IDFakenyingine
Senior Member
- Sep 28, 2022
- 176
- 441
Baada ya kifo cha mume mirathi iligawanywa. Mama napata shamba huko tegeta.mama hakutaka kuolewa lakini sheria ilimruhusu kuolewa.mama kuendeleza urithi wake .sasa yeye kafa mali hiyo wanarithi ndugu zake automatic Maana undugu na Wachagga ulishaisha. Kifo ndiyo kitemnganisho cha ndoa. Hivyo ndoa ilishavunjika na Bi mkubwa alikuwa na vyake hivyo wenye haki ya kurithi ni ndugu zake .Mimi sijui kabisa sheria lakini kuna maswali ya machache ya kujiuliza?
na mengine mengi mwisho wa siku busara inaweza kutumika kwa familia zote mbili kugawana wakipata ratio ya 2:3
- je baada ya mume wa marehemu kufariki nini kiliamliwa kwenye miradhi
- kama mke alikubali kuwa mjane na atabaki kama mwanafamilia je wanafamilia walihusika vipi na malezi ya mtoto wa ndugu yao?
- mawasiliano yalikuwaje kati ya familia iliyooa na mjane wakati wa uhai wake?
- Je walikuwa na mchango wowote
Kuna jamii mwanamke akilipiwa mahari anakuwa mali ya ukoo wa mume!Baada ya kifo cha mume mirathi iligawanywa. Mama napata shamba huko tegeta.mama hakutaka kuolewa lakini sheria ilimruhusu kuolewa.mama kuendeleza urithi wake .sasa yeye kafa mali hiyo wanarithi ndugu zake automatic Maana undugu na Wachagga ulishaisha. Kifo ndiyo kitemnganisho cha ndoa. Hivyo ndoa ilishavunjika na Bi mkubwa alikuwa na vyake hivyo wenye haki ya kurithi ni ndugu zake .
Ndoa ya kanisani binti anatoka kwao na kuingia kwenye ukoo wa mume, maadam si ya kiislamu mume akifariki mke anabaki kwenye ukoo wa mume ndiyo sababu ukoo wa mke ulikubali akazikwe Moshi na ukoo wa mume uliridhia kwa sababu ni mke wao, kama wasingeoana kanisani wasingekubali azikwe kwao.Kiwango chako cha elimu tafadhali sana??
Eleza ni kigezo kipi kilitumika akazikwe kwa aliyekuwa mume wake huku si kwao!Baada ya kifo cha mume mirathi iligawanywa. Mama napata shamba huko tegeta.mama hakutaka kuolewa lakini sheria ilimruhusu kuolewa.mama kuendeleza urithi wake .sasa yeye kafa mali hiyo wanarithi ndugu zake automatic Maana undugu na Wachagga ulishaisha. Kifo ndiyo kitemnganisho cha ndoa. Hivyo ndoa ilishavunjika na Bi mkubwa alikuwa na vyake hivyo wenye haki ya kurithi ni ndugu zake .
Hili ni swali tu;..Ndoa ya kanisani binti anatoka kwao na kuingia kwenye ukoo wa mume, maadam si ya kiislamu mume akifariki mke anabaki kwenye ukoo wa mume ndiyo sababu ukoo wa mke ulikubali akazikwe Moshi na ukoo wa mume uliridhia kwa sababu ni mke wao, kama wasingeoana kanisani wasingekubali azikwe kwao.
Tatizo hapa kunamitazamo miwili, wakiislamu na wakikristu huku waislamu wanavutia upande wao kwenye ndoa ya wakristu!
Asingeolewa ndani ya kanisa na bado wakwe wanaweza kuweka pingamizi, ndoa ya kanisani ni pingu ya maisha.Hili ni swali tu;..
Hivi kama mke wa marehemu angetaka kuolewa tena na mwanaume mwingine ingekuwaje...?
Nani angepokea mahari, wazazi wake au watu wa ukoo wa marehemu mumewe 'alikohamia'..?!
Pingamizi kuhusu nini?Kuolewa tena au kuhusiana na umiliki wa mali za urithi??Asingeolewa ndani ya kanisa na bado wakwe wanaweza kuweka pingamizi, ndoa ya kanisani ni pingu ya maisha.
