Misafara ya viongozi inachosha, inatesa na kurudisha nyuma maendeleo, IGP Sirro peleka Traffic Sweden kujifunza misafara ya wenzetu, Time is Money!

Misafara ya viongozi inachosha, inatesa na kurudisha nyuma maendeleo, IGP Sirro peleka Traffic Sweden kujifunza misafara ya wenzetu, Time is Money!

Hii misafara iwe inatolewa taarifa kama zile za utabiri wa hali ya hewa, walau ukisikia kuna Mh atakuwa mahali fulani Mtu utafute option nyingine, kama kuna barabara mbadala basi upitie huko.

Kuna siku tumesimamiswa tukiwa kwenye basi kwenda Dar, maeneo ya Tanga, kuuliza uliza kumbe kulikuwa na Mh ametembelea Tanga wakati huo....inakera maana hata utaratibu wa kuchimba dawa kwenye maeneo maalum unavurugika na Abiria wanalazimika "kurutubisha" mapori yaliyo jirani nao kwa wakati huo.

Ona Vladmir Putin anavyojichanganya asipotezee Watu muda, labda yeye ni muumini wa "muda ni pesa".
 
Inakera sana,kuna siku niliganda pale Tazara Massa 2 bila sababu ya msingi,anayetusubilisha ndiyo kwanza alikuwa anahutubia Mwanza.

Sikulaumu ila nikaconclude kuwa kweli sisi ni dunia ya tatu
Mkuu ngoja nitafute mtu anishikilie nicheke 🤣
Stop wa Tazara anaetaka kupita anahutubia Mwz 🤣🤣🤣🤣👏👏 pole sana mkuu!
Ukiongeza na sifa wazipendazo maaskari full hasira pa kusemea napo hamna labda humu!

Last week naenda Biharamulo ikapigwa stop pale Bwanga kuuliza naambiwa mukubwa yupo Kahama anahutubia kisha anakuja atapita hapo baadae kwenda Chattle. Nikashuka kwenda kuwaeleza traffick niendako waniruhusu hawakutaka na kulikuwa hakuna magari ni kama vile kwangu ndo walianzia stop!
Aiseeh toka saa 9jioni kaja kupita saa 1jioni. Sio siri hili jambo lifikiriwe na lijadiliwe upya, muda ni jambo la KUHESHIMU kama kweli tunahitaji kusonga mbele. Thanx PASCAL.
 
Sidhani kama in sawa kumlaumu Mkuu wa Polisi na kumtaka kupeleka Polisi Sweden kujifunza zingatia hili labda unapotaka kulinganisha;

Sweden per capital income > 50 000 USD.
TZ yetu per capital < 2 000 USD

Sasa unawezaje kulinganisha hizo nchi mbili, Uchumi wa Sweden > 500 Billion USD idadi ya watu 10 million vs TZ yetu ukubwa wa uchumi < 80 Billion Idadi ya watu > 45 million.

Hivyo majibu yote yako hapo na hakuna kitu IGP atafanya usifikiri hawajui cha kufanya, wanajua ila wana limitations wakati huo huo ni jukumu lao kuhakikisha Usalama wa Viongozi, wanaweza hata wakawasafirisha kwa helikopta lkn who pays? Unaongelea nchi ambayo hata magari ya Polisi tunapewa msaada na hata kuweka mafuta tu wakati mwingine ni ishu, ...
Pamoja na hayo huoni hicho kipato cha $2000 kitazidi kushuka kwa kusuburi mukubwa apite? Lakini kama jeshi linathibitisha usalama kwa sasa ni mkubwa hofu ya nini?
Kwanza kimya kimya ni nzuri kuliko taharuki!
 
Mkuu ngoja nitafute mtu anishikilie nicheke 🤣
Stop wa Tazara anaetaka kupita anahutubia Mwz 🤣🤣🤣🤣👏👏 pole sana mkuu!
Ukiongeza na sifa wazipendazo maaskari full hasira pa kusemea napo hamna labda humu!

