Miradi hii ilipelekwa Chato. Kila Rais akipendelea kwao kama Hayati Magufuli Tanzania itaendelea kuwepo?

Aliipendelea Chato. Ila ni vitu vya kawaida na vilipatakiwa viwepo kila mkoa kama si kila wilaya.
Kwa nini apendelee badala ya kuanza kujenga hatua Kwa hatua kwenye maeneo yenye uhitaji zaidi?
 
Yule jamaa alikuwa mpuuzi. Na upuuzi huo naona umeigwa na Kizimkazi pia.

Sasa hivi Zanzibar mpk majengo ya zanahanati yanabadilishwa kuwa maghorofa.

Nchi yenye bajeti ya trilioni 2.3 kwa mwaka lkn inafanya miradi ya trilioni 10 kwa mwaka.
umasikini tu ulishazoea nchi yenye mabilioni kujenga vimajengo ya kimasikini mbwa ww
 
Utakuwa unaumwa wewe! Unaokota habari uko unakuja kupaste tu huku! Wilaya gani haikuwa na mradi wa stand au soko kipindi cha mwendazake?
Huyo jamaa ukimuona mwili wake hutaamini kama ndo mwenye akili ndogo kama kisoda
 
uzi una miezi miwili Like hata kumi hazifikiπŸ“£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukipuuzwa si lazima uambiwe
 
miaka yote mlikua mnashindwa kutengeneza miundo mbinu ya kawaida sana hiii

Ni umasikini na ulofa wako ndo inakufanya uone n kitu cha ajabu
Kwa hiyo ikaamuliwa Chato ndio inastahili hiyo miundombinu ilasio Majiji sio? Ulofa kama lodilofa
 
Ushaenda chato ww au unajiongelea mambo ya kwene magazeti???

Nenda halafu urudi utofautishe propaganda na uhalisia
Uhalisia upi? Chato ni Wilaya haiwezi kupendeoewa miundombinu mikubwa kabla ya Majiji ambayo Yana mchango mkubwa Kwa Uchumi.
 
Uhalisia upi? Chato ni Wilaya haiwezi kupendeoewa miundombinu mikubwa kabla ya Majiji ambayo Yana mchango mkubwa Kwa Uchumi.
umasikini kichwani umekujaa mambo ya kawaida unaona anasa! tafuta passport utembee nchi nyingine umasikini unakula akili
 
umasikini kichwani umekujaa mambo ya kawaida unaona anasa! tafuta passport utembee nchi nyingine umasikini unakula akili
Hoja ni Kwa nini Chato wakati ni nothing kwenye Mchango wa kiuchumi na kuacha kunakoleta pesa?
 
Unaonaje ukituletea na miradi ya Chalinze?, au haipo?
 

View: https://youtu.be/sa31sH6ASxc?si=0Z3vMuJaX7wNiwU9
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…