Filisika tujue tabia ya mkeo
Risala ya marehem hata iwe nzuri vp haipigiwi makofi!!
Ukiokota elfu kumi mbagala njoo nikuongezee elfu tano.
"Kaseme Tena"
kweli aisee, bonge la businessHahahaha,Duhh yaani lazima tukubali kuwa na misemo hii ni kipaji Maalum.
Yaani kama ingekuwa ni Ulaya basi wangetuuzia kadi kwa kidhungu za misemo hiyo,lakini hapa kwetu ndio hivyo burudani sie kwa sie.