Kwani Lengo ni kukusanya mapato au kutoa huduma yaani umuumize mtu Toka chanika mpaka mbezi ili tu ukakusanye miatano mbezi?Ni kweli mkuu unakuta pale shekilango yamejazana yanasubiri abiria wakati kama wangeboresha miundombinu ya usafirishaji hawa abiria wote wangekua wanalipa mwendokasi mpaka Mbezi. Lakini pia ingeboresha mapato ya getini pale Magufuli stand.
Nilichomaanisha waboreshe miundombinu ya usafiri Magufuli stand ifikike kirahisi kwa raia, haya mabasi yasizagae mtaani kupakia abiria badala yake yakusanyike Magufuli stand. Hii nayo bado hujaelewa?Kwani Lengo ni kukusanya mapato au kutoa huduma yaani umuumize mtu Toka chanika mpaka mbezi ili tu ukakusanye miatano mbezi?
Kwa mfano wewe ndo msafiri unatokea chanika na una mzigo na miundombinu ya mwendokasi imeboreshwa je kupandia basi chanika ukiwa na mzigo wako na kupanda mwendo Kasi ufike mbezi ndo upande basi utachagua Nini?Nilichomaanisha waboreshe miundombinu ya usafiri Magufuli stand ifikike kirahisi kwa raia, haya mabasi yasizagae mtaani kupakia abiria badala yake yakusanyike Magufuli stand. Hii nayo bado hujaelewa?
Kama msafiri always nitatetea upande wangu tu. Lakini kiuhalisia inatakiwa nipeleke mzigo wangu Chanika then mimi nitangulie stand na mwendokasi. Tusijaribu kuupaka paka rangi uzembe hapa kwa manufaa ya wasafiri peke yake. Ile stand ipo kwa ajili ya nini?Kwa mfano wewe ndo msafiri unatokea chanika na una mzigo na miundombinu ya mwendokasi imeboreshwa je kupandia basi chanika ukiwa na mzigo wako na kupanda mwendo Kasi ufike mbezi ndo upande basi utachagua Nini?
Mtu ana mabasi matano yanaondoka siku moja ,magufuli patatosha kweli kila mmoja alete apaki mabasi yake pale.Magufuli ni terminal.sema sheria ingekuwa ni kwamba kila basi lazima liingie magufuli terminal.unajua Dar ilivyo Magufuli terminal iko nje ya mji.kuwaleta watu toka pande zote za Dar kuanzia mbagala na kigamboni mpaka magufuli ni mtihani mkubwa.wenye mabasi wameboresha kuwasogezea huduma wananchi karibu na walipo.ndiyo maana leo hii kuna mabasi yanayoanzia mbagala,chanika kigamboni nk.Kwani Lengo ni kukusanya mapato au kutoa huduma yaani umuumize mtu Toka chanika mpaka mbezi ili tu ukakusanye miatano mbezi?
Na ndo Sheria inavyosema sema hawamachinga wa mahindi ya kuchoma wanamind sanaMtu ana mabasi matano yanaondoka siku moja ,magufuli patatosha kweli kila mmoja alete apaki mabasi yake pale.Magufuli ni terminal.sema sheria ingekuwa ni kwamba kila basi lazima liingie magufuli terminal.unajua Dar ilivyo Magufuli terminal iko nje ya mji.kuwaleta watu toka pande zote za Dar kuanzia mbagala na kigamboni mpaka magufuli ni mtihani mkubwa.wenye mabasi wameboresha kuwasogezea huduma wananchi karibu na walipo.ndiyo maana leo hii kuna mabasi yanayoanzia mbagala,chanika kigamboni nk.
Wacheni wenye mabasi wasisumbuliwe kama wanalipa kodi.kama kampuni zenye ruti saba au zaidi zitapaki mabasi yao yote stand ya Magu,hiyo nafasi itatosha kweli?Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho
Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???
Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?
Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.
HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu
Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....
Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.
Ulishawahi kuliona bus lolote lisiloingia kushusha au kupakia abiria stendi ya Magufuli?Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho
Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???
Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?
Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.
HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu
Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....
Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.
Hii ndio solution ,Ilitakiwa ijengwe Stendi kubwa ya mabasi Mbagala, Gongo la mboto, Tegeta/Mwenge ingeboreshwa na Kigamboni.
Gari linatoka Kanda ya ziwa linaanza kushusha stendi ya magufuri mbezi, linakwenda kushusha Gongo la Mboto linapitia mvuti chanika Mbagala linakwenda kumalizia Kigamboni.
Maana haiwezekani Jiji lenye watu milioni Sita wahudumiwe na kastendi kamoja.
Mwanza yenyewe Ina stendi mbili
Nyamhongoro na Nyegezi.
Ila kama kawaida yetu, ni uzembe tu mpaka pale tatizo litakapo kuwa kubwa.
Hamna bus terminals duniani ambayo raia analipia kuingia kwa kusindikiza au kupokea mgeni,unaofanyika hapo dar ni uzwazwaNi kweli mkuu unakuta pale shekilango yamejazana yanasubiri abiria wakati kama wangeboresha miundombinu ya usafirishaji hawa abiria wote wangekua wanalipa mwendokasi mpaka Mbezi. Lakini pia ingeboresha mapato ya getini pale Magufuli stand.
Wewe utakuwa mmoja wa wale wanaowavizia abiria pale kwenye daraja ili wawatapeli tikiti, uchache wa abiria wa kuwatapeli unatokana na ukatishaji wa tikiti mtandaoni.Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho
Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna utitiri wa vituo binafsi vya mabasi...yaani kila basi na kituo chake...je kwanini mabasi haya hayatumii kituo maalum kilichojengwa na serikali kwa mabiilioni ya shilingi???
Tatizo ni nini hasa, hivi kweli jiji linakuwa na vituo vya mabasi kila mahala bila kuzingatia mipango miji?
Kwanini wasingeimarisha usafiri kutoka stendi ya magufuli kwenda katikati ya mji badala ya kuruhusu utitiri huu wa stendi binafsi?? Kwa kweli inafikirisha na kushangaza.
HAkuna taifa lililopiga hatua kwa kuafuata matakwa ya wafanyabiashara wanaoangalia maslahi yao binafsi...lazima nchi ifuate utaratibu
Kama hayati angelikua hai asingekubaliana na utaratibu huu usiofuata mipango....
Hakuna mji au jiji duniani linalorushusu hali hii ni aibu na wahusika wanapaswa kujirekebisha haraka iwezekanvyo.