Miradi ya barabara inayotekelezwa kwa ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) ni kama ifuatavyo

Miradi ya barabara inayotekelezwa kwa ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) ni kama ifuatavyo

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Miradi ya barabara inayotekelezwa kwa ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) ni kama ifuatavyo;

AWAMU YA 6 KAZINI

Nukuu za Rais Samia katika sherehe za Uwekaji wa jiwe la msingi barabara ya mzunguko wa nje wa jiji la Dodoma (KM 112.3)

Benki kufadhili zaidi ya miradi 11 ya sekta moja ya Ujenzi na Uchukuzi ambayo ni zaidi ya 1900KM, hii inadhihirisha kuwa kweli Benki ya Maendeleo ya Afrika ni benki ya maendeleo ya Afrika lakini kwa maendeleo ya Waafrika - Rais Samia

Miradi ya barabara inayotekelezwa kwa ushirikiano wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) ni kama ifuatavyo;
  • Barabara ya Kabingo-Kasulu-Manyovu 260KM ujenzi unaendelea.
  • Tabora (Usesula-Koga-Mpanda) 342KM hii imekamilika
  • Upanuzi wa Sakina Tengeru 14KM wa njia nne
  • Njia mchepuo Kusini Jiji la Arusha 42.4KM
  • Barabara ya Mbinga-Mbamba Bay 66KM
  • Barabara ya Singida-Babati-Minjingu 223.5KM
  • Barabara ya Arusha-Namanga 105KM
  • Iringa- Dodoma 260KM
  • Namtumbo-Tunduru 190KM
  • Mayamaya-Bonga 188KM
  • Tunduru - Mangaka Mtambaswala 202.5KM

TANZANIA: President Samia lays today a foundation stone for the implementation of the 112.3 km Dodoma City Outer Ring Road.

Two Chinese firms (CCECC and AVIC-INTL) to build the ring road worth $214.69M.

CCECC will construct 52km within 39 months and AVIC 60km in 43 months.

FLJk9dhXwAEO6OO.jpg


IMG-20220209-WA0061.jpg


IMG-20220209-WA0052.jpg


IMG-20220209-WA0051.jpg


IMG-20220209-WA0030.jpg


IMG-20220209-WA0059.jpg
 
Ukweli ni kwamba Samia Hana jipya la kufanya Kwa sasa , Kwa sababu plan za Maghufuli na miradi iliyokuwepo hairuhusu kuanzishwa Kwa miradi mipya , binginevyo mzigo utakuwa mkubwa Sana , effectively miradi yake itaanza 2026...!!!
 
Ukweli ni kwamba Samia Hana jipya la kufanya Kwa sasa , Kwa sababu plan za Maghufuli na miradi iliyokuwepo hairuhusu kuanzishwa Kwa miradi mipya , binginevyo mzigo utakuwa mkubwa Sana , effectively miradi yake itaanza 2026...!!!
mfano Tabora mpanda
 
Ukweli ni kwamba Samia Hana jipya la kufanya Kwa sasa , Kwa sababu plan za Maghufuli na miradi iliyokuwepo hairuhusu kuanzishwa Kwa miradi mipya , binginevyo mzigo utakuwa mkubwa Sana , effectively miradi yake itaanza 2026...!!!
Rubbish.

Hakunaga miradi ya fulani bali kuna miradi ya Nchi..mwenye dhamana ndio atatekeleza.

Mfano Mwalimu Nyerere aliasisi Makao makuu kuwa Dodoma,akatungia na sheria..

Akaja Mwinyi akafanya yake,akaja MKapa akajenga Chimwaga na Chamwino Ikulu.

Akaja JK akajenga Bunge jipya,UDOM,ukumbi wa JK white house,akajenga Audit office,BoT,akaanzisha ofisi ya Waziri Mkuu na baadhi ya Wizara nk.

