lucley
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 727
- 1,986
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HHahaJamani hapa bongo utakutana na daladala zina majina kiboko,mimi natupia baadhi nawe tupia yako hapo chini.
1. Majungu mliyoyapika sasa mtayapakua
2. Nenda kaseme tena
3. Gusa unate
4. Flag ya chuma
5. Masikini hafilisiki
DuhUnauliza misonyo kwa Mama wa kambo?
Mkuu umetisha
HahaaahaJamani hapa bongo utakutana na daladala zina majina kiboko,mimi natupia baadhi nawe tupia yako hapo chini.
1. Majungu mliyoyapika sasa mtayapakua
2. Nenda kaseme tena
3. Gusa unate
4. Flag ya chuma
5. Masikini hafilisiki
Daaah kubabake Kali hii-Pata hela tujue tabia yako
-Ukiona tangazo limechanwa jua limeeleweka
-Hata ukinawa kula huli
-Kuzoeazoea mwisho utazoea majini
-mwambie mkeo gari sio langu
Maji yamelowa...!!Barafu la moto