Miradi mikubwa haikuanza kipindi cha Hayati Magufuli pekee

Miradi mikubwa haikuanza kipindi cha Hayati Magufuli pekee

Habari za weekend wanajukwaa

Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.

1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.

2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.

3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.

4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!

5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!

6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.

Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.

Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.

Naomba kuwasilisha
Una hoja ila unatakiwa ujifunze kujenga hoja
 
Umeongea pumba na uongo wa maskani. Bwawa la Nyerere lipo kwenye Ilani ya CCM, ambayo iliandikwa kabla hata hajateuliwa (utaniambia vingapi vinaandikwa havitekelezwi). Kwani mradi wa njia 8 hadi Bagamoyo umetumia kiasi gani? Hivi ingekuwa akili kweli kujenga njia 8 kutoka Kimara hadi Kibaha huku watanzania lazima wapitie Kenya kwenda Mwanza? Au kwenda Mtwara kutoka Songea kupitia Dar? Au usijenge Daraja la Kilombero ili kuopitisha mchele ufike sokoni? Au usijenge Malagarasi? Jiulize kama umeme wa gesi ni asilimia 60 ya umeme wote, hali ingekuwaje kama wasingejenga bomba la gesi na kujenga kinyerezi gas plants na badala yake kujenga njia 8 za Kibaha. JPM alitamka hadharani kuwa bila yeye miradi aliyoanzisha haitamalizwa, Mungu fundi kamchukua, je kuna mradi wake uliosimama?

Fuatilia historia ya Morogoro road ndio utaona kuwa Kimara -Kibaha sio "specialized case". Kila Rais kaijenga hiyo barabara kulingana na mahitaji ya wakati husika. Tunachosema hapa sio kwamba JPM hakufanya kitu, la hapana. Alifanya kama watangulizi wake pia walifanya ila kuiona kama Tanzania ilianza na yeye, huo ndo uzezeta.
Unayo iran ya uchaguz mkuu 2015 ya ccm?
 
Sawa mkuu we ongelea hiyo mingine sisi watanzania tumeamua kuongelea aliyoifanya mwamba Magufuli
WaTanzania Gani sema sukuma gang...... WaTanzania wanajua kuwa Kila Rais ana miradi atafanya sababu ipo kwenye ilani sio muujiza au hisani Fulani kwamba anaweza mtu mmoja tu.
 
Msoga alitumia miaka mingapi na JPM kwa miaka mingapi.

Ukituliza akili utagundua JPM ni habari nyingine.
Gesi pamoja na Kinyerezi ndani ya miaka 3 ya mwisho wa JK. Same to upanuzi wa airport..... So issue sio muda hata Jk alitumia muda mfupi kukamilisha hayo.
 
Kama si kelele za mtandaoni na maombi ya wamatumbi mradi ungesimama au kucheleweshwa kwa makusudi, ni hivi uwa mnajisahaulisha. Si humu humu ndani nyie madalali wa kisiasa mlikuwa mnawasakama sukuma gang kuwa huo mradi ni white elephant project.

siasa chafu kuhusu mradi ule unaita hearsay na speculation blah blah. Kuchelewesha mradi kukamilika kwa makusidi unaita sio mipango?
Kelele zipi? Acheni ujinga mradi haukuwahi simama hata siku Moja ni nyie tu watu wa Sukuma gang ndio mlitaka afeli Ili mseme anauza majenereta. Mlivyoona mgao umeisha na bwawa limejazwa Maji ndio mmeanza Tena kelele mara ooh Mradi wa JPM.... Mara bila JPM wasingeweza.

Empty set
 
Tangia 74 likisubiri nini bwashekhe?
Ndio nakueleza kila kitu kilikuwepo mpka feasibility studies zilifanyika enzi hizo. So ukisema ni ubunifu mara sijui haikua kwenye mpango ni uongo
 
Habari za weekend wanajukwaa

Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.

1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.

2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.

3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.

4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!

5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!

6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.

Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.

Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.

Naomba kuwasilisha
Nani alikuwa waziri na msimamizi makini ya hiyo miradi?,itoshe kusema wewe ni takataka
 
Nani alikuwa waziri na msimamizi makini ya hiyo miradi?,itoshe kusema wewe ni takataka
Kumbe hata JPM alipokua Rais hakujenga SGR sababu msimamizi hakua yeye Bali makame Mbarawa!! Logic yenu ya kijinga Sana.
 
