Mishahara imekatwa: Poleni Watumishi watia nia

Mishahara imekatwa: Poleni Watumishi watia nia

Pitapita zangu hapa jijini Mwanza zimenikutanisha na watumishi wa umma wenye huzuni, chuki, hasira na kisasi mioyoni baada ya mishahara yao kukatwa kwa sababu walitia nia.

Wanasema, mishahara yao ndo uhai wa familia zao, ndiyo uzima wa Babu na Bibi zao vijijini. Wanasema wanawagonjwa wanaowategemea.

Wako walioomba ruhusa kwa mujibu wa waraka. Wako waliokuwa likizo za kawaida za mwaka.

Wamerudi makazini, walikipenda Chama cha Mpainduzi, wakavaa nguo za kijani, wakaamuka na CCM OYEEE, NG'ARA CCM ng'ara CCM na mengine kadhaa.

Wafanyakazi wanalia, wanasikitika kwanini imekuwa hivi. Wanaona hata yanayoitwa majonzi ya kitaifa ni majonzi yao wao huku na si ya kila mtu.

Taifa kinahitaji uponyaji

Cc: Katibu Mkuu Utumishi
1.walikopa fedha kununua fomu TSH 100,000
2.walichangia uchaguzi Jimbo TSH 1,000,000
3. Wamekosa Kura za maoni
4.wale walio tia Nia ubunge Jimbo wamekosa mishahara baadhi
5.wale walio tia Nia ubunge Vito maalum hawakukatwa hata Senti tano
6. Kilio ni kikubwa Ila kwa baadhi ya watia Nia kupitia Sheria moja iliyopo,chama kimoja ,nchi moja.
7.watumishi Wana vilio viwili kufiwa na rais wao mstaafu na kukosa mishahara na hawana fedha hata za kula,Kodi za nyumba,nauli na Ara za watoto
 
Pitapita zangu hapa jijini Mwanza zimenikutanisha na watumishi wa umma wenye huzuni, chuki, hasira na kisasi mioyoni baada ya mishahara yao kukatwa kwa sababu walitia nia.

Wanasema, mishahara yao ndo uhai wa familia zao, ndiyo uzima wa Babu na Bibi zao vijijini. Wanasema wanawagonjwa wanaowategemea.

Wako walioomba ruhusa kwa mujibu wa waraka. Wako waliokuwa likizo za kawaida za mwaka.

Wamerudi makazini, walikipenda Chama cha Mpainduzi, wakavaa nguo za kijani, wakaamuka na CCM OYEEE, NG'ARA CCM ng'ara CCM na mengine kadhaa.

Wafanyakazi wanalia, wanasikitika kwanini imekuwa hivi. Wanaona hata yanayoitwa majonzi ya kitaifa ni majonzi yao wao huku na si ya kila mtu.

Taifa kinahitaji uponyaji

Cc: Katibu Mkuu Utumishi
1.walikopa fedha kununua fomu TSH 100,000
2.walichangia uchaguzi Jimbo TSH 1,000,000
3. Wamekosa Kura za maoni
4.wale walio tia Nia ubunge Jimbo wamekosa mishahara baadhi
5.wale walio tia Nia ubunge Vito maalum hawakukatwa hata Senti tano
6. Kilio ni kikubwa Ila kwa baadhi ya watia Nia kupitia Sheria moja iliyopo,chama kimoja ,nchi moja.
7.watumishi Wana vilio viwili kufiwa na rais wao mstaafu na kukosa mishahara na hawana fedha hata za kula,Kodi za nyumba,nauli na Ara za watoto
 
Maadili ya watumishi wa umma 2005 kipengele cha uadilifu

Standing order inaruhusu watumishi kuwa wanasiasa ila kuna miiko wamekataza. Na wanaruhusiwa kugombea nafasi za kisiasa, pale wanapokuwa wameteuliwa ndipo utumishi unakoma.
 
1.walikopa fedha kununua fomu TSH 100,000
2.walichangia uchaguzi Jimbo TSH 1,000,000
3. Wamekosa Kura za maoni
4.wale walio tia Nia ubunge Jimbo wamekosa mishahara baadhi
5.wale walio tia Nia ubunge Vito maalum hawakukatwa hata Senti tano
6. Kilio ni kikubwa Ila kwa baadhi ya watia Nia kupitia Sheria moja iliyopo,chama kimoja ,nchi moja.
7.watumishi Wana vilio viwili kufiwa na rais wao mstaafu na kukosa mishahara na hawana fedha hata za kula,Kodi za nyumba,nauli na Ara za watoto
Harafu wanatakiwa wamuunge mkono magufuli. Huu uchaguzi kazi ipo. Uchumi wa kati oyeee
 
Hapo mwisho umepasoma inapoeema kwa kuzingatia sheria na utaratibu???
Sheria lazima iendane na katiba.Katiba ndio sheria mama.Katiba inasema kuwa kila mtu ana haki ya kuchaguliwa na kuchagua ila hiyo sheria yenu inaminya haki ya mwalimu pale gairo kugombea.Mishahara ingeanza kukatwa baada ya kampneni kuanza rasmi na mtu ameteuliwa na chama kugombea.
 
Back
Top Bottom