Mipango Miji: Kwanini kuna stendi holela za mabasi wakati kuna stendi ya Magufuli jijini Dar???

Mipango Miji: Kwanini kuna stendi holela za mabasi wakati kuna stendi ya Magufuli jijini Dar???

Miji mikubwa ni lazima kuwe na taratibu na mipango Duniani kote ndio hivyo,kuweka Ofisi za mabasi kila mahala ni ujinga.

mbona treni tena ambayo wanapanda watu wa hali duni kabisa ambao hawawezi kulipa nauli za mabasi kituo kipo sehemu moja na watu hutokea maeneo mbalimbali kwenda kupanda.Mtu anatoka Mbagala kwenda station kupanda treni yenye nauli nafuu kuliko basi.

Ili uchumi ukue ni lazima kuwe na multiplier effect,kama mtu anasafiri ni jukumu lake kutafuta usafiri wa kumfikisha Mbezi.

Yani sa hv ukipita kuanzia pale ubungo mpaka Magomeni ni uchafu wa mabasi,utaratibu zero kabisa.tupo kwenye nchi ya vipofu viongozi zero brain wananchi sisi nao zero brain vilevile.

Tuache kutetea ujinga.
 
Idea yako ni nzuri, lakini kabla ya tatizo unadhani chanzo chake ni nini?
 
Miji mikubwa ni lazima kuwe na taratibu na mipango Duniani kote ndio hivyo,kuweka Ofisi za mabasi kila mahala ni ujinga.

mbona treni tena ambayo wanapanda watu wa hali duni kabisa ambao hawawezi kulipa nauli za mabasi kituo kipo sehemu moja na watu hutokea maeneo mbalimbali kwenda kupanda.Mtu anatoka Mbagala kwenda station kupanda treni yenye nauli nafuu kuliko basi.

Ili uchumi ukue ni lazima kuwe na multiplier effect,kama mtu anasafiri ni jukumu lake kutafuta usafiri wa kumfikisha Mbezi.

Yani sa hv ukipita kuanzia pale ubungo mpaka Magomeni ni uchafu wa mabasi,utaratibu zero kabisa.tupo kwenye nchi ya vipofu viongozi zero brain wananchi sisi nao zero brain vilevile.

Tuache kutetea ujinga.
Huu ndio ukweli na hakuna nchi inayojitambua inafanya uholela huu, ila wadau wananitusi tu wakati nimetoa mtazamo.

Kwa mawazo ninayoyaona hapa, tutachukua miaka mingi sana kupiga hatua kama taifa, watu wanataka urahisi na sio usahihi, urahisi mara nyingi hauna manufaa ya muda mrefu.
 
Back
Top Bottom