Nani kama Hayati JPM?

Hakika utaendelea kuwatesa. JK analazimishwa awe kama JPM? Hakuna kitu kama hicho.
 
Naam,shida ni kwamba awamu ya tano serikali ilitumia nguvu nyingi kutangaza miradi yake. Shule za kata karibia kata zote nchini zilijengwa chini ya JK, chuo kikubwa East& Centra Africa ( UDOM), recruitment ya walimu na wataalam wa afya & ajira za uhakika kwa vijana n.k vilifanyika chini ya mzei wetu JK.
 
Habari za weekend wanajukwaa

Kumekuwa na kelele nyingi sana kutoka kwa wafuasi wa JPM kwamba miradi itakufa ama miradi haitofanyika sababu JPM hayupo. Na wengine wameenda mbali sana na kusema hakuna aliyewahi kufanya miradi kama ilivyofanyika awamu ya tano. Hapo chini nimeweka mifano tu ya miradi awamu ya nne kwa kuweka rekodi sawa kuwakilisha awamu zingine zilizopita kabla ya JPM.

1. Mradi wa Bomba la gesi ulicost matrilioni ya fedha na ulifanyika enzi za JK na Leo hii umeme wa Tanzania kwa 60% unategemea Bomba lile la gesi.

2. Barabara za lami zilijengwa almost Kila mkoa Ili kuunganisha mikoa jirani; pamoja na madaraja ya kumwaga kama Malagarasi n.k. So kama ni miundombinu ya barabara kikwete aliwekeza sana.

3. Mfumo wa Barabara za mwendokasi uliasisiwa kipindi hiki na serikali ya JK Ilimwaga mabilioni kujenga mwendokasi na kuagiza mabasi husika.

4. Airport ya J.K Nyerere Airport ilipanuliwa awamu ya nne. Leo hii tuna Airport yenye Hadhi ya kimataifa jambo ambalo halikufanyika tokea uhuru!!

5. Uzalishaji umeme ulipanuliwa kwa kujenga kituo Cha kufua umeme wa gesi pale Kinyerezi. Hatua hii iliongeza capacity ya uzalishaji umeme kuliko awamu zote zilizopita!!

6. Kulifanyika mradi mkubwa wa kutoa Maji ziwa Victoria kuelekea mikoa ya Kanda ya kati. Mradi ule umefika mpaka mkoa wa Tabora na Sasa unaelekea Singida!! Hayo ni mabilioni na ubunifu wa hali ya juu licha ya kelele kutoka kwa mataifa kama Misri yaliyopinga kabisa kuguswa Maji ya ziwa Victoria.

Hii ni mifano tu ya haraka haraka kwenye eneo la miundombinu. Kwahiyo tuache hizi propaganda kwamba miradi ilianza awamu ya 5 na imeisha awamu ya 5 ni uzembe tu wa kufikiri. Hiyo miradi tajwa hapo juu ingefanyika awamu ya 5 nadhani kelele zingekua nyingi mnoo.

Ni vizuri tuheshimiane Kila awamu, alipoishia Nyerere, mkapa aliendeleza and so on hata Mama Samia anaendeleza anapoweza so tusijikweze kweze na kelele nyingi as if JPM alikua Alpha na Omega.

Naomba kuwasilisha
Wewe kama siyo Kikwete, Riziwan au kuwadi wake basi unajigonga kwao sijui ili iweje?
 
substandard unamaanisha nini. We hakuna unalojua kuhusu ujenzi. Kikwete miradi yake ni mingi ukianzia na huo wa UDOM kujenga chuo kikuu kikubwa kuliko vyote africa mashariki na kati. Mabarabara; Kuunganisha makao makuu ya mikoa karibu yote kwa lami, aliunganisha Dodoma na Iringa, Songea na Mtwara kupitia Tunduru, Nanyumbu na Masasi. Aliunganisha mikoa ya Arusha, Manyara, Singida na Dodoma. Aliunganisha Mbeya na Sumbawanga. Aliunganisha Sumbawanga na Katavi. Aliunganisha Shinyanga na Tabora kupitia Nzega. Aliunganisha Singida na Tabora kupitia Itigi na Uyui. Aliunganisha Mwanza, Geita na Kagera. Alijenga barabara ya lami kutokea Tinde(Shinyanga) kuipitia Kahama mpaka Karagwe mpakani mwa Nchi yetu na Rwanda.