Last week naenda Biharamulo ikapigwa stop pale Bwanga kuuliza naambiwa mukubwa yupo Kahama anahutubia kisha anakuja atapita hapo baadae kwenda Chattle. Nikashuka kwenda kuwaeleza traffick niendako waniruhusu hawakutaka na kulikuwa hakuna magari ni kama vile kwangu ndo walianzia stop!
Aiseeh toka saa 9jioni kaja kupita saa 1jioni. Sio siri hili jambo lifikiriwe na lijadiliwe upya, muda ni jambo la KUHESHIMU kama kweli tunahitaji kusonga mbele. Thanx PASCAL.
Pole sana,ndiyo hali halisi yenyewe hiyo inakera sana
 
Wanabodi,

Ukiondoa thamani ya uhai, hakuna kitu kingine duniani chenye thamani kama muda, time is money, kupotezeana muda ni kuzorotesha maendeleo.

Niko njia ya Bagamoyo eneo la Mbezi Tangi Bovu, tumesimamishwa karibu dakika 30 kupisha msafara wa Kiongozi fulani anatokea njia ya Bagamoyo.

Huku kusimamishana babarani nusu saa nzima, kisa anapita kiongozi, ilikuwa ni zile enzi za ujima, kwenye dunia ya sasa ya the age of information science, unamsimamisha mtu dakika 30 kupisha msafara wa kiongozi ni kupotezaana muda. Wengine kazi zetu zina very tight deadlines, kama zilivyo tender deadlines, umechelewa hata dakika moja, imekula kwako.

Ndio maana sisi tunawasisitiza viongozi wetu, wasiopenda kusafiri nchi za watu kwa lengo la kubana matumizi, mara moja moja wasafiri tuu kwenda nchi za Ulaya na Amerika, sio kwa ajili ya kwenda kuponda raha, au kubembea hewani kwa kukwea pipa bali kusafiri ili kwenda kupata tuu exposure, wenzetu wakoje na wanafanyaje mambo yao.

Kwa hili la misafara ya viongozi ya kupotezeana muda, namshauri Afande IGP, Kamanda Sirro, amchukue Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, akafanye ziara ya kimafunzo nchini Sweden aone misafara ya viongozi wa wenzetu wanaojali muda.

P
Hatuwezi kuiga ya Sweden kwa sababu kadhaa.
Hatuna miundombinu ya kuwezesha watekeleze hayo mafunzo. Hilo ndiyo kubwa.
Mfumo wetu wa kulinda viongozi ni tofauti mno. Upo based kwenye yoga - real or assumed. Magari ni mengi mno. Tuna exaggerate mno precautions.
 
Hii misafara iwe inatolewa taarifa kama zile za utabiri wa hali ya hewa, walau ukisikia kuna Mh atakuwa mahali fulani Mtu utafute option nyingine, kama kuna barabara mbadala basi upitie huko.

Kuna siku tumesimamiswa tukiwa kwenye basi kwenda Dar, maeneo ya Tanga, kuuliza uliza kumbe kulikuwa na Mh ametembelea Tanga wakati huo....inakera maana hata utaratibu wa kuchimba dawa kwenye maeneo maalum unavurugika na Abiria wanalazimika "kurutubisha" mapori yaliyo jirani nao kwa wakati huo.

Ona Vladmir Putin anavyojichanganya asipotezee Watu muda, labda yeye ni muumini wa "muda ni pesa".

Weupe Weupe tu...Hao wenye Rollers waliovuka ingekuwa huku.Wangetaga mayai
 
Pamoja na hayo huoni hicho kipato cha $2000 kitazidi kushuka kwa kusuburi mukubwa apite? Lakini kama jeshi linathibitisha usalama kwa sasa ni mkubwa hofu ya nini?
Kwanza kimya kimya ni nzuri kuliko taharuki!


Kila nchi inalinda Viongozi wake asikudanganye mtu hata huko Sweden sema hauoni kwa sababu wana options nyingi, wana pesa ya kuweza kufanya mengi.
Wana public transportation imara unaweza kupanda treni, subways, tramway system, n.k.

Bajeti ya Jeshi la Polisi peke yake huenda ikawa sawa na Bajeti ya JMTZ ya kuhudumua > milioni 45, isitoshe ni jukumu lao kuhakikisha Viongozi wa nchi wako salama sasa huo Usalama unafanikishwa vipi inategemeana na rasilimali zilizopo.
 
Back
Top Bottom