Miradi hii ilipelekwa Chato. Kila Rais akipendelea kwao kama Hayati Magufuli Tanzania itaendelea kuwepo?

Kulikuwa hakuna sababu ya Kupeleka miradi huko Kijijini ambayo haina maana Kwa Nchi Wala wanakijiji.

Pia ni matumizi mabaya ya Rasilimali za Nchi linapokuja swala la vipaombele.

Mwisho upendeleo ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa
wewe ni soga linakandiwa nyumaaaaas
 
kijijini kwa nyokooo si mlisema tena hajafanya lolote
Ni kweli hajafanya lolote,Mwanza huko wanaosombwa na Mafuriko hawana Barabara harafu mtu anaenda kumwaga mabilioni kwenye uwanja wa ndege wa kurukia.popo.

Ni akili hizo? Samia anawaletea vitu vya msingi vya kusaidia watu wengi huko Chato sio Stand na upuuzi kama huo.
 
Fanya vetting kwa jimama lako. Shetani wewe
Kikwete alifanyiwa vetting lakini ni mtu wa hovyo kuwahi kutokea hii nchi. Huyu mama atakua alifanyiwa vetting lakini unaona yanayoendelea, zero.

Leo Tanzania matumaini yetu ya kupambana na mgao wa umeme ni bwawa alilolianzisha Magufuli, hayo mawazo baada ya Mwalimu Nyerere amekuja kua nayo Magufuli tu.

Magufuli atabaki kua kiongozi bora kuwahi kutokea hii nchi toka ipate uhuru baada ya Nyerere
 
Uchawa nao ni kazi,sasa hivi Mama Yao anaijenga Zanzibar kwa kasi ila hawaioni!
Project zote hizo zingekamilika, Chato & maeneo yake ingefunguka sana kiuchumi. Na faida zingekuwa kwa Tanzania as a whole.

Kampuni za ujenzi,
Wafanyakazi wa Hotel,
Mabus,
Wauza mifugo n.k
 
Alifanyiwa vetting na nani? Nyerere si alimkataa?

Tanzania haijawahi pata Rais wa maana Toka baada ya mwl ukimtoa Samia.

Hao wengine ni majizi na ma failures
 
Upo sahihi Mkuu, ila mcheza kwao hutunzwa.

MUACHENI JPM APUMZIKE.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mcheza kwao hutuzwa, siyo hutunzwa.
Kutuzwa ni kupewa tuzo, yaani unatuzwa.
Kutunzwa ni kitu tofauti na kutuzwa.
 
Alifanyiwa vetting na nani? Nyerere si alimkataa?

Tanzania haijawahi pata Rais wa maana Toka baada ya mwl ukimtoa Samia.

Hao wengine ni majizi na ma failures
Kikwete amekua rais Nyerere amekufa.

Samia ni hakuna kitu, miaka 3 tu hii imethibitisha kwamba ni bure.
 
Kwanini uwanja wa chot uone ni shida lakini uwanja wa mpanda au Tabora usione shida.Kwanza uwanja wa chato unadnge za ablia mara mbili kwa wiki na ni ablilia kati 15 hadi 30 wanasukia aunkupandia pale.
 
12. Mradi wa wa bwawa la Nyerere Chato
13. Mradi wa SGR chato
14. Mradi wa bomba la mafita Tanga-Uganda chato
15. Mradi wa fly over chato
16. Mradi wa umeme vijijini Chato
17. Mradi wa Stand ya Magufuli chato
18. Mradi wa Stand ya msamvu chato
19. Mradi wa daraja la Tanzanite chato
20. Mradi wa ukuta wa mererani chato
21. Mradi wa..... au basi.

Sema jamaa alikosea, ule Mradi wa soko la samaki la kanda angeutupia Msamvu pale au Chuga, angepunguza upendeleo.
 
Naokota habari kutoka wapi? Hizo ni habari kutoka vyanzo rasmi vya Serikali mfano sites za chama,Wizara nk.
Wizara ndiyo inaandika Stendi ya Kanda? Screen shoot hiyo website ya Wizara ambayo imesema kuna Stand ya Kanda nasi tuishangae!
 
ongezea bwawa la kufua umeme Chato, meli za ziwa Victoria nne chato, mradi wa maji wa billioni 598 wa Arusha nao chato, mradi wa stand za mabasi nyegezi Chato
 
shenzi wewe MwanzA zuwena ndio hajafanya lolote Magufuli alikuwa na mpango mzuri na mwanza yetu Samia hajafanya lolote mwanza la maana NYAMBAAF
 
Aliipendelea Chato. Ila ni vitu vya kawaida na vilipatakiwa viwepo kila mkoa kama si kila wilaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…