sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,632
- 4,737
Kwa hiyo hawajui kusoma na kuandika?Walipataje phd?au ni wale wanaojibu maswali kabla ya kusoma examination instructions?Sheria inasema
Mtia nia yoyote aliyeajiliwa anatakiwa aache kazi ndipo aingie kwenye shuguli za siasa
Washukuru ata wamepunguziwa na sio kuachishwa