Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

UFUNUO WA UKAWA 16
1: Nami nikachukuliwa mpaka mbingu ya magogoni na tazama nikaona makusanyiko yameketi, nae aliyeketi mbele yake katika kiti cha enzi alivalia mavazi meusi na kichwa chake kama volkswagen beetle. Nae alikua ameandaa karamu ya anasa kwaajili ya kusoma ripoti ya makinikia

2:nao wamsikilizao walikua ni mafarisayo,makuhani,makuhadi,watu mashuhuri,makada wa ccm,wasanii pamoja na mfineli mmoja jina lake lemutuz,
Nao wakiwa wanasujudu mbele ya mfalme yule sizonje wakisema "ewe sizonje utawale Milele"

3:Na mikono ya mfalme yule ilikua imejaa damu za watu wasio na hatia. Na moyo. Wake ulikua umejawa na chuki,kiburi,visasi,majigambo,maonevu na udikteta.
Nami nikamuuliza yule malaika aliyenipeleka pale, Uyo aliyeketi ndo yule aliyetabiriwa mpinga democracy, tazama nae malaika ananiambia kwa uchungu "naam uyo ndiye, kwani hukusikia mababu zenu kinanyerere walitabiri ujuo wake". Nami nikakosa jibu

4: Basi pale mbele ya mfalme kulikua na kitabu kikubwa kiitwacho ripoti ya makinikia. Nami nikamuona mfalme akijigamba mbele ya ule umati akisema "mimi ndiye mfalme nitafukuza hawa acacia katika milki yangu" nao umati ukashangilia kwa sauti kuu.
Mfalme akaendelea na majigambo na kuwaaminisha kwamba yeye ni yule masihi aliyetabiriwa kuja kutoa tanzagiza kwenye umasikini. Kumbe yeye ni yule mpinga democracy nae kawatesa masihi wa bwana.

5:tazama akaibuka nabii wa bwana lisu akasema mfalme kaongea uongo lakini watanzagiza hawakumuelewa, lakini baada ya wiki mbili ikafahamika mfalme alidanganya umma.
 
Ewe Nyamtalakyono ni nani aliyekuroga hata unashindwa kujua kuwa Kuhani mkuu na wasidizi wake anatufanyia maskhara kutuambia kuwa muujiza wa vichwa vya treni hawautambui?
Je kuna mtenda moujiza mwingine katika milki hii zaidi ya kuhani huyu ?wale makuhani wenye mitazamo tofauti wamezuia kufanya miujiza mpaka hesabu ya 2020 itmie!na wengine wamefukuzwa na msaidizi wa kuhani kutoka hekaluni kwa mwaka mmoja huku kuhani mkuu akiwasubiri nje ya madhabahu wafanye maombi kinyume chake awasulubu!hujui hayo!
Kweli kizai hichi kinapotea kwa kukosa maarifa
Not to that extent 15:20
Mara baada ya kada Nyamtalakyono kuona jinsi wagalilaya walivyojaa hasira na matendo ya kaisari(mkulu) basi akaamua kutia neno kuwatuliza, lakini cha ajabu hakuna aliyemsikiliza maana walijua katumwa na mafalisayo kuja kuona ili akatoe ushuhuda Lumumba. (Enlightenment 1:21thc na kuendelea)
 
Ndipo wadanganyika walikua ktk maandalizi ya paska yao,nataza,bashite aliye mtoto mpendwa wa mfalme yule naye alikuako,,mfalme akapaza sauti yake akasema ''ewe mwanangu bashite wataka nimtoe nani aliye chukizo machoni pako?",Naye bashite akajibu "mtoe kijana wa kimakonde akae mbali nami,,nami nitafurahi"Basi natazama,kabla jua halijazama kijani wa kimakonde alikwishakutolewa.
Kolomije 3:7-12

Bless I
 
kondakta na mkuu wa mji ule akaja na majalada kibao akipaza sauti..bwana tazama mtu huyu amekua mlaghai na mla rushwa ndipo sizonje akawauliza watu waliohudhuria hafla ile..je nimfanye nn mtu huyu? wale watu wakajibu msulubishee kigamboni 7:9-12
 
UFUNUO WA UKAWA 16
1: Nami nikachukuliwa mpaka mbingu ya magogoni na tazama nikaona makusanyiko yameketi, nae aliyeketi mbele yake katika kiti cha enzi alivalia mavazi meusi na kichwa chake kama volkswagen beetle. Nae alikua ameandaa karamu ya anasa kwaajili ya kusoma ripoti ya makinikia

2:nao wamsikilizao walikua ni mafarisayo,makuhani,makuhadi,watu mashuhuri,makada wa ccm,wasanii pamoja na mfineli mmoja jina lake lemutuz,
Nao wakiwa wanasujudu mbele ya mfalme yule sizonje wakisema "ewe sizonje utawale Milele"

3:Na mikono ya mfalme yule ilikua imejaa damu za watu wasio na hatia. Na moyo. Wake ulikua umejawa na chuki,kiburi,visasi,majigambo,maonevu na udikteta.
Nami nikamuuliza yule malaika aliyenipeleka pale, Uyo aliyeketi ndo yule aliyetabiriwa mpinga democracy, tazama nae malaika ananiambia kwa uchungu "naam uyo ndiye, kwani hukusikia mababu zenu kinanyerere walitabiri ujuo wake". Nami nikakosa jibu

4: Basi pale mbele ya mfalme kulikua na kitabu kikubwa kiitwacho ripoti ya makinikia. Nami nikamuona mfalme akijigamba mbele ya ule umati akisema "mimi ndiye mfalme nitafukuza hawa acacia katika milki yangu" nao umati ukashangilia kwa sauti kuu.
Mfalme akaendelea na majigambo na kuwaaminisha kwamba yeye ni yule masihi aliyetabiriwa kuja kutoa tanzagiza kwenye umasikini. Kumbe yeye ni yule mpinga democracy nae kawatesa masihi wa bwana.

5:tazama akaibuka nabii wa bwana lisu akasema mfalme kaongea uongo lakini watanzagiza hawakumuelewa, lakini baada ya wiki mbili ikafahamika mfalme alidanganya umma.
6.Ndipo wadanganyika walipoamini kuwa sizonje naye ni miongoni mwa waongea uongo ...
 
Back
Top Bottom