Ilu
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,198
- 1,648
Hii siku ilitesa watu sana. Msamvu ilisimama tangu saa 12 asbh mabasi yaliondoka saa tano.. Kuna umuhimu wa kufanya hii misafara isitese watu.
Uko sawa kabisa. Juzi juzi wakati Mhe. Rais anaenda Dodoma kwa njia ya barabara magari yaliyokuwa yanatokea Dar kwenda Mikoani kwa njia ya barabara ya Morogoro yalimamishwa tangu saa kumi na mbili asubuhi lakini Mhe. Rais alipita njia hiyo mnamo saa tano asubuhi. Hii ni kuwatesa wananchi. Kweli time is money.