zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
- Thread starter
-
- #41
Kubuni ndio Nini? Mambo yote yapo kwenye mpango wa taifa wa miaka mitano Kuna mpaka miradi ya umeme wa joto ardhi na upepo. Kuna masuala ya kununua meli za bahari kuu za kuvua samaki, Kuna mradi wa kuvuna gesi asilia, Kuna mpango wa kujenga Barabara nane till Morogoro and so on.Labda kama huna unalolijua kuhusu ilo bwawa, ila unabyomuona Samia na Janauary wanaubunifu wowote? Just be neutral! Samia anavyomuona ni mtu ambae anasumbua kichwa chake kutafuta taarifa? Kubuni vitu?
When did they plan to ditch out the project? Acheni hearsay na speculation hakukua na mpango wa kuacha mradi ule ilikua kelele za Mitandaoni tu ila ujenzi uliendelea kwa Kasi Ile ile. Sasa mradi umeisha badala ya kumpongeza mama wameanza oooh bila JPM wasingeweza mara ooh walidhani bwawa halitajaa kisa miti kukatwa??How many times the efforts to ditch out the project have failed? Hakuna kitu kinachofanyika gizani kisijulikane mwangani. Mbwembwe za kubeza jina la JPM ndio linalofanya atamkwe sana kwa wema au ubaya.
Una matatizo wewe! Ilo Bwawa lilikuwa katika mpango wenu wa miaka mi5? Kuvuna gas ilo najua kwa Kikwete sawa lilikuwepo ila sio kufufua shirika la ndege, ujenzi wa bwawa la umeme rufiji, ujenzi wa meli ziwa victoria hivo wala havikuwepo kabisaKubuni ndio Nini? Mambo yote yapo kwenye mpango wa taifa wa miaka mitano Kuna mpaka miradi ya umeme wa joto ardhi na upepo. Kuna masuala ya kununua meli za bahari kuu za kuvua samaki, Kuna mradi wa kuvuna gesi asilia, Kuna mpango wa kujenga Barabara nane till Morogoro and so on.
Hata JPM sio kama alibuni ni mpango ulishakuepo hata flyover ulikuwepo kwenye DMDP na kipengele Cha decongestion Dar Es Salaam kwenye mpango wa taifa wa miaka mitano 2011-2016!!!
Continuity ipo sana tu unless hausomi ilani za chaguzi na kuona mipango ya taifa then fuatilia vipaumbele vya bajeti. Aliyetaka kuharibu ni JPM kufanya manunuzi nje ya bajeti kinyume kabisa na mpango wa taifa na dira ya taifa. Mfano kujenga airport chato was irrelevant.Miaka 10 huwezi kufanya na kumaliza kila kitu. That is not possible. What we miss as a country ni continuity. Tunafanya kama vile kila awamu ni private project ya watu fulani.
We are missing a point
Nani kakuaminisha kitu? Kuamini ni project yako binafsi. Tuache kufanya project kubwa za nchi ni kitu personal. Tunafeli sanaWhen did they plan to ditch out the project? Acheni hearsay na speculation hakukua na mpango wa kuacha mradi ule ilikua kelele za Mitandaoni tu ila ujenzi uliendelea kwa Kasi Ile ile. Sasa mradi umeisha badala ya kumpongeza mama wameanza oooh bila JPM wasingeweza mara ooh walidhani bwawa halitajaa kisa miti kukatwa??
Ndio nashangaa kwamba kwani kama Kuna pesa na engineers kinachoshindikana ni Nini mpaka tuaminishwe ni JPM pekee anayeweza kujenga miradi.
We ndio una matatizo Bwawa lilikuwepo kwenye makabrasha ya time ya mipango tokea mwaka 1974 Wala sio idea ya JPMUna matatizo wewe! Ilo Bwawa lilikuwa katika mpango wenu wa miaka mi5? Kuvuna gas ilo najua kwa Kikwete sawa lilikuwepo ila sio kufufua shirika la ndege, ujenzi wa bwawa la umeme rufiji, ujenzi wa meli ziwa victoria hivo wala havikuwepo kabisa
Hakuna continuity...Mfano mdogo tu...Mkapa alianzisha Mkurabita na Mkukuta. JK akaanzisha BIG Results Now. Halfu JPM akatelekeza vyote.Continuity ipo sana tu unless hausomi ilani za chaguzi na kuona mipango ya taifa then fuatilia vipaumbele vya bajeti. Aliyetaka kuharibu ni JPM kufanya manunuzi nje ya bajeti kinyume kabisa na mpango wa taifa na dira ya taifa. Mfano kujenga airport chato was irrelevant.
Tangia 74 likisubiri nini bwashekhe?We ndio una matatizo Bwawa lilikuwepo kwenye makabrasha ya time ya mipango tokea mwaka 1974 Wala sio idea ya JPM
Ilani ya Uchaguzi 2015 haikuwa na mradi wa bwawa la rufiji ila aliekuja kufanya alifanya kwa utashi wake na ndiyo maana walipinga walikuwa ndan hukohukoContinuity ipo sana tu unless hausomi ilani za chaguzi na kuona mipango ya taifa then fuatilia vipaumbele vya bajeti. Aliyetaka kuharibu ni JPM kufanya manunuzi nje ya bajeti kinyume kabisa na mpango wa taifa na dira ya taifa. Mfano kujenga airport chato was irrelevant.
