Miradi hii ilipelekwa Chato. Kila Rais akipendelea kwao kama Hayati Magufuli Tanzania itaendelea kuwepo?

Utakuwa unaumwa wewe! Unaokota habari uko unakuja kupaste tu huku! Wilaya gani haikuwa na mradi wa stand au soko kipindi cha mwendazake?
Naokota habari kutoka wapi? Hizo ni habari kutoka vyanzo rasmi vya Serikali mfano sites za chama,Wizara nk.
 
Utulie kama huna pakula! Sasa ni zamu ya Kizimkaz…
 
Utulie kama huna pakula! Sasa ni zamu ya Kizimkaz…
Kiximkazi hajipendelei kifala kama huyo ndio maana nikikwambia taja mradi wa upendeleo huko kiximkazi jibu huna.
 
Kwaiyo hiyo miradi inamilikiwa na familia ya Magufuli au serikali?
 
Uchawa nao ni kazi,sasa hivi Mama Yao anaijenga Zanzibar kwa kasi ila hawaioni!
 
Hiyo maktaba ya kanda nani watasoma vitabu hivyo huko chato, labda ng'ombe na punda. Zile taa za barabarani chato zinaongoza punda na ng'ombe.
 
Kiximkazi hajipendelei kifala kama huyo ndio maana nikikwambia taja mradi wa upendeleo huko kiximkazi jibu huna.
Fedha wanazoendeshea miradi sasa hivi zinatoka wapi kama siyo Tanganyika?
Subiri kivumbi mwaka huu,Mama yenu ataondolewa kwenye kiti kwa aibu kubwa sana!
 
Hiyo maktaba ya kanda nani watasoma vitabu hivyo huko chato, labda ng'ombe na punda. Zile taa za barabarani chato zinaongoza punda na ng'ombe.
Kamuulizeni Mwendazake na Machawa wake wapo humu
 
Upumbavu ni nini?
Upumbavu ni ile hali ya kuendelea kupambana na matehemu ambaye hawezi kujitetea.
 
Kwaiyo hiyo miradi inamilikiwa na familia ya Magufuli au serikali?
Kulikuwa hakuna sababu ya Kupeleka miradi huko Kijijini ambayo haina maana Kwa Nchi Wala wanakijiji.

Pia ni matumizi mabaya ya Rasilimali za Nchi linapokuja swala la vipaombele.

Mwisho upendeleo ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa
 
kijijini kwa nyokooo si mlisema tena hajafanya lolote
Kulikuwa hakuna sababu ya Kupeleka miradi huko Kijijini ambayo haina maana Kwa Nchi Wala wanakijiji.

Pia ni matumizi mabaya ya Rasilimali za Nchi linapokuja swala la vipaombele.

Mwisho upendeleo ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…