Mwanza yenyewe haina jengo la abiria la uwanja wa ndege lenye hadhi, mbali na kuwa jiji na kuchangia pato la Taifa kikubwa,pesa za chato airport zingeboresha sana uwanja huo na kuwa wa kimataifa. Tutegemee huruma ya mama aifikirie Mwanza. Tuliangushwa kikubwaNi kweli hajafanya lolote,Mwanza huko wanaosombwa na Mafuriko hawana Barabara harafu mtu anaenda kumwaga mabilioni kwenye uwanja wa ndege wa kurukia.popo.
Ni akili hizo? Samia anawaletea vitu vya msingi vya kusaidia watu wengi huko Chato sio Stand na upuuzi kama huo.
Tukimaliza Chato ndio tutakuja huko Mwanza ππMwanza yenyewe haina jengo la abiria la uwanja wa ndege lenye hadhi, mbali na kuwa jiji na kuchangia pato la Taifa kikubwa,pesa za chato airport zingeboresha sana uwanja huo na kuwa wa kimataifa. Tutegemee huruma ya mama aifikirie Mwanza. Tuliangushwa kikubwa
Naona Chato imegoma kupoa licha ya Uwanja wa ndege kugeuka kilinge Cha kuanikia michembe ππUpendeleo wa hivi hautakiwi na ikomeshwe mara Moja maana ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa.
Chato peke yake kulikuwa na miradi zaidi ya 14 mikubwa mikubwa Kama ifuatavyo
1. Miradi wa Kiwanja Cha Ndege Chato
2. Mradi wa Maktaba ya Kanda ya Ziwa-Chato
3. Mradi wa Chuo Kikuu Chato-Tawi la Udsm
3. Mradi wa Tawi la Chuo Cha Fedha na Mipango Chato
4. Mradi wa Hoteli ya Nyota 3 Chato
5. Mradi wa Kuunda Hifadhi Mpya ya Taifa Burigi Chato
5. Mradi wa Hospitali ya Kanda Chato
6. Mradi wa Standi Kuu ya Hadhi ya Kanda Chato
7. Mradi wa Soko la Samaki la Kanda Chato
8. Mradi wa Barabara ya lami Chato
9. Mradi wa Gati la Nyamirembe Chato
10. Mradi wa Shule Maalumu ya Mkoa Chato
11. Mradi wa Majengo ya Makazi ya Watumishi NHC Chato.
12.Mradi wa Chuo Kikuu Huria Tawi la Chato.
Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa kati ya maelfu ya miradi ambayo bwana yule alijipendelea kwenye Kijiji chake Kwa kutumia Rasilimali za Nchi Kuleta upendeleo wa kimaeneo kinyume na kiapo chake.
View attachment 2871785View attachment 2871795View attachment 2871796View attachment 2871797
My Take
Wakati mwingine tuwe tunachunguza rekodi za watu (vetting) kabla ya kuwafanya viongozi wa Nchi maana wanaweza kuja kuleta taharuki kubwa.
View: https://www.instagram.com/p/Cz_Xq2RN0dL/?igsh=YW9pdTMzbTZ0ajViView attachment 2871794
Zaidi ya neno hovyo alikuwa punguhaniAlikuwa mtu wa ovyo
Sio wilaya ila jiji la Arusha halina stendWilaya ya Arusha mjini haina stendi Wala soko.
Soko la samaki ni sahihi ila all in all jiwe alikuwa mbinafsiYani mpaka soko la Samaki nalo mnaona shida kujengwa Chato! Miradi ulya soko si karibu kila wilaya ilipata?
Tulimshindwa tukamshtaki kwa Mungu kwa yale madhila na matokeo tulionaRoho mbaya huyu mwamba hayupo diniani lakini mlimshamshindwa
Udsm Chato Campus -Marine ScienceUpendeleo wa hivi hautakiwi na ikomeshwe mara Moja maana ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa.
Chato peke yake kulikuwa na miradi zaidi ya 14 mikubwa mikubwa Kama ifuatavyo
1. Miradi wa Kiwanja Cha Ndege Chato
2. Mradi wa Maktaba ya Kanda ya Ziwa-Chato
3. Mradi wa Chuo Kikuu Chato-Tawi la Udsm
3. Mradi wa Tawi la Chuo Cha Fedha na Mipango Chato
4. Mradi wa Hoteli ya Nyota 3 Chato
5. Mradi wa Kuunda Hifadhi Mpya ya Taifa Burigi Chato
5. Mradi wa Hospitali ya Kanda Chato
6. Mradi wa Standi Kuu ya Hadhi ya Kanda Chato
7. Mradi wa Soko la Samaki la Kanda Chato
8. Mradi wa Barabara ya lami Chato
9. Mradi wa Gati la Nyamirembe Chato
10. Mradi wa Shule Maalumu ya Mkoa Chato
11. Mradi wa Majengo ya Makazi ya Watumishi NHC Chato.
12.Mradi wa Chuo Kikuu Huria Tawi la Chato.
13.Tawi la Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete
Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa kati ya maelfu ya miradi ambayo bwana yule alijipendelea kwenye Kijiji chake Kwa kutumia Rasilimali za Nchi Kuleta upendeleo wa kimaeneo kinyume na kiapo chake.
