udongo mweusi
Member
- May 18, 2016
- 72
- 55
bado kimya mpaka leoKWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
nadhan hakuna changes wangeshakuja kusherekea hapaTayari na umetoka km wadau walivyodokeza
Vipi taarifa zilizovuja ?!!!? Ziba koromeo sasa.KWA TAARIFA ZILIZO VUJA KUHUSU SALARY KWA MWEZI JULY 2016
TGTS A1-546,000
TGTS B1-694, 000
TGTSC1-782,500
TGTS D1-939,000
TGTS E1-1,319,000
TGTS F1-1,653,000
TGTSG1-1,970,000
TGTSH1-2,584,000
TGTSI1-2,865,000
......... HAPA KAZI TU
tunahitaji uthibisho
Mimi niliuliza mishara ilikuaje kabla ya tetesi ya mabadiliko iliyoletwa na mtoa mada,halafu akaniquote kwa majibu yake mabayaKama walimu wakiongezwa mishahara nami nabadili fani.
Mkuu mbona suala la watumishi kongezwa mishahara ni jambo la kheri? Sasa kwa nini mnagombana?
Sema ukweli Madam,imekuwaje?niliwaambia muachane na number za kubuni hizo
Sema ukweli Madam,imekuwaje?
Siku hizi hakuna mwalimu wa vidudu walimu woote wanapewa mafunzo ya elimu awali ni uchagiaji wa masomo tu na mapenzi ya mwalimu kufundisha hukoMadaktari wa rufaa mishara imepunguzwa kama tulivyoambiwa jana kule Bugando na katibu mkuu wa wizara ya afya (kama ilivyoandikwa humu Jf).
Sasa imekuwaje waalimu wao mishahara yao imepanda? (NB: Kwa wasiojua hizo salary scales alizo nukuu ni za mishahara ya waalimu tu.
Yaani mwalimu wa chini kabisa anayefundisha ngazi ya vidudu anaanzia zaidi ya Shs 0.5 m kwa mwezi zaidi ya graduate wa SAUT na anamkaribia saana daktari wa rufaa baada ya mshahara wake kuteremshwa.
well said mkuu.hizo ni scales za walimu tu, sio za watumishi wote wa umma!
Hivi kuna mtu bado anawaza tena salary increment?well said mkuu.