Madeni yenyewe yamewashinda kuwalipa watumishi ,miaka nenda rudi ni uhakiki na ahadi zizizo na ukomo;je Leo uwezo wa kuongeza mishahara watatoa wapi?
Na wewe usisahau kupandisha kodi.Wapandishe!mie nina wapangaji wangu watumishi wa umma,wanailalamikia sana serikali kuto wajali!ebu wapeni stahiki zao lawama ziishe.!
Je na walimu mtatukumbuka??
Muwe mnauliza kabla kucoment mnatia aibuKwa bajeti ipi iliyopitishwa na bunge, itakuwa ni kuingilia muhimili mungine wa dola
Aisee sasa ndo nimehitimisha kuamini bavicha ni zero, hawajui kitu kazi kupinga tu na kushadadia mambo ndo mana mbowe anawaburuza, pole sana kijana, nenda kajifunze bajeti ya mishahara ikojeBila kuidhinishwa na Bunge? Haimo kwenye bajeti labda upelekwe upya pamoja na gharama za kuhamia Dodoma! Kurupuka at work once again!
Kwani walimu sio watumishi wa uma?Je na walimu mtatukumbuka??
ushauri maridhawa huu,asante mkuu!Na wewe usisahau kupandisha kodi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Asipopandisha Je, nipe namba yako nije kulala kwako
Au niweke na waraka kabisa? Mbona matusi na povu juu? Utumishi wa umma umeukuta na utauacha! Sioni kosa la mleta mada!!kwani wewe ndo msemaji wa utumishi
punguza kihele hele
mambo yameongelewa kwenye vikao vya ndani we umelurupuka kuja kuongea hapa
nani kakutuma?
nyie ndo majipu pumbavu kabisa
mtumishi wa uma uwe na staha
Majitu mengine ni kama zuzu tu
natamani nikujue ili uwajibishwe mshenzi Mkubwa we...
Umeniudhi sana
Endelea kusubiri hiyo ndoto kama ulivyoiamini.nakutakia heri.Aisee sasa ndo nimehitimisha kuamini bavicha ni zero, hawajui kitu kazi kupinga tu na kushadadia mambo ndo mana mbowe anawaburuza, pole sana kijana, nenda kajifunze bajeti ya mishahara ikoje
weka waraka bossAu niweke na waraka kabisa? Mbona matusi na povu juu? Utumishi wa umma umeukuta na utauacha! Sioni kosa la mleta mada!!
Sio kila kitu kinapita bungeni kwan kuhamia Dodoma binge lipi limepitisha[/QUOTE]Umeulizwa simple, question, imeputishwa na bunge lipi hiyo increament?