View attachment 2871785View attachment 2871795View attachment 2871796View attachment 2871797
My Take
Wakati mwingine tuwe tunachunguza rekodi za watu (vetting) kabla ya kuwafanya viongozi wa Nchi maana wanaweza kuja kuleta taharuki kubwa.
View: https://www.instagram.com/p/Cz_Xq2RN0dL/?igsh=YW9pdTMzbTZ0ajViView attachment 2871794
YOU MAY READ THE BOOK : IAM THE STATE" KIJITABU KIDOGO KILICHOANDIKWA NA WAHARIRI ALIOTAKA KUWAUWA WA TZStand ya Mabasi Chato,Arusha au Mbeya hakuna Stand kama hii View attachment 2871788
Upendeleo wa hivi hautakiwi na ikomeshwe mara Moja maana ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa.
Chato peke yake kulikuwa na miradi zaidi ya 14 mikubwa mikubwa Kama ifuatavyo
1. Miradi wa Kiwanja Cha Ndege Chato
2. Mradi wa Maktaba ya Kanda ya Ziwa-Chato
3. Mradi wa Chuo Kikuu Chato-Tawi la Udsm
3. Mradi wa Tawi la Chuo Cha Fedha na Mipango Chato
4. Mradi wa Hoteli ya Nyota 3 Chato
5. Mradi wa Kuunda Hifadhi Mpya ya Taifa Burigi Chato
5. Mradi wa Hospitali ya Kanda Chato
6. Mradi wa Standi Kuu ya Hadhi ya Kanda Chato
7. Mradi wa Soko la Samaki la Kanda Chato
8. Mradi wa Barabara ya lami Chato
9. Mradi wa Gati la Nyamirembe Chato
10. Mradi wa Shule Maalumu ya Mkoa Chato
11. Mradi wa Majengo ya Makazi ya Watumishi NHC Chato.
12.Mradi wa Chuo Kikuu Huria Tawi la Chato.
13.Tawi la Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete
14.Mradi wa Chuo Kikubwa Cha VETA
Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa kati ya maelfu ya miradi ambayo bwana yule alijipendelea kwenye Kijiji chake Kwa kutumia Rasilimali za Nchi Kuleta upendeleo wa kimaeneo kinyume na kiapo chake.
View attachment 2871785View attachment 2871795View attachment 2871796View attachment 2871797
My Take
Wakati mwingine tuwe tunachunguza rekodi za watu (vetting) kabla ya kuwafanya viongozi wa Nchi maana wanaweza kuja kuleta taharuki kubwa.
View: https://www.instagram.com/p/Cz_Xq2RN0dL/?igsh=YW9pdTMzbTZ0ajViView attachment 2871794
Afrika inaongozwa na utashi wa kiumbe mmoja aliye kasimiwa madaraka.View attachment 3158322Japo wote wawili Magufuli na MobutuView attachment 3158321 walishakwenda zao, huwa siachi kujiuliza walivyotapanya pesa ya umma kujenga kwao kukaishia kufulia. Kwa sasa nasikia tumeanza kujenga Kizinkazi. Ukiondoa Magu na huyu, hakuna rais wa Tanzania aliyependelea kwao. Kama kupendelea na ufisadi vingelikuwa dili, Nyerere ageigeuza Butiama pepo.
Kwa wale wanaokumbuka historia, kufuatilia na kujifunza tokana nayo, kuna tofauti gani kati ya Gbadolite ya Mobutu na Chatolite ya Magufuli?
Maono ya magufuli hayo.Upendeleo wa hivi hautakiwi na ikomeshwe mara Moja maana ni hatari kwa mstakabali wa umoja wa kitaifa.
Chato peke yake kulikuwa na miradi zaidi ya 14 mikubwa mikubwa Kama ifuatavyo
1. Miradi wa Kiwanja Cha Ndege Chato
2. Mradi wa Maktaba ya Kanda ya Ziwa-Chato
3. Mradi wa Chuo Kikuu Chato-Tawi la Udsm
3. Mradi wa Tawi la Chuo Cha Fedha na Mipango Chato
4. Mradi wa Hoteli ya Nyota 3 Chato
5. Mradi wa Kuunda Hifadhi Mpya ya Taifa Burigi Chato
5. Mradi wa Hospitali ya Kanda Chato
6. Mradi wa Standi Kuu ya Hadhi ya Kanda Chato
7. Mradi wa Soko la Samaki la Kanda Chato
8. Mradi wa Barabara ya lami Chato
9. Mradi wa Gati la Nyamirembe Chato
10. Mradi wa Shule Maalumu ya Mkoa Chato
11. Mradi wa Majengo ya Makazi ya Watumishi NHC Chato.
12.Mradi wa Chuo Kikuu Huria Tawi la Chato.
13.Tawi la Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete
14.Mradi wa Chuo Kikubwa Cha VETA
Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa kati ya maelfu ya miradi ambayo bwana yule alijipendelea kwenye Kijiji chake Kwa kutumia Rasilimali za Nchi Kuleta upendeleo wa kimaeneo kinyume na kiapo chake.
View attachment 2871785View attachment 2871795View attachment 2871796View attachment 2871797
My Take
Wakati mwingine tuwe tunachunguza rekodi za watu (vetting) kabla ya kuwafanya viongozi wa Nchi maana wanaweza kuja kuleta taharuki kubwa.
View: https://www.instagram.com/p/Cz_Xq2RN0dL/?igsh=YW9pdTMzbTZ0ajViView attachment 2871794