Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
si wote. is why nimemlenga yeye tu specific.sasa wote watafanya biashara na nani atakuwa mnunuzi.ni nchi gani raia wake wote wanafanya biashara au hujui maana ya division of labour maana yake ni nini.
Walimu msiokuwa na chanzo kingine mnakera kha!! Mwalimu Lima basi ata mchicha uache kudeka deka mitandaoni. Mwalimu unakuwa mjinga ivyo sasa mwanafunzi utamtoaje ujinga?Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Yeye anajitoa kama siyo mfanyakaziLeo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili Awamu ya Pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
View attachment 1828726
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili Awamu ya Pili au la.
Ili swali kua walipotea sababu gani ningekuuliza wewe MSU KUMAAAHao watu waliyokuwa wanapotea hovyo ni watu wa aina gani na sababu ni zipi?
Halafu wafanyakazi wameshaanza kupanda madaraja leo,nadhani utakua unafahamu we MATAGA wa kisu kumaaaHao watu waliyokuwa wanapotea hovyo ni watu wa aina gani na sababu ni zipi?
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili Awamu ya Pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
View attachment 1828726
Kataje hicho kiungo mbele ya mama yako halafu uone kama hajakutia bakora, badala ya kujifunza vitu vya maana we ndio kwanza unajifunza kutukana.Ili swali kua walipotea sababu gani ningekuuliza wewe MSU KUMAAA
Atakuwa huwa anakitaja ndio maana mama yake akamlaaniKataje hicho kiungo mbele ya mama yako halafu uone kama hajakutia bakora, badala ya kujifunza vitu vya maana we ndio kwanza unajifunza kutukana.
Hujatukanwa we msu kumaaKataje hicho kiungo mbele ya mama yako halafu uone kama hajakutia bakora, badala ya kujifunza vitu vya maana we ndio kwanza unajifunza kutukana.
Hata mimi sijasema kuwa umenitukana bali nimekwambia ukataje hicho kiungo mbele ya mama yako.Hujatukanwa we msu kumaa
Mama yako?Hata mimi sijasema kuwa umenitukana bali nimekwambia ukataje hicho kiungo mbele ya mama yako.
Mama yako wewe ndio uende ukataje hicho kiungo mbele yake.Mama yako?