IDFakenyingine
Senior Member
- Sep 28, 2022
- 176
- 441
Kiislam ni rahisi sana.
Baada ya mume kufariki, mgao wa mirathi unafanyika; ambapo mke, mtoto na wazazi wa marehemu (ambao kisheria ndio warithi) kila mmoja anapata fungu lake.
Baada ya hapo kinachoendelea kwa upande wa mjane wa marehemu ikitokea akafariki; warithi wake ni ndugu zake kama hana mtoto wala wazazi!
Baada ya mume kufariki, mgao wa mirathi unafanyika; ambapo mke, mtoto na wazazi wa marehemu (ambao kisheria ndio warithi) kila mmoja anapata fungu lake.
Baada ya hapo kinachoendelea kwa upande wa mjane wa marehemu ikitokea akafariki; warithi wake ni ndugu zake kama hana mtoto wala wazazi!