Hata kama wangekuwa matajiri ndio waache mali ya ndugu yao ipotee tu?Umasikini tu unatawala hapo hamna lolote
We nae Mule mule tuHata kama wangekuwa matajiri ndio waache mali ya ndugu yao ipotee tu?
We nae Mule mule tu
Kwaheri
Wa upande wa mume wapewe pesa nusu ya thamani ya kiwanja tu. Ila nyumba zilizojengwa haziwahusu.Habari wadau.
Kama mnavyojua suala la mirathi linavyotolewa macho hapa Tanzania.
Jirani kwetu kuna mama amefariki na kuacha nyumba nzuri tu na hajaacha mtoto hata mmoja.
Historia ya huyu mama (kabila mpogoro) mwaka 1991 aliolewa kwa ndoa ya kanisani na mume wake (kabila mchaga)
Baada ya kufunga ndoa walinunua kiwanja na mume wake na kuzaa mtoto mmoja wa kiume.
Mwaka 1994 mume wa huyu mama alifariki na kumuacha mke na mtoto mmoja wakiwa hai.
Taratibu za mirathi ya mume wake zilifanyika baada ya msiba. Mama na huyo mwanae wakapewa hiko kiwanja maeneo ya tegeta kikiwa kitupu hakijaanzwa ujenzi wowote.
Maisha yakaendelea. Mama huyu hakuolewa tena . Aliendelea kuishi na mwanae kwa kupanga nyumba ya NHC keko. Na mdogo mdogo akaanza ujenzi wa nyumba katika kiwanja walichoachiwa na mumewe.
Alijenga nyumba nzuri tu ya kisasa. Na zingine ndogo ndogo pembeni za kupangisha. Maana kiwanja kilikuwa kikubwa sana (maana enzi wananunua tegeta ilikuwa pori ardhi haina thamani miaka ya 90 muuzaji anakuuzia bonge la kiwanja kwa bei ndogoo)
Baada ya kumaliza ujenzi yeye na mwanae waliendelea kuishi nyumba ya NHC na kule tegeta walipojenga wakapangisha wapangaji kadhaa.
Mwaka 2015 mama alipata msiba mwingine wa kufiwa na mtoto wake huyo mmoja kwa ajali ya gari na hii ikamfanya mama kubaki peke yake bila mtoto wala mume.
Mama akaendelea kuishi mwenyewe mpaka na yeye mama alipofariki mwaka huu mwanzoni.
Mwili wa mama ulisafirishwa kwenda moshi kuzikwa walipozikwa mume wake na mwanae.
Shida imekuja kwenye nyumba zilizojengwa na huyo mama. Ukoo wa mume unasema ni mali zao. Na ukoo wa mke nao unasema ni mali zao maana zimejengwa kipindi mume wa huyo mama ameshafariki.
Wataalamu wa mirathi Kesi kama hii upande upi kati ya ukoo wa mume na ukoo wa mume una haki ya kurithi hizo mali za huyu mama.
Wazazi wa huyu mama wote wameshafariki pia.
Sasa mume si alishafariki? Angeolewa je? Hapo labda wadai nusu ya thamani ya kiwanjaKazi kwelikweli. Je hao ndugu wa mwanamke hawana hata chembe ya aibu ?? Bado wanadai mahari au mwanamke hakulipiwa mahari ?
π π π Hii umetoa wapi?Wa upande wa mume wapewe pesa nusu ya thamani ya kiwanja tu. Ila nyumba zilizojengwa haziwahusu.
Kwani mume alikuwa hai wakati inajengwa?π π π Hii umetoa wapi?
Kwa nini wapewe pesa nusu?Wa upande wa mume wapewe pesa nusu ya thamani ya kiwanja tu. Ila nyumba zilizojengwa haziwahusu.
Kwa sababu kiwanja kilimikiwa na wote wawili alipokuwa haiKwa nini wapewe pesa nusu?
Maiti inaweza kuzikwa mahali popote pale na mazishi kufanywa na mtu yoyote yule, na suala hili wala halina uhusiano wowote ule kwa wazikaji kuwa na uhalali wa kurithi mali za marehemu aliyezikwa.Eleza ni kigezo kipi kilitumika akazikwe kwa aliyekuwa mume wake huku si kwao!