Akaja Mwendazake ndio Katia msukumo mkubwa zaidi,Samia nae anaendeleza kwa hiyo sio ishu ya fulani .
 
Sio kupigwa,wali underestimate loading yake kwa sababu hiyo barabara ina malofi mazito robo tatu ni mbao,,malori ni mengi kuliko magari mengine.

Ilitakiwa ijengwe kwa asphalt Ili iwe imara zaidi .
Kama walifanya underestimation basi wana masihara... maana kile kipande sio cha kitaifa ni cha kimataifa pia; CapeTown to Cairo inapita Iringa Dodoma
 
Ukweli ni kwamba Samia Hana jipya la kufanya Kwa sasa , Kwa sababu plan za Maghufuli na miradi iliyokuwepo hairuhusu kuanzishwa Kwa miradi mipya , binginevyo mzigo utakuwa mkubwa Sana , effectively miradi yake itaanza 2026...!!!
Mbona miradi ya kikwete kama nyerere bridge,kijazi interchange,JNIA terminal 3, brt n.k sifa zilienda kwa magufuli?
 
Kama walifanya underestimation basi wana masihara... maana kile kipande sio cha kitaifa ni cha kimataifa pia; CapeTown to Cairo inapita Iringa Dodoma
Kiukweli wali underdesign,,hawakutegemea mizigo ingekuwa mingi na mbaya zaidi ni malori ya mbao za Dom,Arusha,Singida na mikoa yote ya Lake zone..

Kuna siku nimehesabu malori zaidi ya 150 kwa masaa 10.
 
Rubbish.

Hakunaga miradi ya fulani bali kuna miradi ya Nchi..mwenye dhamana ndio atatekeleza.

Mfano Mwalimu Nyerere aliasisi Makao makuu kuwa Dodoma,akatungia na sheria..

Akaja Mwinyi akafanya yake,akaja MKapa akajenga Chimwaga na Chamwino Ikulu.

Akaja JK akajenga Bunge jipya,UDOM,ukumbi wa JK white house,akajenga Audit office,BoT,akaanzisha ofisi ya Waziri Mkuu na baadhi ya Wizara nk.

Akaja Mwendazake ndio Katia msukumo mkubwa zaidi,Samia nae anaendeleza kwa hiyo sio ishu ya fulani .
We kima nini
 
Mbona miradi ya kikwete kama nyerere bridge,kijazi interchange,JNIA terminal 3, brt n.k sifa zilienda kwa magufuli?
Hujanielewa , basi toa neno maghufuli andika serikali ya awamu ya tano
 
Ukweli ni kwamba Samia Hana jipya la kufanya Kwa sasa , Kwa sababu plan za Maghufuli na miradi iliyokuwepo hairuhusu kuanzishwa Kwa miradi mipya , binginevyo mzigo utakuwa mkubwa Sana , effectively miradi yake itaanza 2026...!!!
Basi kamuamshe magufuli chato aje kusimamia ujenzi wa hizo barabara.
 
Ukweli ni kwamba Samia Hana jipya la kufanya Kwa sasa , Kwa sababu plan za Maghufuli na miradi iliyokuwepo hairuhusu kuanzishwa Kwa miradi mipya , binginevyo mzigo utakuwa mkubwa Sana , effectively miradi yake itaanza 2026...!!!

Sio hivyo but jua kabisa anatekeleza ilani ile ile ya CCM ambayo ndio ya mwendazake
 
Kiukweli wali underdesign,,hawakutegemea mizigo ingekuwa mingi na mbaya zaidi ni malori ya mbao za Dom,Arusha,Singida na mikoa yote ya Lake zone..

Kuna siku nimehesabu malori zaidi ya 150 kwa masaa 10.
I hope watarudia hiyo kazi.... maana nimepita December ile lami kama walipuliza wino wa Bic 😁 😁 😁 .... layer ya juu ikitoka kidogo tu, unaona dongo jekundu
 
Back
Top Bottom