Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Hata babu alikuwa kaka
zetu dua
umeona eeh!
Subiri kidogo
hakunaga
seba akujiwe
kwetu bugabo
 
tupia ujumbe/maneno yoyote
uliyoosoma kwenye gari......mfano mtaji
wa masikini ni nguvu zake
mwenyewe,mwanaume hachagui
kazi..........haya sasa tiririka mengine
uliyoyasoma>>>
 
Kuna magari nimekutana nayo yameandikwa :
> Ukimpa maskni nyama iliyonona awagawie maskni wenzie inamuozea mkononi .
> Watoto kwanza wajukuu baadae
> Chai moto kombe la bati, kitumbua moto, pilipili kumi .
 
Thread hii ilishapita hapa JF muda kitambo ...

Mkuu mbona mara ya pili hii naona una'comment abracadabra ? Kama sio Viazi .
Huyu mdau kahitaji maneno yaandikwayo kwenye magari! Wewe wasema Sredi hii ilishakuja!
Kwani aliiteta huyu ?
Hata kama ! Nevertheless
Unashindwa kujiongeza kama kl siku magari mapya yanaongezeka ?
Wewe unajua gari nitakalo nunua mimi next wiki nitaliandika nini ?
Punguza viazi ! Huko ni kudandia kwenye bonet !
Just use you're two eyes for your self navigation .
 
zafanana
mwanaume hasifiwi sura anasifiwa kazi
kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake
ni kwarehema za bwana tu tutafika
hakuna lisilowezekana
mengine niyakiluga sasa nayo tuaandike pia
 
zafanana
mwanaume hasifiwi sura anasifiwa kazi
kila mbuzi atakula kwa urefu wa kamba yake
ni kwarehema za bwana tu tutafika
hakuna lisilowezekana
mengine niyakiluga sasa nayo tuaandike pia

Hapa story tuu; kula kwako


Heri ya chizi uliyemzoea kuiko mjanja usiyemjua


Kuongea Kiingereza bia hela ni sawa na kupigia watu kelele tuu!

Udogo sio issue; mbona bastola inaua kama rifle?
 
Back
Top Bottom