Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeorodhesha hivyo kwa makusudi maana katika hayo yote niliyoyaoredhesha Magufuri hakuwahi ongoza mmojawapo ya hizo Wizara ili watu wanaosema Tanzania bila Magufuri ingekuwa nchi maskini sana.Je hiyo miradi yote uliyoorodhesha kipindi hicho yanatekelezwa magufuli alikuwa katika wizara ipi?tuanzie hapo!
Kipindi hicho alikuwa wizara gani tufahamishe na siye tuujue?Nimeorodhesha hivyo kwa makusudi maana katika hayo yote niliyoyaoredhesha Magufuri hakuwahi ongoza mmojawapo ya hizo Wizara ili watu wanaosema Tanzania bila Magufuri ingekuwa nchi maskini sana.