe unateseka nini?
Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu
Pole sana inaonekana bado hujapona kwa kumpoteza, ila hamna kitu cha aibu hapo.
 
Mimi mkazi wa Bunju B unataka nisisubiri kituoni Bunju B niende Magufuli .. au mkazi wa kigamboni unataka nifunge safari mpaka Magufuli kuna shida gani mwenye bus akiweka la Coaster cha kukusanya abiria wake
 
Back
Top Bottom