Miraruano ndani ya vyama vya siasa ni ishara ya nyufa

Miraruano ndani ya vyama vya siasa ni ishara ya nyufa

nabiitz

Senior Member
Joined
Jan 29, 2014
Posts
157
Reaction score
32
Habarini wadau,

Wiki hiii naona miraruano na mitifuano ndani ya vyama vya siasa yote haya yanatokea kama vile vyama havina viongozi. Ni wakati wa kujitathmini kwa viongozi wa vyama hivi vikubwa.

Tumeona jana gazeti pendwa limetoka na habari ya kimtifuano ndan ya chama mpaka gazeti linakwenda kwa wapenzi wasomaji likiwa na habari nzito ya ndani ya chama.

Muda huu tena ndani ya chama cha upinzani kijana muaminifu kada mtiifu anararuana vikali na mchezaji wa mkopo toka ugaibuni shemasi hizi ni faida kubwa sana kwenya vyama vingine.

Rai yangu mimi kwenu viongozi hii inaonesha wazi kuna nyufa ndani yake basi ifanyike tiba ndani ya vyama hivo
 
Yule hajui lolote,

Muona tu hivi, waliokuwa wanamtumia wame dump anataka kurudi kundini.
 
Sasa kwanini mambo yasiishie ndan ya vyama mpaka yatufikie sisi wananchi kazi ya viongozi ni nini mdau
 
Kigogo hawezi kuwa strong kuliko CHADEMA. Amuulize Mange.

Martin kaamua kumlipua kwa kukosa uvumilivu.
 
Huo ustrong sasa ndio una elekea kwenye udhaifu sasa mm sioni maana ya kutoleana kejeli mkiwa kwenye mapambano vijana wa siku hizi katika siasa hawajapikwa mihemko imekua mingi sana hawatulii tutegemeeee viongozi mabomu hapo baadee
 
Aise!

kumbe kigogo kabadili gia angani?

kaona safari ya KIGAIDI haiwezi.

mzalendo wa kweli kamwe hawezi kuwa gaidi kwa nchi yake.
 
Hivi kigogo2014 kumbe ni mwanachama wa CDM? Kwa nn muda wote anatafutwa CDM hawakusaidia kusema huyu ni nani?
 
Back
Top Bottom