Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

*pole na kazi*
*kama vipi jikatae*
*special force*
*tsuuuu yule *
*huyu naye!*
 
hatuchenji buku kwa nja ya siku moja!
hatuchinji kuku hata akija mgeni..
hip hop mzik si wakiburudani,!
 
Back
Top Bottom