Kinyerezi one Mega Watt 210 na Kinyerezi two Mega Watt 240 jumla Mega Watt 450.Kawadanganye wajinga. Mitambo ya Kinyerezi inapata gesi only 6% ya uwezo wake.
Kuna mradi wa kuzalisha kizazi cha watanzania wengi wajinga wanaomaliza darasa la saba pasipo kujua kusoma na kuandika ila wamefaulu mtihani wa drs la saba, mradi huo ulianza wakati wa bwana kikwete.Habari za weekend wanajukwaa
Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.
1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.
2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.
3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.
4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!
5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!
6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.
Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.
Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.
Naomba kuwasilisha
Habari za weekend wanajukwaa
Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.
1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.
2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.
3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.
4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!
5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!
6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.
Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.
Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.
Naomba kuwasilisha
Sawa mkuu we ongelea hiyo mingine sisi watanzania tumeamua kuongelea aliyoifanya mwamba MagufuliHabari za weekend wanajukwaa
Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.
1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.
2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.
3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.
4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!
5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!
6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.
Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.
Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.
Naomba kuwasilisha
Ni ajabu sana..kwa mara ya Kwanza CDM na CCM wameungana kupambana dhidi ya Marehemu.Isipokuwa Magufuli alitaka kuaminisha Wajinga kwamba yeye ndiye alianzisha Tanzania na kila kitu kilichomo
When did they plan to ditch out the project? Acheni hearsay na speculation hakukua na mpango wa kuacha mradi ule ilikua kelele za Mitandaoni tu ila ujenzi uliendelea kwa Kasi Ile ile.
Ni ushamba tu wa yeye na genge lake hakuna cha ajabu. Hizo reli na bomba la mafuta sio ishu, Nyerere alijenga reli na bomba mafuta kutoka Dar hadi KapiriMposhi Zambia na hakukuwa na kelele zozote.Habari za weekend wanajukwaa
Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.
1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.
2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.
3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.
4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!
5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!
6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.
Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.
Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.
Naomba kuwasilisha
Msoga alitumia miaka mingapi na JPM kwa miaka mingapi.Habari za weekend wanajukwaa
Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.
1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.
2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.
3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.
4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!
5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!
6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.
Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.
Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.
Naomba kuwasilisha
Umeongea pumba na uongo wa maskani. Bwawa la Nyerere lipo kwenye Ilani ya CCM, ambayo iliandikwa kabla hata hajateuliwa (utaniambia vingapi vinaandikwa havitekelezwi). Kwani mradi wa njia 8 hadi Bagamoyo umetumia kiasi gani? Hivi ingekuwa akili kweli kujenga njia 8 kutoka Kimara hadi Kibaha huku watanzania lazima wapitie Kenya kwenda Mwanza? Au kwenda Mtwara kutoka Songea kupitia Dar? Au usijenge Daraja la Kilombero ili kuopitisha mchele ufike sokoni? Au usijenge Malagarasi? Jiulize kama umeme wa gesi ni asilimia 60 ya umeme wote, hali ingekuwaje kama wasingejenga bomba la gesi na kujenga kinyerezi gas plants na badala yake kujenga njia 8 za Kibaha. JPM alitamka hadharani kuwa bila yeye miradi aliyoanzisha haitamalizwa, Mungu fundi kamchukua, je kuna mradi wake uliosimama?Utofauti ni kuwa ata akiwa Rais ukiangalia miradi mingi bila uwepo wake isingewezekana, nakupa mfano bwawa la Mwal Nyerere lile Yeye kama yeye kusimama ule mradi ungekufa na hakuna rais yeyeto angeweza kuja kugusa tena, hiyo meli ya mpya Mv Mwanza Hapa kazi tu ni shinikizo lake yeye, Busisi pale ni shinikizo lake, ule mradi wa ujenzi wa njia 8 ulikuwa uende mpaka Chalinze kwa mkopo wa World Bank! Ila World Bank waligoma kutoa hela badae na wakaishia kutoa fedha ya Interchange, Magufuli aliamua Kujenga kwa bajeti ya Tanzania ata kwakuanzia mpaka Kibaha alafu huko mbele tutajua inafikaje Chalinze, kufufua Shirika la ndege ni utashi wake yeye kama yeye tu ila nakukumbusha tena sio kama ndege hazina umuhimu ila sisi wenyewe ni madalali sana wa makabulu, tutashindws kuhudumia zile ndege mwisho wa siku zitauzwa kwa bei chee ata million 500 huko kwa makabulu then wao watazitumia kama alizokaacha Nyerere.
Kingine nikukumbushe kuwa Magufuli ndiye alimshauri Mzee Mkapa kila pato la makusanyo ya mwezi itengwe bilion 2 kwaajili ya ujenzi wa barabara iwe inaenda Tanrods kuliko kusuburi wahusan ambao walikuwa wanajivutavuta.