BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Ajira pia zimesimamishwa kwa kudai wanahakiki wafanyakazi. Kwa Taifa linalojitambua inawezekana kabisa kufanya uhakiki wa Wafanyakazi huku likiendelea kuajiri wafanyakazi wapya bila tatizo lolote lile.
Madeni yenyewe yamewashinda kuwalipa watumishi ,miaka nenda rudi ni uhakiki na ahadi zizizo na ukomo;je Leo uwezo wa kuongeza mishahara watatoa wapi?