Alijenga upya barabara kutoka Arusha-Makuyuni-Minjingu. Barabara za mipakani; Alijenga upya Barabara kutoka Arusha-Namanga. Alijenga barabara kutoka Njia panda ya Himo mpaka Tarakea. Alijenga Barabara kutoka Musoma mpaka Sirari. Alijenga barabara kutoka Tanga mpaka Horohoro. Alijenga barabara kutoka Songea mpaka Mbinga ambayo sahivi ndiyo inamaliziwa kuelekea Mbamba Bay wilaya ya Nyasa. Ongezea na wewe km ni mtanzania. Alipanua uwanja wa ndege wa JULIUS NYERERE. Kikwete ndiyo aliyejenga mradi wa mabasi yaendayo haraka Dar Es Salaam. Hiyo ni baadhi ya miradi na hatukuona makeke yoyote mtu wa watu ni mnyenyekevu mpaka leo.
Hii ni sahihi shule za kata je ?
 
Hivi unajua hiyo gesi ya kikwete ndio unazalisha 60% ya umeme wote Tanzania? Lakini ingekua bwana Fulani duh tusingepumua. Punguzeni ujuaji Kila awamu imefanya miradi mingi tu tusimkuze sana mtu mmoja as if wengine hawakufanya lolote
Sawa mkuu
 
We m
Kama si kelele za mtandaoni na maombi ya wamatumbi mradi ungesimama au kucheleweshwa kwa makusudi, ni hivi uwa mnajisahaulisha. Si humu humu ndani nyie madalali wa kisiasa mlikuwa mnawasakama sukuma gang kuwa huo mradi ni white elephant project.

siasa chafu kuhusu mradi ule unaita hearsay na speculation blah blah. Kuchelewesha mradi kukamilika kwa makusidi unaita sio mipango?
We mjinga Sana tafuta hotuba ya mama wakati anaapishwa kuwa raisi akisema miradi yote iliyo achwa na magufuli ataikamilisha na kuanzisha mipya. Na ndoo anachofanya saivi .
 
Nani kama Hayati JPM?

Hakika utaendelea kuwatesa. JK analazimishwa awe kama JPM? Hakuna kitu kama hicho.
Wala sio kulinganisha nimetoa mifano kwenye eneo la miundombinu kwamba miradi haikuanza na JPM na haitoisha na JPM so acheni propaganda.
 
Mgao umeisha, aisee wewe upo kazini hapa. Kuna maslahi yako. Mgao umepunguzwa makali.

By the way changia hoja bila kuita watu wajinga. Wewe unajua ili, sisi tunajua lile. Acha mambo ya kisenge
Nyie si mlidai mgao hautoisha sababu ya kuuza majenereta ilihali mliambiwa kina kimepungua, mvua zimenyesha mgao umeisha mmeachana na hiyo hoja.

Mkasema Bwawa la Nyerere halitoisha sababu mafisadi wanalihujumu. Haya bwawa limeisha mmeanza Tena ooh Bila JPM wasingemaliza mara ooh JPM ndio kajenga sio wao!! Sasa unajiuliza mnataka Nini? Akimaliza kelele asipomaliza kelele ilimradi tu JPM aonekane peke yake ndio anaweza as if engineering alisoma peke yake duniani.

Narudia Tena we ni mjinga na sio tusi maana IQ Yako ni ndogo so Kuna maarifa unapungukiwa.
 
Wewe kama siyo Kikwete, Riziwan au kuwadi wake basi unajigonga kwao sijui ili iweje?
Nimeweka tu rekodi sawa Wala sijawahi kuwa mshabiki wa kikwete Wala JPM maana wote wanatoka chama Cha mafisadi.
 
Wala sio kulinganisha nimetoa mifano kwenye eneo la miundombinu kwamba miradi haikuanza na JPM na haitoisha na JPM so acheni propaganda.
Kilichokufanya uandike ndo hicho kinachomfanya JPM aonekane bora sana kwenye miundo mbinu.
 
Back
Top Bottom