Miradi hii ilipelekwa Chato. Kila Rais akipendelea kwao kama Hayati Magufuli Tanzania itaendelea kuwepo?

Sasa si ndio kazi iliyowaweka mjini.. bila uchawa huendi chooni.. sisi wapandanaji muda huu nachomewa paja la mbuzi nishushie na saint anne.. sijageuzwa mtumwa wa kupambania watawala.
Hapo ndipo upumbavu wenu ulipo.Mbona Mimi nafanya yote haya Kwa mapenzi binafsi Kwa Serikali ya Samia na hanijui Wala simjui.

Mbona na wewe unatukana ,huo ndio uchawa wako? 😂😂

Nimekataa kutukana Sasa nasifia Mazuri kama wewe ulivyokataa kusifia Mazuri umechagua kutukana.
 
Mungu alijuwa Magufuli anaharibu nchi akaamua kusahihisha makosa yaliyofanywa na Kikwette na CCM yake. Akamtupa jehanam. Endelea kuungua na moto Magufuli
 
Wewe ni mjinga,kwani tunajadili nini hapa? Si hoja ya Chato? Hiyo umeweka ni attachment ya Chato na sio Wilaya nyingine.

Wewe ndio una mtindio wa ubongo,onyesha hapa miradi mikubwa Nje ya Chato
Kwenye screenshot umeshakiri kwamba kuna miradi ipo, sasa hivi unageuka unasema nikuonyeshe miradi nje ya Chato, kama sio bipolar ni nini? Kaa mbali na mimi taahira mmoja
 
Maelezo meeengi halafu ni upuuzi mtupu...!!

Hivi kwanza unajua unachokisema??

Yaani..",wakati Serikali inasema ianze kuwakata tozo za miamala ilete maji mjini na Vijijini waliokuwa wa kwanza kupinga na kutukana ni watu wa Dar just kama inavyofanya Sasa".

Kwamba hizo tozo zilizoanzishwa kiholela holela ndio za kufanikisha huduma ya maji??? Yaani hata Aibu hauoni kubwa Jinga wewe?

Kwahiyo kwa sababu kwa miaka 64 watangulizi wake wameshindwa kabisa kutatua tatizo la huduma ya maji likaisha, basi ni sahihi tu na huyo bibi yako kuendeleza failure ya serikali zilizopita??

Watumishi wa DAWASCO wameshapelekewa sana malalamiko na wakazi wa ubungo lakini hakuna kinachofanyika, halafu wewe unakuja na utetezi usiokuwa na kichwa Wala miguu,?.... Ndio maana tunasema CCM ni cancer kwa taifa hili na mnatakiwa muondoke kabisa kwenye ngazi zote za uongozi hili tuliponye hili taifa.
 
Tozo zipi zilizoanzishwa kiholela? Nitajie hizo tozo.

Mwisho muendelee kukoma.hivyo hivyo,kupelekewa malalamiko dawasa ndio hela? Watumie salary Yao? Wacha ujinga Hadi utakokubali kulipa tozo,mkome hivyo hivyo na chama kitashinda 😂😂
 
Tozo zipi zilizoanzishwa kiholela? Nitajie hizo tozo.

Mwisho muendelee kukoma.hivyo hivyo,kupelekewa malalamiko dawasa ndio hela? Watumie salary Yao? Wacha ujinga Hadi utakokubali kulipa tozo,mkome hivyo hivyo na chama kitashinda 😂😂
Wewe ni mjinga na mkoswa akili kabisa hujui tu....!! Kiufupi nyie machawa huwa ni wapumbafuu sana na hamnaga hoja, yaani nchi hii leo hii imekuwa ya kutegemea tozo ndio zinendeshe miradi ya huduma muhimu? Na kushinda labda mtumie vufaru kama kawaida yenu
 
Wewe ni mpumbavu na fala,ukitaka Nchi iendeshe miradi Kwa kutegemea makamasi Yako au?

Huna hoja,kunyweni matope hadi mtakapokubali kuanza kulipa tozo za miamala,mnabwabwaja wakati watu wa Vijijini miaka yote wanapata hizo shida pumbavu.

Jua lingeongezeka Ili mpate akili,sisi Mkoani mambo ni 🔥🔥
 
Sasa tatizo lilikuwa wapi, kwani yote haya si ni maendeleo ya taifa au wewe ulitaka DSM tu iendelee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…