Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Sheria ipi?Sheria inasema
Mtia nia yoyote aliyeajiliwa anatakiwa aache kazi ndipo aingie kwenye shuguli za siasa
Washukuru ata wamepunguziwa na sio kuachishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria ipi?Sheria inasema
Mtia nia yoyote aliyeajiliwa anatakiwa aache kazi ndipo aingie kwenye shuguli za siasa
Washukuru ata wamepunguziwa na sio kuachishwa
Ivi enzi za JK and BWM watumishi pia walikuwa wanakatwa mishahara wakichukua fomu?Poleni watumishi mmmh
Ninachofahamu japo sijasoma sheria yenyewe mtumishi akifanya kazi chini ya siku 15 anatakiwa kulipwa nusu mshahara Happ Sina hakika kwakweliPitapita zangu hapa jijini Mwanza zimenikutanisha na watumishi wa umma wenye huzuni, chuki, hasira na kisasi mioyoni baada ya mishahara yao kukatwa kwa sababu walitia nia.
Wanasema, mishahara yao ndo uhai wa familia zao, ndiyo uzima wa Babu na Bibi zao vijijini. Wanasema wanawagonjwa wanaowategemea.
Wako walioomba ruhusa kwa mujibu wa waraka. Wako waliokuwa likizo za kawaida za mwaka.
Wamerudi makazini, walikipenda Chama cha Mpainduzi, wakavaa nguo za kijani, wakaamuka na CCM OYEEE, NG'ARA CCM ng'ara CCM na mengine kadhaa.
Wafanyakazi wanalia, wanasikitika kwanini imekuwa hivi. Wanaona hata yanayoitwa majonzi ya kitaifa ni majonzi yao wao huku na si ya kila mtu.
Taifa kinahitaji uponyaji
Cc: Katibu Mkuu Utumishi
Kuchukua fomu na kuchaguliwa kugombea ni vitu viwili tofauti.Hiyo sheria inapingana na katiba.Mkuu kabla hujalalamika unafahamu taratibu za utumishi wa umma kuhusu mtu ambaye anataka kugombea nafasi yoyote ya uongozi kwa vyama vya siasa ?
Maana tunaweza kuanza kulaumu watu wengine kumbe makosa yapo upande wetu kabisa
Usitugombanoshe na serikali yetu. Ngoka tuvumilie hilo lipite. Tunashukuru kwa kuwa ni mwezi mmoja. Kidumu chama cha Mapinduzi.Ni sheria ipi walivunja mpaka wakasimamishiwa mishahara? kwani hawawezi kushitaki?
Kina katika, matambiko, Elia Michael et al nao mwezi ujao watarudishwa kwenye payroll?Wambie washukuru pia mwezi ujao watapata mshahala, je wangetimuliwa saivi nadhani wangekuwa ICU.
Waanzie wapi kila kona ni MEKO! akisha sema ndio hivyo hutaki kajiue!!Ni sheria ipi walivunja mpaka wakasimamishiwa mishahara? kwani hawawezi kushitaki?
Kina katika, matambiko, Elia Michael et al nao mwezi ujao watarudishwa kwenye payroll?
Umetumwa kutusemea?Pitapita zangu hapa jijini Mwanza zimenikutanisha na watumishi wa umma wenye huzuni, chuki, hasira na kisasi mioyoni baada ya mishahara yao kukatwa kwa sababu walitia nia.
Wanasema, mishahara yao ndo uhai wa familia zao, ndiyo uzima wa Babu na Bibi zao vijijini. Wanasema wanawagonjwa wanaowategemea.
Wako walioomba ruhusa kwa mujibu wa waraka. Wako waliokuwa likizo za kawaida za mwaka.
Wamerudi makazini, walikipenda Chama cha Mpainduzi, wakavaa nguo za kijani, wakaamuka na CCM OYEEE, NG'ARA CCM ng'ara CCM na mengine kadhaa.
Wafanyakazi wanalia, wanasikitika kwanini imekuwa hivi. Wanaona hata yanayoitwa majonzi ya kitaifa ni majonzi yao wao huku na si ya kila mtu.
Taifa kinahitaji uponyaji
Cc: Katibu Mkuu Utumishi
Mistari 3 ya mwisho "kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria."Kuchukua fomu na kuchaguliwa kugombea ni vitu viwili tofauti.Hiyo sheria inapingana na katiba.
Ibara ya 21 ya Katiba: 21.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya ibara ya 5, ya 39 na ya 67 ya Katiba hii na ya sheria za nchi kuhusiana na masharti ya kuchagua na kuchaguliwa, au kuteua na kuteuliwa kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, kila raia wa Jamhuri ya Muungano anayo haki ya kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, ama moja kwa moja au kwa kupitia wawakilishi waliochaguliwa na wananchi kwa hiari yao, kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa na sheria au kwa mujibu wa sheria.
Siyo Kweli Mkuu! Anaruhusiwa kuanza michakato ya kuingia kwenye siasa akiwa bado mfanyakazi kwa kuomba ruhusa au likizo isiyokuwa na malipo,akishafanikiwa kuchaguliwa kwenye nafasi ya kisiasa hapo Sasa anatakiwa aache kazi.Sheria inasema
Mtia nia yoyote aliyeajiliwa anatakiwa aache kazi ndipo aingie kwenye shuguli za siasa
Washukuru ata wamepunguziwa na sio kuachishwa
Shukuru Mungu haukujulikanaNilitia Nia... Nikaomba ruhusa....
Nimelipwa mshahara..
Tuache upumbavu wA kupakinishana.
Hakuna sheria inayosema hivyo. Standing orders za civil servants zinasema wakati wa mchakato wa kura za maoni mtumishi anapaswa kuomba likizo ya bila malipo. Hivyo kukatwa mshahara kwa siku ambazo hawakuwapo kazini ni sahihi kabisa, lakini siyo kufutwa utumishi. Mgombea atatakiwa kuacha kazi mara chama chake kikimpitisha kugombea ubunge au udiwani.Sheria inasema
Mtia nia yoyote aliyeajiliwa anatakiwa aache kazi ndipo aingie kwenye shuguli za siasa
Washukuru ata wamepunguziwa na sio kuachishwa
Sheria mbona iko straight forward, tatizo watu wanataka kumwibia mwajiri. Kuna mambo wanayotakiwa kuyafanya kabla ya kuingia kwenye mchakato wa kura lakini wanataka kujifanya hawajui. Nasema tena sheria haimzuii mtumishi kuingia siasani!Ile sheria nimeisoma. Ni sheria ukiangalia kwa makini utagundua ilitungwa kuzuia flow ya wafanyakazi kukimbilia siasa. Ubaya wa sheria nikwamba inawanyima haki wafanyakazi ya kushiriki kuchaguliwa kwenye siasa. Ni sheria ya kibaguzi flani.
Upande mwingine ,wahanga walijua kitachofuata wasimlaumu mtu. Ni mpaka sheria ibadilishwe