Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Kituo kinachofata ni Eapoti au Karakata

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Tuweke hapa misemo ambayo umeshaiona ama kukutana nayo kwenye usafiri mbalimbali kama bodaboda, bajaji, na mabasi au makenta na magari mengine hasa ya usafirishaji mana wanakuaga na misemo wakati mwingine unajiuliza alieandika alikua anafikiria nini na misemo mingine ni ya kufurahisha kama sio kuchekesha. Karibu share.
 
Back
Top Bottom